Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

Hasa vijana wa dar hovyo sana..
Wenye we wanajiita watoto wa town ila kichwani hamna kitu..

Kutwa kushinda saloon na library.
Utakuta wamevaa vi sendroz vyao na soksi hapo wanaona washayapatia maisha.

Sisi wa kuja tikifika mjini tuna wapiga gape kubwa sana.. wanaanza kuleta shobo za kingese..

Mdogo angu alianza nae kuleta habari kama hizo ubishoo mwingi...

Chapa sana now amejilekebisha
Acha fix wee kijana, wee mwenyewe umetafuta mashangazi mjini wakuleee umekosa, ndo ukaangukia kwa shangazi wa mtukulaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unacheza msituni km askari wa wanyama pori? Au wee muwindajiiii?

Woiiiiiiih!!!
 
Unachokisema ni kweli 90% hata hapa nilipo naona wavivu mno wanashinda kwenye pooltable. Ubishoo wa kifala yaani.

Kazi usela mavi na kupiga piga piga vizinga jero buku.
Ukimpa kazi siku ya kwanza ya pili humuoni. Sijui wanadhani maisha ni maigizo kuna miujiza huko mbele.
Hata hao wanaowaiga akina Chinno wanafanya kazi.

Kazi wanazopenda ni zile za kivivu vivu. Kuuza duka la nguo.. kuñyoa saloon basi.
 
sasa hayo masuala ya kazi. Jikite kwenye mada mdogo wangu. Na ni wapi nimesema nawalipa hao vijana? Upo sawa au kuna dawa unatumia? Soma taratbu utaelewa mto songwe
Mimi sio mdogo wako, mtoto wako wala kaka yako kuwa na heshima.

Acha nikuambie kitu kijana kwenye maisha hakuna kusindikizana kwenye utajiri.
 
Mimi sio mdogo wako, mtoto wako wala kaka yako kuwa na heshima.

Acha nikuambie kitu kijana kwenye maisha hakuna kusindikizana kwenye utajiri.
kuwa na heshima wewe mdogo wangu. Wenye familia na majukumu wapo washapumzika usiku mwingi huu. Umekaa hapa kufata nini kama siyo kukosa usingizi sababu za kunguni mpaka kwenye mapumb....yako.
Uwe una heshima mdogo wangu
 
Yaani siku hizi watu wanatoa mada ambazo hazina historical facts at all..., Na kwa kufanya hivyo mtu akiangalia heading tu ni kwamba content nzima inakuwa Void ab Initio....

Vijana wa siku hizi kulinganisha na vijana gani ? Kama wewe ni kijana wa leo uliza Baba au Babu yako kama walikuwa wanafanya kazi zote...; Ualimu watu walikuwa hawataki..., kumwambia mtu akawe nesi anaona unamtania upolisi na uanajeshi anaona utamuona failure (siku hizi watu wanahonga wakawe wanajeshi)

Kazi za usafi na cleaning hakuna kijana angefanya (siku hizi wanapika na kutembeza mpaka uji kitaa) kuna kina dada wanamwaga hadi zege....., zamani ukiuza dengu au karanga huchelewi kuitwa fulani madengu (zamani ukiwa shule na unauza pipi utaonekana umetumwa na kijiji kuja kusoma au na waalimu watakwambia soma muda wa biashara baadae sasa hivi mama anauza ndizi mtoto wake anamsaidia badala ya kwenda kucheza tunaita ndio ujasiriamali....

Kwahio nakuuliza tena siku hizi kulinganisha na zamani zipi unazosema wewe ?
 
Kuchagua kazi ni lazima kwenye maisha

Usifanye kazi tu ilimradi eti kwasababu una njaa ..

Fanya kazi unayoiweza na utakayoifurahia ..

Sio mtu amekuona upo upo tu anaanza "we mwanga lutila kuna elfu elfu 8 nane hapa twende ukanisaidie kupalia shambani "..Hizo ni dharau

Tunachukuliana poa ...
 
Kazi za kuchosha mwili na akili kwa maslahi ya dàgaa watu wameshaachana nazo, hakuna mtu anayekataa kazi ikiwa na maslahi. Tatizo mnaotoa kazi mnapenda kunyonya watu kwa kisingizio unafundisha kazi na blahblah zingine za kinyonyaji.
 
Yaani siku hizi watu wanatoa mada ambazo hazina historical facts at all..., Na kwa kufanya hivyo mtu akiangalia heading tu ni kwamba content nzima inakuwa Void ab Initio....

