Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Katoka shift ya usiku. Yeye ni mlinzi ndo karudi kunyoosha goti nyumbani. Usihukumu bila kuuliza. Sio kila mtu anafanya kzi j3Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
That was then and this is now...Mimi nilikuwa nafanya kazi mizani ubungo pale lipo jengo la tanesco na tulikuwa na shift unatoka pale jirani kilikuwa na bar inaitwa Port access corner bar Maquis wanapiga pale au safari sound inakujia hamu ukaangalie kwa ochovu uliokuwa nao uwezi zaidi ya kwenda nyumbani kulala kama gunia maana zamani kazi ni kazi sio kutwa vijana mpo kwenye simu mara computer zama hizo kazi kazi kweli
Sasa tunaouza hizo condom hela ya chai tuitoe wapi kama tusipopata wateja asubuhi na mapema?Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
We jamaa comments zako....ha ha ha...ko ikawaje?Acha kuingilia mambo ya watu..mimi nilimshangaa sana mama yangu mzazi siku nimekwenda kumtembelea nikampa begi langu anihifadhie ndani ya begi lile kulikuwa na condom, nilikuta amelisachi na condom zangu hazionekani ......nilipomuuliza mbona baadhi ya vitu vyangu sivioni alinijibu kwa ukali
Nimekumiss🥰Tuachane na uzinzi.
Niambie hao vijana wa Nyerere waliifanyia nini nchi hii? Tumeikuta nchi gizani, barabara mbovu, maji ya bomba hakuna, njaa kila mwaka na umasikini totoro plus ujinga....walifanya kitu gani?
Ooh mpendwa wii nafurahi kusijia😍
Ndio maana ww una presha.Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
sawa bibi umesikikaLeo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
Kufatilia mambo ya watu mpaka unapata presha ni hatari.. Bora huyo kijana alikumbuka kuilinda afya yake.. Wewe unaiua kwa kufatilia mambo ambayo hayakuhusu..Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
Mkuu mtu anaenda kupunguza nyege zake ww unataka abake ili baadae muanze kusema tena??? maisha usikariri eti ikifika jumatatu ndo siku ya kazi kuna watu wanafanya kazi weekend tu na wana mtonyo mkubwa kuliko sisi tunao amka na kuegesha tu usiku maana tuko busy hatari huku maisha yakiwa bado tunayapambania ..cha msingi tusipende kupangiana maisha.Mnateteana ujinga kabisa vijana ovyo kabisa