Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

Watoto,vijana wa sahv legelege
Wanapenda kufanya mambo mepesi mepesi,
Kila kijana,mtoto sahv anakuambia anataka kuwa influencer au mkata uno,chawa

Ova
kuna majinga yanatetea upumbavu. Ukweli mchungu unasemwa hawapendi kazi za kuumiza kichwa kuna tatizo kubwa Sana kwa “entitlements mentality” kwa vijana hasa sisi wa sikuhizi kwamba ni lazima Asaidiwe kwa kila kitu. Ndio maana hata NDOA hawawezi kazi kuzalisha na kukimbia wanawake hawawezi majukumu kabisa. Alishazoea aweke pesa hajui hata mchanganuo wa ni jinsi gani anaingiza faida.
kikawaida mtu inabidi umuelekeze ni namna gani kitu kinafanya kazi. Ubongo unaaminishwa kwamba ipo njia nyepesi ya kupata pesa bila kuvuja jasho na akili hivyo hivyo akili inalemaa mpaka kwenye familia yake yaani likijana la miaka 27 haliwezi hata kujisimamia lenyewe hata kutatua matatizo yake binafsi.

Kile kizazi cha wanachuo wa miaka y 2009 walikuwa wanapigwa mpaka na mabomu kule UDSM sababu walikuwa wakihoji sasahiv akipo kabisa.
Sijui nani alisemaga mwalimu Nyerere anaongoza MAITI NA LINA UKWELI MTUPU!
 
kuna majinga yanatetea upumbavu. Ukweli mchungu unasemwa hawapendi kazi za kuumiza kichwa kuna tatizo kubwa Sana kwa “entitlements mentality” kwa vijana hasa sisi wa sikuhizi kwamba ni lazima Asaidiwe kwa kila kitu. Ndio maana hata NDOA hawawezi kazi kuzalisha na kukimbia wanawake hawawezi majukumu kabisa. Alishazoea aweke pesa hajui hata mchanganuo wa ni jinsi gani anaingiza faida.
kikawaida mtu inabidi umuelekeze ni namna gani kitu kinafanya kazi. Ubongo unaaminishwa kwamba ipo njia nyepesi ya kupata pesa bila kuvuja jasho na akili hivyo hivyo akili inalemaa mpaka kwenye familia yake yaani likijana la miaka 27 haliwezi hata kujisimamia lenyewe hata kutatua matatizo yake binafsi.

Kile kizazi cha wanachuo wa miaka y 2009 walikuwa wanapigwa mpaka na mabomu kule UDSM sababu walikuwa wakihoji sasahiv akipo kabisa.

Sijui nani alisemaga mwalimu Nyerere anaongoza MAITI NA LINA UKWELI MTUPU!
Kweli kabisa

Ova
 
Hawataki kazi ngumu, wanadhani kuna hela rahisi rahisi.
Wapo wasiochagua kazi ila elimu waliipa kisogo, vikazi vya siku hizi hivi ni ujanja ujanja na uongo na ukweli.

Mtu ana kacv ka ajabu tu ila unamkuta ni kaboss mtoto mahala, kikubwa kaua form 4 na ametengeneza kacv uchwara basi.

Hizi ofisi za mikopo zina watu wengi wa namna hiyo, watu wengi wa sales mitaani ndo cv zao hizo.

Kuna wale sasa ambao hata elimu ya form 4 hana, basi uwe na nida nayo hana, basi hamna hamna uwe na kitambulisho cha mpiga kura nacho hana, haya basi hamna kabisa kabisa uwe na cheti cha kuzaliwa nacho ooh nimekiacha mkoani, alooo usaidiwaje sasa!!.
 
unaweza kujibizana umeandika pointi sana sana kamasi zimejaa kichwani.
Hao wazamani walikuwa wanachagua kazi kwa fact zipi?
Mkuu hata kusoma hujui ? Ulizia watu waliokuzidi kila mtu alikuwa akitoka Shule kuna mkeka wa Kazi..., Kazi kama Ualimu, Unesi, Upolisi, Uanajeshi watu walikuwa hawawezi kwenda (labda kwenye Jeshi wengi walikwenda Wakurya)....; Watu walikuwa wakipangiwa Ualimu sehemu fulani hawaendi...., Kazi kama kuuza Bar n.k. mtu akifanya huko anaonekana amelost...; (Sasa hivi Hospitality na Kazi kama hizo watu wanafanya)

Kusukuma mkokoteni au toroli labda uwe Mkara....; wengine wagogo walikuwa wanaona bora tu wawe ombaomba....; Wengine town walikuwa wanawaza kuwa ma-baharia kwenda kuzamia meli....