Vijana wa siku hizi kulinganisha na vijana gani ? Kama wewe ni kijana wa leo uliza Baba au Babu yako kama walikuwa wanafanya kazi zote...; Ualimu watu walikuwa hawataki..., kumwambia mtu akawe nesi anaona unamtania upolisi na uanajeshi anaona utamuona failure (siku hizi watu wanahonga wakawe wanajeshi)

Kazi za usafi na cleaning hakuna kijana angefanya (siku hizi wanapika na kutembeza mpaka uji kitaa) kuna kina dada wanamwaga hadi zege....., zamani ukiuza dengu au karanga huchelewi kuitwa fulani madengu (zamani ukiwa shule na unauza pipi utaonekana umetumwa na kijiji kuja kusoma au na waalimu watakwambia soma muda wa biashara baadae sasa hivi mama anauza ndizi mtoto wake anamsaidia badala ya kwenda kucheza tunaita ndio ujasiriamali....

Kwahio nakuuliza tena siku hizi kulinganisha na zamani zipi unazosema wewe ?
Ujuaji mwingi ulichoandika hakuna. Sisi mitaa imetulea ni vile umeamua kukaza Fuvu na Injili itahubiriwa mpaka vijana tupone. Uwepo wa kuongezeka madubu ya wachina, uwepo wa mafremu makubwa ya sehemu za kubetia vijana kujazana ndani wakiamin ni sehemu ya kupatia utajiri, yaani kawaida inabidi umueleweshe mtu ni namna gani kitu unachokifanya kinaungizia Pesa. Tunaendelea kuzalisha kizazi ambacho kinaamini ukiwa sh1000 unapata Milioni50 ndio maana hata utendaji kazi ni mbovu na kazi zenyewe hawawezi, uwepo wa kuendelea kuongezeka kwa vikampuni vya pombe vya kipumbavu vikitengeneza super profit huku vijana mtaani wakiendelea kuungua utumbo na kuishia kuwa kwenye addiction kusahau ndoto zao.
VITU VINGINE UACHE UJUAJI KUONYESHA UPUMBAVU WAKO INJILI ITAHUBIRIWA NA HAKUNA UKWELI UNAOBADILIKA HAPO JUU. KAMA UNAKAA KWENU TOKA KAKAE MAGETONI UUZE HATA KARANGA. Huu uzi utaishi hapa na ipo siku utarudiwa kwa namna trend inayoendelea katika jamii
 
Yaani siku hizi watu wanatoa mada ambazo hazina historical facts at all..., Na kwa kufanya hivyo mtu akiangalia heading tu ni kwamba content nzima inakuwa Void ab Initio....

Vijana wa siku hizi kulinganisha na vijana gani ? Kama wewe ni kijana wa leo uliza Baba au Babu yako kama walikuwa wanafanya kazi zote...; Ualimu watu walikuwa hawataki..., kumwambia mtu akawe nesi anaona unamtania upolisi na uanajeshi anaona utamuona failure (siku hizi watu wanahonga wakawe wanajeshi)

Kazi za usafi na cleaning hakuna kijana angefanya (siku hizi wanapika na kutembeza mpaka uji kitaa) kuna kina dada wanamwaga hadi zege....., zamani ukiuza dengu au karanga huchelewi kuitwa fulani madengu (zamani ukiwa shule na unauza pipi utaonekana umetumwa na kijiji kuja kusoma au na waalimu watakwambia soma muda wa biashara baadae sasa hivi mama anauza ndizi mtoto wake anamsaidia badala ya kwenda kucheza tunaita ndio ujasiriamali....

Kwahio nakuuliza tena siku hizi kulinganisha na zamani zipi unazosema wewe ?
Mwanzisha Mjadala ni mtu mwenye uelewa mdogo, anayejifanya mwenye uelewa mkubwa na kuona vijana wasiokuwa na ajira rasmi ni wavivu.
 
