Vijana wa Kiislamu hawaogopi ndoa kama Wakristo

Vijana wa Kiislamu hawaogopi ndoa kama Wakristo

Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa kikristo hawaoi kama wa kiislam?

Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.

Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakink wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.

Je chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?
Baadhi ya sababu ni hizi;
1. Kwa waislamu kuachana ni rahisi sana... unaweza ukaoa saa 1 lakini saa 2 ukaacha, tena kwa talaka

2. Kwa wakristo, ukishafunga ndoa, kuachana ni process ndefu na ina kila dalili za kukufanya usiache.

3. Kwa waislamu, ndoa ni kama jambo la wawili wanaofunga ndoa.. lakini kwa wakristo, ndoa ni jambo la familia mbili. Hivyo mtu lazima awake kwa kina

4. Wakati wa kufunga ndoa, wakristo husema... MPAKA KIFO KITAKAPO TUTENGANISHA... lakini kwa waislamu hawahusishi kifo na ndoa... wao wanasema ikibidi kuachana basi tuachane kwa amani.. SASA MAHALA PENYE AMANI, KUACHANA KUNATOKA WAPI..!!???
 
Kasi ya kutengana na kufa kwa ndoa ni ile ile haina cha muislamu au mkristu, chagamoto za ndoa ni zile zile, isipo kua wanawake wa kiislamu wanapenda na kuheshimu sanaa ndoa zao ukilinganisha na wa kuristu
Wanawake wa kiislamu wengi wanaolewa kwa upendo thabiti na sio show offs. Ndio maana wanajua kuzishughulikia ndoa zao vizuri mno ila wakristo wengi kwanza influencers wa ndoa ni wanawake na lengo kuu hasa huwa show off kwa mashosti zao.

Wanaolewa kwa fantasy ila sio kwa kuwa tayari wameamua kuyakabili maisha ya ndoa.
 
Shida ndoa nyingi za Kikristo zina complications kuanzia kwenye kuoa mpaka kuachana mkichokana.
Taraka za kikristo ziko complicated za Kikatoliki ndo kabisa. Mtu anaachana na mkewe lakini eti kanisa halitambui hawezi kuoa tena wala mwanamke kuolewa akifanya hivyo hawaitambui.
Sasa mtu anaona bora asubiri subiri kwanza apate mtu ambaye anaamini ni 100% sahihi
Sema after 4 years inavunjwa tu yani ndio utaratibu!
 
Baadhi ya sababu ni hizi;
1. Kwa waislamu kuachana ni rahisi sana... unaweza ukaoa saa 1 lakini saa 2 ukaacha, tena kwa talaka

2. Kwa wakristo, ukishafunga ndoa, kuachana ni process ndefu na ina kila dalili za kukufanya usiache.

3. Kwa waislamu, ndoa ni kama jambo la wawili wanaofunga ndoa.. lakini kwa wakristo, ndoa ni jambo la familia mbili. Hivyo mtu lazima awake kwa kina

4. Wakati wa kufunga ndoa, wakristo husema... MPAKA KIFO KITAKAPO TUTENGANISHA... lakini kwa waislamu hawahusishi kifo na ndoa... wao wanasema ikibidi kuachana basi tuachane kwa amani.. SASA MAHALA PENYE AMANI, KUACHANA KUNATOKA WAPI..!!???
Hahahahah sema uislamu ni raha sana.
 
Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa kikristo hawaoi kama wa kiislam?

Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.

Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakini wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.

Je chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?
Watoto wa kigalatia kwao ndoa kama ajira ya serikalini vile. Anajua hata akitegea hafukuzwi kazi 😂
 
Waislam hawasomeshi watoto sana. Mkristo kabla hujaoa unawaza watoto wanatakiwa wafike chuo kikuu hawa.

Hii ni sababu namba 70
Waislamu wenye kipato Cha chini hao na Mila potofu, it is the same na wakristo kipato Cha chini nao watoto wao wanapita njia hiyo hiyo, hakuna mtu ambaye kwa sasa hahitaji kumuelimisha mtoto wake vizuri.

Angalia waislamu wenye uwezo wa kifedha watoto wao wanasoma kwa kiwango gani.

Sent from my TECNO AB7 using JamiiForums mobile app
 
Ndoa ya kiislamu 120,000 inatosha. wakati hiyo hela ni ya mkanda na tai.


Suti shati na kiatu unafunga harusi kumi za kiislamu.

Bajeti ya harusi ya kiislamu.
1. Hina 5000
2.Ubani 1500
3.Unga ngano kg 25 kwa ajili ya mandazi.
4.Sukar. Majani ya chai
5.Kukodisha vikombe 5000
6.Pilao. Mchele kg 20
7. Nyama kg 2(huwa hawapendi sana nyama chamsing pilao)
8. Mziki 40,000
9. Makobasi 8,000
10. Kanzu tutaazima kwa shehe juma

Waislamu wanaraha kwenye kuoa.

Kule kwetu uchagan pete sherehe.Wazaz Kuona nyumban kwa mke sherehe. Wazaz Kuona nyumban kwa mume sherehe. Sendoff sherehe. Harusi sherehe. Kuvunja kamati sherehe.


Gharama ndo inafanya wakristo wanachelewa kuoa.
Ukioa bomani ni cheap zaidi ya hiyo.

Sent from my TECNO AB7 using JamiiForums mobile app
 
Nimesema sababu namba sabini. Katika mpangilio wa umuhimu.

Halafu jamii zinajua umuhimu wa elimu lakini elimu ni gharama. Kwa hiyo watafika form 4 halafu basi.

Level ya ufikaji chuo kikuu kwenye wilaya za Lindi ,Pwani, Zanzibar bado zinazidiwa na mikoa mwingine sana
Vp waislamu wa Kilimanjaro unawasemeaje hapo, au waislamu wa dsm au Mwanza. Unadhani mikoa hiyo hawasomi Sana kutokana na uislamu wao?

Hebu jaribu kufanya utafiti vizuri katika mikoa hiyo uone kama ni Mila na destruri za huko au uislamu ndio unasababisha elimu iwe chini huko.

Sent from my TECNO AB7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mahari inategemea na jamii ama kipato.

Mtoto wa bakhresa hawezi kuoa kwa 20000 eti kwa kuwa dini imetaka mahari iwe ndogo hapana.

Mtoto wa samia hawezi kuoa kwa mahari ya laki moja au milioni.

Sisi watoto wa uswahilini hadhi yetu ni laki tano,laki saba n.k.

So mkuu waarabu wanatumbua sana wale wana pesa.
.dini iliposema mahari iwe chache maana yake mtu kama maskini asipigwe mahari kubwa,
apigwe mahari ambayo ataimudu na sio anaoa kwa mkopo kisa ukubwa wa mahari no.
Kwa kukusahihisha padogo waislamu mahari anataja mwanamke sio wazazi.
 
Back
Top Bottom