Vijana wa Kiume badilikeni

Vijana wa Kiume badilikeni

Nafahamu sio wote wanaobweteka ila unapowahukumu vijana wote basi utakuwa unakosea maana kuna wengine wanahitaji muongozo wa kushikwa mkono, Ngoja nikupe ushuhuda kiufupi.

Mimi hapa, nilianza kazi ya saidia fundi nikiwa ndogo sana, nikaingia kujifunza computer na ufundi wake mtaani nikamaliza . Likatokea zari la mentali Wahindi wakatangaza ajira kwenye machine ya kuprint nikaajiriwa nimefanya nao miaka miwili wakarudi kwao India machine wakamuuzia Mtanzania, huyo ndo akaja kuwa na roho mbaya kama unavyo fahamu Africa people tulivyo, akanidhurumu mshahara wa mwaka mzima, nikaamua kujiengua,

Nikaingia mtaani nikajifunza umeme wa majumbani hapa sasa sikuwa na jina mtaani wala connection nikawa sipati kazi nikaona bola niachane na umeme maana hata mwalimu aliye tufundisha alikuwa na karoho kakuto kuruhusu upate nafasi ya kujitegemea ila uebdelee kuwa mtumwa wake.
Nikaingia kwenye mafunzo ya upakaji wa rangi ambayo yaliletwa na waTuruck,hapa nikaiva nikapata kazi kadhaa ila shida ikaja katika malipo ikawa unalipa pesa ndogo zingine mpaka umalize kazi, ukimaliza kazi nimwendo wa kuzungushana na kudhurumiwa.
kuna ushuhuda mrefu tu natamani nifunguke ila mimi kama mimi katika hari hiyo unadhani nitabaki katika nafasi gani,
mpaka nashindwa nifanye kitu gani, nipo nipo tu ila sio kwa kupenda
Hakuna kitu rahisi. Jambo la msingi fanya sehemu yako kadri uwezavyo.

Mambo mengine yatakuja yenyewe.
 
Sasa anaingia kuuza matunda mtaani bila mtaji?
Hakuna mtu anaeweza kukaa kwa kupenda bila kuingiza kitu watoto wa kiume sisi misoto yetu huwezi fananisha na watoto wa kike. Mwanaume unaweza kukaa huna hata buku wiki nzima na una hujui unaipata wapi na huna kazi na kwenu mabovu.

Huwezi fananisha nyinyi watoto wa kike na watoto wa wakiume hata kidogo, unavyosema wanacheza sijui vikoba tunawaona wengi tu wanalipiwa na vidume mitaji midogo midogo ya biashara pia mnapewa na masponsor wengine hata mpaka mpaka magari.

Kwa mwanaume tena uliekulia familia ya milo milwili na wawazi wanakutegemea hiyo hela ya kuuza matunda au mama lishe unaitoa wapi kama sio uzunguke na bahasha ili upate kazi ndio upate kianzio.

Wapeni vianzio basi kama mtu anatashindwa kufanya kitu huyo kweli atakuwa na shida sio mnawasema watu tu bila kuwasidia... Mtu kaja kwako siku moja tu umeashaanza kumjaji ulitaka afanye nini sasa kama ni mgeni hapo na hana wenyeji na wala hajaja kwa ajiri ya biashara?.

Mi ndio maana kwa ndugu siendagi kabisa bora uende kwa washikaji kama huna hela ya gest.

Umeongea point sana,,,tatizo jamii inajitia upofu....wanachojua ni kutupa lawama tu,,na sio kujua chanzo na jinsi ya kutatua...wao wanachojua ni kutupa lawama,,,,hakuna mtoto wa kiume anaependa kukaa kilofa...au mpaka watu waanze ujambazi ndo muamini hakuna mtoto wa kiume anaependa kukaa kirofa,,,ni basi tu nchi yetu ni ya amani...ila ata Nigeria ilianzia hivi hivi,,now u can see jinsi walivyokuwa wataalamu kwenye utapeli na umafia
 
Aisee inasikitisha kwa kweli,mtu anakuja kushtuka muda tayar umekwisha...
 
Nafahamu sio wote wanaobweteka ila unapowahukumu vijana wote basi utakuwa unakosea maana kuna wengine wanahitaji muongozo wa kushikwa mkono, Ngoja nikupe ushuhuda kiufupi.

Mimi hapa, nilianza kazi ya saidia fundi nikiwa ndogo sana, nikaingia kujifunza computer na ufundi wake mtaani nikamaliza . Likatokea zari la mentali Wahindi wakatangaza ajira kwenye machine ya kuprint nikaajiriwa nimefanya nao miaka miwili wakarudi kwao India machine wakamuuzia Mtanzania, huyo ndo akaja kuwa na roho mbaya kama unavyo fahamu Africa people tulivyo, akanidhurumu mshahara wa mwaka mzima, nikaamua kujiengua,

Nikaingia mtaani nikajifunza umeme wa majumbani hapa sasa sikuwa na jina mtaani wala connection nikawa sipati kazi nikaona bola niachane na umeme maana hata mwalimu aliye tufundisha alikuwa na karoho kakuto kuruhusu upate nafasi ya kujitegemea ila uebdelee kuwa mtumwa wake.
Nikaingia kwenye mafunzo ya upakaji wa rangi ambayo yaliletwa na waTuruck,hapa nikaiva nikapata kazi kadhaa ila shida ikaja katika malipo ikawa unalipa pesa ndogo zingine mpaka umalize kazi, ukimaliza kazi nimwendo wa kuzungushana na kudhurumiwa.
kuna ushuhuda mrefu tu natamani nifunguke ila mimi kama mimi katika hari hiyo unadhani nitabaki katika nafasi gani,
mpaka nashindwa nifanye kitu gani, nipo nipo tu ila sio kwa kupenda
yaaani acha tu sisi wafrica kulipana bila kudhurumiana hatuwezi sijui kwanini
 
