Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

Una andika mambo makubwa kuliko uwezo wake. Unapoteza wako.
 
Usilinganishe kizazi hiki na sie wahenga, hiki ni kizazi, kinachotaka Mambo yaende fasts(inawezekana) jamii inawakosea sana vijana wa 1998 kuja juu
 
Kuna mmoja mtaani Kila siku alikuwa ananisumbua kuhusu michongo simpi. Siku moja nikamwambia twende shambani kwangu Kuna kazi ya miezi 2 na mshahara laki mbili,kulala na kula juu yangu. Baada ya wiki moja vibarua shambani wakaanza kunipigia simu kwamba dogo kazi yake kutwa ni kucheza Yale mabonanza na kubeti na kulewa. Nikachunguza na kuona kweli, yaani fasta nikamtimua.
 
Yaani hawajitambui mkuu coz niko kwenye rika lao nawaona. Yaani wazito wazito...

Unakuta ana uhakika wa kula home na kulala basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…