Ujuaji mwingi ulichoandika hakuna. Sisi mitaa imetulea ni vile umeamua kukaza Fuvu na Injili itahubiriwa mpaka vijana tupone.
Heading yako inasema nini au Haujasema siku hizi wanachagua kazi ?
Uwepo wa kuongezeka madubu ya wachina, uwepo wa mafremu makubwa ya sehemu za kubetia vijana kujazana ndani wakiamin ni sehemu ya kupatia utajiri, yaani kawaida inabidi umueleweshe mtu ni namna gani kitu unachokifanya kinaungizia Pesa. Tunaendelea kuzalisha kizazi ambacho kinaamini ukiwa sh1000 unapata Milioni50
Betting ni Kazi ? Au hata haujui maana ya kazi ? Na kizazi hiki cha betting kinalishwa na uvivu wa Vijana au Serikali kuwa-convince na kuwa-indoctrinate watu kwamba you can win on betting ? Matangazo kila kona sababu tu Serikali inachukua 10 percent ya kila win.... Sasa ndio maana nikasema siku hizi watoa Hoja maneno yao hayana Historical Facts kwahio heading to inaweza kufanya content ikawa void..., Hizo unazoongelea hapo ni addiction wala hazina ujana wala uzee....
ndio maana hata utendaji kazi ni mbovu na kazi zenyewe hawawezi, uwepo wa kuendelea kuongezeka kwa vikampuni vya pombe vya kipumbavu vikitengeneza super profit huku vijana mtaani wakiendelea kuungua utumbo na kuishia kuwa kwenye addiction kusahau ndoto zao.
Kwahio uwepo wa Pombe za bei rahisi ni kosa la vijana na sio watunga sera kutokuwa na mikakati ya kuleta policy za kuhakikisha ajira zenye ujira ?!! Sasa hivi hapa wala hatuongelei tena uchagua kazi wa wazee wa sasa (vijana wa zamani) na vijana wa sasa tuonaongelea policy mbovu za kutokuwa na ajira zenye ujira..., Tangaza kazi leo ambayo vijana wa zamani wasingekwenda hata mmoja utaona wangapi wata-apply hata kama utawapeleka huko in the middle of no-where
VITU VINGINE UACHE UJUAJI KUONYESHA UPUMBAVU WAKO INJILI ITAHUBIRIWA NA HAKUNA UKWELI UNAOBADILIKA HAPO JUU. KAMA UNAKAA KWENU TOKA KAKAE MAGETONI UUZE HATA KARANGA. Huu uzi utaishi hapa na ipo siku utarudiwa kwa namna trend inayoendelea katika jamii
'I am the wisest man alive, for I know one thing, and that is that I know nothing.' - Kwahio kwa kujua kwangu kwamba nina-lack knowledge naendelea na nitaendelea kujifunza tofauti na wewe unayedhani unajua utaendelea kubaki na ujuaji wako (Hujui kwamba Hujui).... : ila facts ni kwamba in comparison wa sasa na wa zamani.., vijana wa zamani walichagua kazi.... (na options walikuwa nazo)
 
Heading yako inasema nini au Haujasema siku hizi wanachagua kazi ?

Betting ni Kazi ? Au hata haujui maana ya kazi ? Na kizazi hiki cha betting kinalishwa na uvivu wa Vijana au Serikali kuwa-convince na kuwa-indoctrinate watu kwamba you can win on betting ? Matangazo kila kona sababu tu Serikali inachukua 10 percent ya kila win.... Sasa ndio maana nikasema siku hizi watoa Hoja maneno yao hayana Historical Facts kwahio heading to inaweza kufanya content ikawa void..., Hizo unazoongelea hapo ni addiction wala hazina ujana wala uzee....

Kwahio uwepo wa Pombe za bei rahisi ni kosa la vijana na sio watunga sera kutokuwa na mikakati ya kuleta policy za kuhakikisha ajira zenye ujira ?!! Sasa hivi hapa wala hatuongelei tena uchagua kazi wa wazee wa sasa (vijana wa zamani) na vijana wa sasa tuonaongelea policy mbovu za kutokuwa na ajira zenye ujira..., Tangaza kazi leo ambayo vijana wa zamani wasingekwenda hata mmoja utaona wangapi wata-apply hata kama utawapeleka huko in the middle of no-where

'I am the wisest man alive, for I know one thing, and that is that I know nothing.' - Kwahio kwa kujua kwangu kwamba nina-lack knowledge naendelea na nitaendelea kujifunza tofauti na wewe unayedhani unajua utaendelea kubaki na ujuaji wako (Hujui kwamba Hujui).... : ila facts ni kwamba in comparison wa sasa na wa zamani.., vijana wa zamani walichagua kazi.... (na options walikuwa nazo)
unaweza kujibizana umeandika pointi sana sana kamasi zimejaa kichwani.
Hao wazamani walikuwa wanachagua kazi kwa fact zipi?
Kuwepo kwa vitu hivyo vyote nilivyoisema ni matokeo ya akili za vijana wa sasahivi . Kama utashindwa kulea mtoto wako katika njia sahihi dunia itakusaidia kumelelea. Kuwepo kwa vipombe vya bei rahisi ni namna ambavyo vijana wa sasahiv mentality zao zilivyo.
Kuwepo kwa betting ni sababu ya vijana wa sasahiv hawapendi kazi na ni WAVIVU. Mbona haya mabetting Hayajasambaa kwa kiasi kikubwa nchi za kwanza ?
Huelewi kwamba betting ni kazi? Kitu kinachoingiza pesa na watu wanewekeza pesa hiyo si kazi? Upo sawa kichwani kweli au unatumia dawa mkuu?😂😂 au kazi ni nini? Ni ku drain energy peke yake bila kuingiza chochote?
Uwepo wa vitu vyote nilivyotaja ni matokeo ya vijana na wala siyo kuwa indoctrinated kama unavyosema. Hawataki kufanya kazi, wanacheza madubu kwa pesa za kuiba kwao.
Eti zamani walikuwa wanachagua kazi! Walikuwa wanachagua kazi gani?

Kama na wewe ni mmoja wao au una kijana wako limekaa tu nyumbani linasubiri kuletewa mwisho wa siku atapakatwa. Atoke afNye kazi.
 
Back
Top Bottom