Sasa hivi tangaza kazi ya ualimu hata kama ni watu kukaa kwenye kichali cha ndege (hakuna nyumba uone wangapi wata-apply)

Now kama ulikuwa hujui hizo juu nilizoweka ndio facts... To be precise Historical Facts...
Kuwepo kwa vitu hivyo vyote nilivyoisema ni matokeo ya akili za vijana wa sasahivi . Kama utashindwa kulea mtoto wako katika njia sahihi dunia itakusaidia kumelelea. Kuwepo kwa vipombe vya bei rahisi ni namna ambavyo vijana wa sasahiv mentality zao zilivyo.
Kwahio hawa vijana walikuwa wakubwa wakatengeneza viwanda vya pombe au kuachia pombe za nje kuingia kwa bila kuzipiga kodi kubwa hence kuwa bei rahisi alafu wakawa re-incarnated wakawa vijana tena ili waje wanunue hizo pombe ?

Mkuu unaangalia vitu kwa mafungu bila kuona the whole picture..., Unajua kwanini Russia watu ni walevi sana wa Vodka (urahisi wa bei za Vodka na ugumu wa maisha) ni rahisi kwa mtu kupata Vodka kuliko menu ya siku anaona bora tu apige tungi huenda akapata usingizi na kusahau matatizo yake
Kuwepo kwa betting ni sababu ya vijana wa sasahiv hawapendi kazi na ni WAVIVU. Mbona haya mabetting Hayajasambaa kwa kiasi kikubwa nchi za kwanza ?
Unamaashisha nini nchi za Kwanza ? Kama unamaanisha nchi za nje rudia tena kufanya research..., Nenda Ulaya au USA kwenye China Town yoyote uone jinsi wachina wanavyocheza kamari (Chinese are addicted Gamblers) unadhani hizi Ladbrokes, WilliamHill, BetFair n.k. zimetokea wapi au ni za wapi (kama sio hizo so called nchi za kwanza)..., Tena bora huko UK wanapiga marufuku baadhi ya matangazo ya Betting (Huku Serikali imeachia hadi kipindi cha Taarifa ya Habari) sasa hapo makosa ni ya hawa addicted people (na sio vijana tu) au ni makosa ya Serikali ?
Huelewi kwamba betting ni kazi? Kitu kinachoingiza pesa na watu wanewekeza pesa hiyo si kazi? Upo sawa kichwani kweli au unatumia dawa mkuu?😂😂 au kazi ni nini? Ni ku drain energy peke yake bila kuingiza chochote?
Betting ni kazi kwa nani ? Bookmaker (Anayechezesha / Kampuni) au Punter / Anayecheza Bahati Nasibu na uhakika wa kupoteza ni 100% ?

Hivi wewe kama unajipinga mwenyewe mimi ndio taweza kukupinga kweli ? Sio wewe uliyesema kwamba vijana wa sasa ni wavivu na wanachagua kazi ? Sasa kama Betting ni Kazi uvivu wao upo wapi ? Si wanafanya kazi ?

Ila betting sio Kazi / Betting ni Kamari na kamari mwisho wake unless unauza tips / vitabu au wewe ndio mchezeshaji mwisho wa siku itakula pesa zako na wewe sio kula (Na hakuna kazi ambayo haina malipo, na in so far as betting is concerned mwisho wa siku utapoteza)
Uwepo wa vitu vyote nilivyotaja ni matokeo ya vijana na wala siyo kuwa indoctrinated kama unavyosema. Hawataki kufanya kazi, wanacheza madubu kwa pesa za kuiba kwao.
Eti zamani walikuwa wanachagua kazi! Walikuwa wanachagua kazi gani?
Betting ambayo umesema ni kazi na sasa unasema kwamba hawataki kufanya kazi ?!!!, Au kila ukiweka nukta unasahau ulichoandika kabla ?
Kama na wewe ni mmoja wao au una kijana wako limekaa tu nyumbani linasubiri kuletewa mwisho wa siku atapakatwa. Atoke afNye kazi.
Sasa umeanza Vioja kama mimi sitaki kufanya kazi na ni mvivu inamaanisha wengine ni wavivu ? Tumeingia kwenye kuongelea mtu na sio issue at hand ?
 
Yaani siku hizi watu wanatoa mada ambazo hazina historical facts at all..., Na kwa kufanya hivyo mtu akiangalia heading tu ni kwamba content nzima inakuwa Void ab Initio....

