Vijana wa Kiislamu hawaogopi ndoa kama Wakristo

Vijana wa Kiislamu hawaogopi ndoa kama Wakristo

Nadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.

Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.

Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.

Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.

Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
Wakristo talaka inaruhusiwa pia
 
Mkuu kwa mujibu wa maandiko wanandoa wakristo hakuna kuachana isipokua tu kutengana kwa sababu za uzinzi/kuchepuka tu... na hapo pamoja na kwamba mmetengana huruhusiwi kutoka na mtu mwingine au kuoa mwingine. Condition ya kuoa mwingine ni pale tu mwenzako atakapofariki, basi. Ni hatare sana upande wa christian... Na ndio mana kuna kile kiapo cha ndoa kuwa ' hadi pale kifo kitakapotutenganisha' ...
Ndoa za kikristo mbona wanandoa wanaweza kuachana vizuri tu. Sheria ya ndoa ya TZ imeainisha several reasons zinawezo weza kufanya mpeane talaka kama uzinzi, ukatili,mwezi kua na kichaa kisichopona etc. Hakuna mkisto analazimishwa kukaa kwenye ndoa ikiwa ndoa yake inamatatizo kama hayo kwa mujibu wa Sheria.

Kuhusu separation, yes mnapokua separated, means kwamba hamjapeana talaka hivyo bado mtakua considered kama wanandoa ingawa hamuishi pamoja.Hamtakua na capacity ya kuoa au kuolewa tena mpaka talaka itakapo toka sababu ndoa ya kikristo ni ya mke mmoja na mume mmoja tu.
 
Mkuu kwa mujibu wa maandiko wanandoa wakristo hakuna kuachana isipokua tu kutengana kwa sababu za uzinzi/kuchepuka tu... na hapo pamoja na kwamba mmetengana huruhusiwi kutoka na mtu mwingine au kuoa mwingine. Condition ya kuoa mwingine ni pale tu mwenzako atakapofariki, basi. Ni hatare sana upande wa christian... Na ndio mana kuna kile kiapo cha ndoa kuwa ' hadi pale kifo kitakapotutenganisha' ...
Tatizo imani.
 
Marafiki zangu wengi hawaja divorce ni miaka kama minne hivi, wakristo gharama tatizo zinawaangusha na process NJ ndefu sijui fungate, sendoff hata Kwa bible havipo.

Labda wakristo wa vijijini
Hapo umeongelea sherehe ya ndoa ila sio miiko ya ndoa kama nilivyoelezea
 
Nyuzi za hivi wavaa kanzu mnazipenda sana ila akianzisha mtu nyuzi za kufunga na mambo yake mnatokwa mishipa minene na mapovu meeeengiiii
 
Ndoa si suala la dini bali utashi wa mtu mradi wahusika wawe wana uwezo wa kuingia kwenye taasisi hii. Tumia akili japo kidogo kabla sijakushushia mitusi nipapigwa ban. Na kipindi hiki ikitokea nikapigwa ban naachana na ujinga wa wa hii forums ya kujifanya wao ndiyo wenye hati milki ya fikra. Kwani silipwi kushiriki. Shame on moderator. Ngoja nilikoroge ili nipate kuachana ujinga huu
Oa kijana, hasira za nini ?
 
A: NDOA Katika UISLAMU.
Hizi ni Sababu chache kati ya Nyingi Ambazo pia ni Mafundisho ya UISLAMU, Hivyo Kwa anaefuata Uislamu ni Ngumu kuziepuka.

1.Kwa Sisi Waislamu Ndoa ina Umuhimu sana na Kwa Mafundisho ni Nusu ya Dini.

2.Hakuna Gharama ya Ndoa katika Uislamu ili kutokuwa na uzito katika kuitimiza.

Ufafanuzi: Hapa Mwanamke anayeolewa ndiye anayepanga mahari kulingana na uwezo/ Kipato cha anayeoa.

3.Ndoa Katika Uislamu ni sehemu ya Kutunza Maadili katika Jamii.

4.Katika Uislamu ili Mwanaume kuwa na ruhusa ya kuishi na mwanamke hakuna njia yoyote ya Mkato Hispokuwa anapaswa kufunga nae NDOA

5. Kimaumbile NDOA humuweka Mbali mtu na Uzinifu.

NB: Hakuna Kipengele cha kusema umvishe pete Mwanamke ili uishi nae pasipo ndoa.

6.Ndoa Katika Uislamu Haiepukiki.

islamicteachings8-___CLqbSwHFT10___-.jpg
 
Nafikiri sisi wagalatia tuna ishi katika maisha ya Mungu wetu Mwana, kwa maana ya Jesus

Mungu mwana mpaka kufika age la 30 mwamba alikuwa yupo kwa Baba yake na ndipo akatumwa na Baba yake aje akomboe kizazi kilicho angamia kwa maovu ya sodomoka na gomola

Ila huko upande wa pili wao vijana wao wana sikia tj mtume Mohammed S.A.W alikuwa ana wake 4 basi madogo wanajaa mazima.na wao waanze safar ya kusaka Nke 4, lkn hatimaye wanaishia kwa nke 1 tu wanao toboa nke 4.wavhache na wengi wana megewa

Asante
Naomba niwasilishe
 
Muislamu anaoa kwa elfu 20 mahari unadhani kuna ndoa hapo, ndio maana wanaachana hovyo hovyo.
Kwani ndoa ni gharama? Ndoa ni ibada ya Mungu katika Uislamu na ameweka masharti yake ili ikubalike.

Katika hayo masharti, gharama kubwa haimo! Kwahiyo usishangae mkuu, ndio utaratibu wetu kuoa kwa kiasi tulichokubaliana hata kama elfu 10.
 
Back
Top Bottom