Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
2mil kama mtaweza vumiliana...1mil kama tutaishia njian😂Hapo sawa, kwa hiyo mahari wataniambia ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2mil kama mtaweza vumiliana...1mil kama tutaishia njian😂Hapo sawa, kwa hiyo mahari wataniambia ngapi?
Kasoro sitaku kuzijua... nataka kujua mazuri tu...2mil kama mtaweza vumiliana...1mil kama tutaishia njian😂
Hapo ndo utawafanya wanyakyusa niwe mtumwa kwao,nisilalamike kidogo watasema mkorofi mwenyewe yaan hata univunje shingo watasema nimejivunja makusudi ili nikusingizie.Hapana kwa kweli toa tu laki 2Kasoro sitaku kuzijua... nataka kujua mazuri tu...
Nitatoa 2.5Million
Laki2 pesa ya vocha tu hiyo... Hapana ndogo sana...Hapo ndo utawafanya wanyakyusa niwe mtumwa kwao,nisilalamike kidogo watasema mkorofi mwenyewe yaan hata univunje shingo watasema nimejivunja makusudi ili nikusingizie.Hapana kwa kweli toa tu laki 2
Sana...mkorofi sana hasa kiuchumi nikiyumba afu upande wa pili hauna msaada.Ni draaaa....nyumba utahamaLaki2 pesa ya vocha tu hiyo... Hapana ndogo sana...
Million 2.5 sawa...
Kwani wewe una ukorofi...
Naomba nikunyoshee...Sana...mkorofi sana hasa kiuchumi nikiyumba afu upande wa pili hauna msaada.Ni draaaa....nyumba utahama
Ha haaa,yeah....inawezekana maana kila mti na mtiweNaomba nikunyoshee...
Yani wewe nakunyosha vizuri tu mpaka unanyoka... heheheHa haaa,yeah....inawezekana maana kila mti na mtiwe
Tutaishia kuwekwa ndani tuYani wewe nakunyosha vizuri tu mpaka unanyoka... hehehe
3. Ushirikina, uchawiKitu kama hukijui bora ukauliza...
1. Kwa habari ya uzinzi ndoa inavunjwa
2. Kwenye kutishiana kuuana au kunusurika na kifo toka kwa mwenza ndoa inavunjwa
Hakuna kuwekwa ndani...Tutaishia kuwekwa ndani tu
Sio kweliUkifuata mafundisho ya dini ya kiislamu bila kuwaiga wachaga na wakristo basi swala la ndoa na msiba wala halina tatizo kila kijana au mzazi wako anaweza kulimudu.
Kwa sisi tulio mijini wachaga ndio wametuletea hii tabia mbovu swala la ndoa kuambatana na uharibifu mkubwa wa pesa kwenye sherehe.
Ndugu yangu unanibambikia kosa kisha wataka kusahihisha..Kwa kukusahihisha padogo waislamu mahari anataja mwanamke sio wazazi.
😎Hakuna kuwekwa ndani...
ndoa sio gharama mkuu gharama ni sherehe na mbwembwe zingine zisizo na maana.Nadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.
Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.
Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.
Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.
Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
Ahsante, jibu lipo clear kabsaNadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.
Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.
Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.
Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.
Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
Kwa tamaduni ya imani ya kislam, kuna yafuatayo:Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa Kikristo hawaoi kama wa Kiislam?
Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.
Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakini wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.
Je, chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?
So what!!sasa ndoa ni ajira?inaleta tija gani kiuchumi?Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa Kikristo hawaoi kama wa Kiislam?
Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.
Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakini wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.
Je, chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?