Vijana wa kiume kwanini mnataka kuwa na girlfriends lakini mnawazuia Dada/ wadogo zenu kuwa na boyfrinds?

Kwa kuwa wadada,wamama,wanawake wanahitaji kuongozwa kwa zaidi ya 85 per ya kila wakifanyacho hata kama yupo 100 per sahihii.
 
Kwa kuwa wadada,wamama,wanawake wanahitaji kuongozwa kwa zaidi ya 85 per ya kila wakifanyacho hata kama yupo 100 per sahihii.
Unamaanisha tunapaswa kuwaongoza na kuwachunga dada zetu?
 
Hta ungekua ni wewe utakubali dada yako awe na boyfrind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…