Vijana wa siku hizi kulinganisha na vijana gani ? Kama wewe ni kijana wa leo uliza Baba au Babu yako kama walikuwa wanafanya kazi zote...; Ualimu watu walikuwa hawataki..., kumwambia mtu akawe nesi anaona unamtania upolisi na uanajeshi anaona utamuona failure (siku hizi watu wanahonga wakawe wanajeshi)

Kazi za usafi na cleaning hakuna kijana angefanya (siku hizi wanapika na kutembeza mpaka uji kitaa) kuna kina dada wanamwaga hadi zege....., zamani ukiuza dengu au karanga huchelewi kuitwa fulani madengu (zamani ukiwa shule na unauza pipi utaonekana umetumwa na kijiji kuja kusoma au na waalimu watakwambia soma muda wa biashara baadae sasa hivi mama anauza ndizi mtoto wake anamsaidia badala ya kwenda kucheza tunaita ndio ujasiriamali....

Kwahio nakuuliza tena siku hizi kulinganisha na zamani zipi unazosema wewe ?
Vijana wa siku hizi wanachagua kazi na hawana kazi au mbadala wa kufanya nyingine yuko radhi kukaa nyumban au kwa mjomba nakuwa goli kipa, zaman mtu akiikataa kazi hii basi atafanya kazi nyingine na option zilikuwa nyingi sana
 
Vijana wa siku hizi wanachagua kazi na hawana kazi au mbadala wa kufanya nyingine yuko radhi kukaa nyumban au kwa mjomba nakuwa goli kipa, zaman mtu akiikataa kazi hii basi atafanya kazi nyingine na option zilikuwa nyingi sana
Kwahio keyword walikuwa wanakataa baadhi ya kazi ? In short comparison ya kukataa kazi kwa vijana wa sasa na wa zamani inabidi isiwepo sababu sasa hivi hakuna option ikija ajira yoyote unaona vijana maradufu kuliko hata uwepo wa kazi....., hata zile wa zamani walizokataa wa sasa wanazikimbilia

Ila tatizo watu wamekuwa brainwashed badala ya kuwashika watunga sera waje na policy za ajira wana-wabana hawa madogo kufanya lolote wakati chochote kinachofanyika sasa (hata hizo ajira) ujira sio sustainable
 
Kwahio keyword walikuwa wanakataa baadhi ya kazi ? In short comparison ya kukaa kazi kwa vijana wa sasa na wazani inabidi isiwepo sababu sasa hivi hakuna option ikija ajira yoyote unaona vijana maradufu kuliko hata uwepo wa kazi.....

Ila tatizo watu wamekuwa brainwashed badala ya kuwashika watunga sera waje na policy za ajira wana-wabana hawa madogo kufanya lolote wakati chochote kinachofanyika sasa (hata hizo ajira) ujira sio sustainable
Kwahio keyword walikuwa wanakataa baadhi ya kazi ? In short comparison ya kukaa kazi kwa vijana wa sasa na wazani inabidi isiwepo sababu sasa hivi hakuna option ikija ajira yoyote unaona vijana maradufu kuliko hata uwepo wa kazi.....

Ila tatizo watu wamekuwa brainwashed badala ya kuwashika watunga sera waje na policy za ajira wana-wabana hawa madogo kufanya lolote wakati chochote kinachofanyika sasa (hata hizo ajira) ujira sio sustainable
Ngoja nikuulize kitu hivi kijana wa zamani ambaye ana machaguzi manne ya kazi na akachagua anayoitaka katika hayo manne na kijana mwingine ambaye hana chaguzi au anachaguzi moja na bado kwenye hilo chaguzi moja kuna ushindani yeye akaamua kuikataa nakuona haimfai hiyo fusra na kuamua kukaa nyumbani kutegemea wazazi ambao pengine wanafanya kazi ngumu kuliko hata hiyo aliyoikataa na huku umri wa huyo kijana unazidi kuenda, yupi kwako unaona ana akili ya maisha?
 
Ila tatizo watu wamekuwa brainwashed badala ya kuwashika watunga sera waje na policy za ajira wana-wabana hawa madogo kufanya lolote wakati chochote kinachofanyika sasa (hata hizo ajira) ujira sio sustainable
Kwahiyo unasubiri watunga sera ndo waje kukumboa kwenye swala la ajira? Je hawa waliotoboa kwenye mazingira ya hizo hizo sera mbovu ni nani aliyewashika kama sio kujiongeza wenyewe
 
Hawataki kazi ngumu, wanadhani kuna hela rahisi rahisi.
Wapo wasiochagua kazi ila elimu waliipa kisogo, vikazi vya siku hizi hivi ni ujanja ujanja na uongo na ukweli.

