Vijana wa taifa letu mnasikitisha. Saa 12:30 asubuhi Jumatatu nakutana na kijana duka la dawa ananunua kondomu

Vijana wa taifa letu mnasikitisha. Saa 12:30 asubuhi Jumatatu nakutana na kijana duka la dawa ananunua kondomu

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.

Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu

Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
 
Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana nayeye anapata huduma yeye kafata kondom anasema anaenda kazini hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondom kweli hii nchi kazi ipo daaah
ametoka kazini shift ya usiku, acha shobo
 
Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana nayeye anapata huduma yeye kafata kondom anasema anaenda kazini hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondom kweli hii nchi kazi ipo daaah
Pengine alikesha sasa ni muda wake wa kwenda kupumzika na kufanya mengine, na kwakununua condom inaonesha anajali afya yake
 
Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana nayeye anapata huduma yeye kafata kondom anasema anaenda kazini hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondom kweli hii nchi kazi ipo daaah

Una matatizo makubwa sana, what If alikuwa job night, na mkewe alikuwa safari ndo a mekuja?

Why do you think watu wote J3 kwa ni muhimu? Kuna office na restaurant wanaanza kazi zao J5.

UKiwa na mfumo wako wa kazi na utafutaji haufanyi wengine wawe wazembe
 
Mimi mtaniacha na ndio nagonga 81 sasa hii ngoma mpk 90 itafika insh Allah
Kwani huko "ahera" kuna attendance register ya nan kawahi au kachelewa mkuu? Muache kijana, his life his choices.

Hata wewe ungekuwaga serious na maisha kipindi hicho leo ungekua unatuma dereva akakuletee dawa ukiwa visiwani huko unapunga upepo.

Lakn ndo hvo saa kumi na mbili uko dukani unaparangana. Ashakhum si matusi
 
Bro pole ninakazi za kuchomelea ndio nikaona Usiku nisilale kwa sababu ya mgao Wa umeme sasa asubuhi ndio naenda kulala.

VP kwani unaumia sisi vijana tuwe Wa ajabu ninyi miaka 60 yote hamna Maji wala umeme hatujasema mizee ya ajabu tunawavumilia tu hivyo hivyo .tuheshimiane mzee
 
Kwani huko "ahera" kuna attendance register ya nan kawahi au kachelewa mkuu?
Muache kijana, his life his choices.
Hata wewe ungekuwaga serious na maisha kipindi hicho leo ungekua unatuma dereva akakuletee dawa ukiwa visiwani huko unapunga upepo. Lakn ndo hvo saa kumi na mbili uko dukani unaparangana. Ashakhum si matusi
Hili neno limeniuma nimekuchukia wewe kijana
 
Back
Top Bottom