Tafadhali usitufananishe na huyo mtoto wa ndugu yako tuombe radhi.
Hakuna mtu anaombwa radhi hapa

Ujumbe huu kama haukuhus basi achana nao, lakini this is naked truth, kama wewe siyo miongoni mwao bas shukuru Mungu na uwaombee ambao bado wapo gizan
 
Umeongea point sana,,,tatizo jamii inajitia upofu....wanachojua ni kutupa lawama tu,,na sio kujua chanzo na jinsi ya kutatua...wao wanachojua ni kutupa lawama,,,,hakuna mtoto wa kiume anaependa kukaa kilofa...au mpaka watu waanze ujambazi ndo muamini hakuna mtoto wa kiume anaependa kukaa kirofa,,,ni basi tu nchi yetu ni ya amani...ila ata Nigeria ilianzia hivi hivi,,now u can see jinsi walivyokuwa wataalamu kwenye utapeli na umafia
Sema mimi, il kuna wanaume wavivu balaa, hawataki kabisa kuchosha mwili

Tembea uone kaka
 
Nafahamu sio wote wanaobweteka ila unapowahukumu vijana wote basi utakuwa unakosea maana kuna wengine wanahitaji muongozo wa kushikwa mkono, Ngoja nikupe ushuhuda kiufupi.

Mimi hapa, nilianza kazi ya saidia fundi nikiwa ndogo sana, nikaingia kujifunza computer na ufundi wake mtaani nikamaliza . Likatokea zari la mentali Wahindi wakatangaza ajira kwenye machine ya kuprint nikaajiriwa nimefanya nao miaka miwili wakarudi kwao India machine wakamuuzia Mtanzania, huyo ndo akaja kuwa na roho mbaya kama unavyo fahamu Africa people tulivyo, akanidhurumu mshahara wa mwaka mzima, nikaamua kujiengua,

Nikaingia mtaani nikajifunza umeme wa majumbani hapa sasa sikuwa na jina mtaani wala connection nikawa sipati kazi nikaona bola niachane na umeme maana hata mwalimu aliye tufundisha alikuwa na karoho kakuto kuruhusu upate nafasi ya kujitegemea ila uebdelee kuwa mtumwa wake.
Nikaingia kwenye mafunzo ya upakaji wa rangi ambayo yaliletwa na waTuruck,hapa nikaiva nikapata kazi kadhaa ila shida ikaja katika malipo ikawa unalipa pesa ndogo zingine mpaka umalize kazi, ukimaliza kazi nimwendo wa kuzungushana na kudhurumiwa.
kuna ushuhuda mrefu tu natamani nifunguke ila mimi kama mimi katika hari hiyo unadhani nitabaki katika nafasi gani,
mpaka nashindwa nifanye kitu gani, nipo nipo tu ila sio kwa kupenda
Nawezaje kusema wanaume wote????

Naongelea kundi ndogo tu la vijana wa kiume hasa miaka 21-30 wengi wakiwa waliosoma
 
Hakuna mwanaume anayependa kukaa kifala tu..kuna wachache tu.

Na hizo kazi wanazofanya wanawake zinafanana nao..leo mwanaume ukitembeza ubuyu mtaani madume menzako yatakuchunia kununua,ila mtoto wa kike watanunua huku wanamchombeza..same applies kwa wapika uji wanaotembeza kwenye vijiwe.

Lakini pia hawa wanaofanya biashara standard wengi wao nyuma kuna sponsors..tusiwadharau sana vijana ambao hawana hata cha kuanzia...tatizo hili sio la vijana ni la jamii kwa ujumla.
 
yaaani acha tu sisi wafrica kulipana bila kudhurumiana hatuwezi sijui kwanini
Kampuni ikishaingiwa na utawala wa mtu mweusi hapo lazma mambo hayo yajitokeze sijui tuna laana gani! Kwanza mshahara kama hutadhulumiwa basi kama ulikuwa unalipwa 20,000 kwa lisaa mbongo akiinga hapo utashaangaa buku 2 kwa saa!
 
Hakuna mwanaume anayependa kukaa kifala tu..kuna wachache tu.

Na hizo kazi wanazofanya wanawake zinafanana nao..leo mwanaume ikitembeza ubuyu mtaani madume menzako yatakuchunia kununua,ila mtoto wa kike watanunua huku wanamchombeza..same applies kwa wapika uji wanaotembeza kwenye vijiwe.

Lakini pia hawa wanaofanya biashara standard wengi wao nyuma kuna sponsors..tusiwadharau sana vijana ambao hawana hata cha kuanzia.
Hahahahah najaribu ku imagine dume zima na midevu umeshika pakti za ubuyu 🤣🤣🤣 au unatembea na chupa la uji na vikombe kwanza wahuni hawatanunua!

Kazi hio inawafaa watoto wa kike na wengine wananunua sababu ya mvuto wa watoto wakike wenyewe katika mbinu zao za kijasusi 😅😅😅
 
Back
Top Bottom