Mtu ana kacv ka ajabu tu ila unamkuta ni kaboss mtoto mahala, kikubwa kaua form 4 na ametengeneza kacv uchwara basi.

Hizi ofisi za mikopo zina watu wengi wa namna hiyo, watu wengi wa sales mitaani ndo cv zao hizo.

Kuna wale sasa ambao hata elimu ya form 4 hana, basi uwe na nida nayo hana, basi hamna hamna uwe na kitambulisho cha mpiga kura nacho hana, haya basi hamna kabisa kabisa uwe na cheti cha kuzaliwa nacho ooh nimekiacha mkoani, alooo usaidiwaje sasa!!.
kuna lijinga nimeacha na kulijibu naona ni miongoni mwao.
Yaani halafu tukihubir injili kuna Mtu kunifanya ana hekima kumbe kamasi kichwani. VIJANA WA SIKUHIZI NI HATARI SANA. KUSOMA HALIWEZI KAZI LINACHAGUA LINAKWAMBIA HALITAKI KULIPWA ELF7 KWA MO BASI NENDA VETA LINAISHIA KUCHEZA SINGELI NA KUNYWA VISUNGURA😂😂.
NWISHO WA SIKU KILA MTU NA MAISHA YAKE LAKINI UJUMBE UMEFIKA.
Zamani watu walikuwa wanapiga kazi. Nafasi mtu akipata kwenda kusoma anasoma haswa nafasi walikuwa wanachagua sababu mwamko wa elimu ulikuwa mdogo hivyo watu wanamaliza wachache na wanaohitajika ni wengi. katika kipindi cha sasa kijana hajui kama kuna ushindani limekaa ndani halitaki kujishugulisha HASWA MTOTO WA KIUME HAWA NDIO WANA HASARA KULIKO WAKIKE.
HUU UZI UTAISHI HAPA NA WATU WATARUDI KUKUMBUSHIA
 
Kwahiyo unasubiri watunga sera ndo waje kukumboa kwenye swala la ajira? Je hawa waliotoboa kwenye mazingira ya hizo hizo sera mbovu ni nani aliyewashika kama sio kujiongeza wenyewe
katika jinga lililojaa kamasi ni hilo nimeacha na kulijibu labda hajawahi kushinda sehemu za Buza, mburahati, kigogo, kiwalani akaona jinsi gani uhalisia ulivyo.
 
Wengi wataolewa miaka kumi mbele wakiendelea na mtindo huo vigelegele vitakuwa vingi sana mitaani!
kuna watu wanapinga ninachoongea ila huu uzi utakuja kufufuliwa hapa.
Lijinga moja linakwambia zamani walikuwa wanachagua kazi.
Halijui hata hizo fursa za kusoma na mwamko wa elimu bado ulikuwa mdogo kulinganisha na miaka hii. Watu wanamaliza wachache lakini uhitaji mkubwa. Tuliolelewa na mitaa tunaelewa uchungu wakuona mdogo wako anaishia gerezani sababu hakuna anachoweza kufanya na anaishia kutumia madawa tu.
TUFANYE KAZI
 
Ngoja nikuulize kitu hivi kijana wa zamani ambaye ana machaguzi manne ya kazi na akachagua anayoitaka katika hayo manne na kijana mwingine ambaye hana chaguzi au anachaguzi moja na bado kwenye hilo chaguzi moja kuna ushindani yeye akaamua kuikataa nakuona haimfai hiyo fusra na kuamua kukaa nyumbani kutegemea wazazi ambao pengine wanafanya kazi ngumu kuliko hata hiyo aliyoikataa na huku umri wa huyo kijana unazidi kuenda, yupi kwako unaona ana akili ya maisha?
Kwamba zamani kulikuwa hakuna vijana vijiweni au wengine kuwaza ndoto za kuwa mabaharia na kwenda ughaibuni ?

Pili kwahio sasa hivi tumeanza kupata mzizi wa fitina ambao ni ukosefu wa fursa (kazi) sio kama zamani; Zamani hata ukikutwa mtaani unazuzura hauna kazi kuna kipindi watu wanapelekwa Gezaulole wakatiwe kiwanja wakalime sasa hivi hata ukienda sehemu unataka ulime lazima ukodishwe kwa pesa kiasi kadhaa na huenda ukavuna na soko halipo.....

