Vijana wa umri mdogo kujihusisha kimapenzi na watu wazima chanzo ni nini?

Tamaa ya pesa tu
 
Ooh sawa mkuu. So 20s vs 40s ni sawa?
actually, ndiyo...

na ndoa na mahusiano mengi ya sasa, angalau yenye uhai Lakini yasiyo na hakika ni miongoni mwa umri huo....

kwasabb mabinti wengi wa 20yrs wako masomoni na hawajaamua kuolewa, na unakuta kijana wa40yrs ndio yuko tayari na anataka ndoa kwa hali na mali na matokeo yake mpaka binti anamaliza shule kama jamaa hajampiga mimba, ana 23 na kijana ana 43 ndipo ndoa inafungwa ๐Ÿ’
 
Unajua รฎle siku tulipigwa ban wote nikapambana nikatoka ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Vipi sasa bff wangu simuoni umemficha wapi?
Naona kanitoroka kaja peke yake kukuona mgonjwa
Wewe ulimlisha matango pori, ananiona kama vice shetani Yani ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Slope
Vijana wa kike kwa wa kiume wanapenda mteremko wa maisha

Mungu aingilie kati
 
Katiba mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