In short Statement yangu ya kwanza imeongelea angalizo (watu wasitoe uzi ambao hauna historical facts tena kwenye heading kufanya hivyo kunafanya habari nzima kuwa na walakini) Mbili kuna shida ndio sikatai ila shida na mzizi wa fitina ni watunga sera na status quo sio sustainable badala ya kuwanyoshea vidole watu ambao tumewasomesha (tumewakopesha) kwa kodi zetu na mabilioni ya pesa ili labda wasomee irrigation kusaidia kilimo cha umwagiliziaji leo unawaambia wakawe wachuuzi kutembeza nguo (tena za Mchina)....; Badala ya kuwatumia watu wetu kusimamia Bandari yetu tunasema hawa watu hawawezi tulete wengine wafanye ili watu wetu wabakie kuwauzia uji au labda ma-bar maid kuwahudumia hao wawekezaji wakitoka kazini....
 
Mbona tukiwaomba kazi hamtoi na inawezekana vipi nije kujifunza kuchonga chips wiki nzima na usikute mshahara chakula tu alafu unasema anachagua kazi
wewe mkuu una ujuzi gani?
Mbona kwa Mo na Bakhresa unapanga foleni pale unaingia. Mtafute HR MPE CHOCHOTE KAPIGE KAZI. Huwezi kumfanyisha mtu kazi bila malipo pesa tunawapa na chakula anakula. Lakini anataka kupata pesa nyingi kwa haraka na akiipata anaenda kuipeleka kwenye kamari ya kubeti ili apate pesa ya haraka mwisho wa siku anAishia kuwa na frustration anasema pesa ndogo.
huko vijiweni mkikaa hamtaki kuambiana ukweli
 
Kwahiyo unasubiri watunga sera ndo waje kukumboa kwenye swala la ajira? Je hawa waliotoboa kwenye mazingira ya hizo hizo sera mbovu ni nani aliyewashika kama sio kujiongeza wenyewe
Sasa hapo unaniongelea mimi na sio vijana wa sasa kuchagua kazi in comparison na vijana waliopita ? Ni wangapi wametoboa sasa ? Percentage-wise ?

Kitaa maisha magumu watu wanabangaiza..., watu ni madalali katika level tofauti sasa badala ya kuridhika na mediocrity au kila mtu hadi professionals kwenda kwenye siasa ambayo ndio inalipa kwa watu wenye fikra inabidi kujiuliza nini kifanyike na kinachofanyika sasa is not fit for purpose....; Kama ajira kuu hata kwa afya ni hatari (Bodaboda, Wachimbaji wadogo n.k.) jambo ambalo kama taifa tutalipia kwa kutumia pesa kwa ajili ya Healthcare.., utaona kwamba tunatibu symptoms na sio ugonjwa wenyewe....

Na kutokujituma au kukata tamaa kwa vijana wa sasa au kutumbukia kwenye addiction za kamari hakubadilishi UKWELI KWAMBA, statement ya uchaguzi wa sasa wa kazi between vijana wa sasa na wa zamani does not hold water..., Sababu wa zamani ndio walikuwa wachaguzi wakuu....
 
katika jinga lililojaa kamasi ni hilo nimeacha na kulijibu labda hajawahi kushinda sehemu za Buza, mburahati, kigogo, kiwalani akaona jinsi gani uhalisia ulivyo.
Mimi mzee wangu ukimuona maisha anayoishi sasa hivi unaweza kusema hajawahi kupitia dhoruba yoyote kwenye haya maisha kumbe alishawahi jichimbia mpaka kwenye nchi za watu nakuwindwa kama mnyama, Bandari ya dar es salaam ile ameshakoroga zege sana kuijenga mpaka kuja kujipata unaona kweli alipambana, Ukija kumuona sasa hivi mali anazomiliki ndo hapo unaamini safari ya mafanikio mara nyingi sio fupi kama watu wanavyofikiri
 
Hawataki kazi ngumu, wanadhani kuna hela rahisi rahisi.
Wapo wasiochagua kazi ila elimu waliipa kisogo, vikazi vya siku hizi hivi ni ujanja ujanja na uongo na ukweli.

Mtu ana kacv ka ajabu tu ila unamkuta ni kaboss mtoto mahala, kikubwa kaua form 4 na ametengeneza kacv uchwara basi.

Hizi ofisi za mikopo zina watu wengi wa namna hiyo, watu wengi wa sales mitaani ndo cv zao hizo.

Kuna wale sasa ambao hata elimu ya form 4 hana, basi uwe na nida nayo hana, basi hamna hamna uwe na kitambulisho cha mpiga kura nacho hana, haya basi hamna kabisa kabisa uwe na cheti cha kuzaliwa nacho ooh nimekiacha mkoani, alooo usaidiwaje sasa!!.
Huu ndo ukweli halisi.
 
Back
Top Bottom