Vijana Waafrika waachane na mawazo mfu yaliyopitwa na wakati ya kulaumu "mabeberu"

Vijana Waafrika waachane na mawazo mfu yaliyopitwa na wakati ya kulaumu "mabeberu"

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huku kulaumu watu wa nje kwa matatizo ya sasa ya Afrika ni mawazo yaliyopitwa na wakati yasiyo na tija yoyote, yanahaitaji kukataliwa na kupuuzwa kabisa. Inasikitisha zaidi fikira hizi kuendelea kuwepo na kuaminiwa tena na vijana.

Chanzo kikuu cha umaskini wa Africa ya sasa ni utawala mbovu unaosababishwa na Waafrika wenyewe, hili tatizo likipatiwa ufumbuzi maendeleo yatapatikana tu kama sehemu nyingine nyingi za dunia.

 
Huku kulaumu watu wa nje kwa matatizo ya sasa ya Afrika ni mawazo yaliyopitwa na wakati yasiyo na tija yoyote, yanahaitaji kukataliwa na kupuuzwa kabisa. Inasikitisha zaidi fikira hizi kuendelea kuwepo na kuaminiwa tena na vijana.

Chanzo kikuu cha umaskini wa Africa ya sasa ni utawala mbovu unaosababishwa na Waafrika wenyewe, hili tatizo likipatiwa ufumbuzi maendeleo yatapatikana tu kama sehemu nyingine nyingi za dunia.

Hayo "mabeberu" yaliwapanda au yanawapanda?
 
Huku kulaumu watu wa nje kwa matatizo ya sasa ya Afrika ni mawazo yaliyopitwa na wakati yasiyo na tija yoyote, yanahaitaji kukataliwa na kupuuzwa kabisa. Inasikitisha zaidi fikira hizi kuendelea kuwepo na kuaminiwa tena na vijana.

Chanzo kikuu cha umaskini wa Africa ya sasa ni utawala mbovu unaosababishwa na Waafrika wenyewe, hili tatizo likipatiwa ufumbuzi maendeleo yatapatikana tu kama sehemu nyingine nyingi za dunia.

View attachment 3043019
Huko kulaumu ni mismo inayotengenezwa na wanasiasa ili kujisafisha.
Na wana waanisha watu kuwa shida zao zimeletw ana hao watu weupe wakati si kweli, na vijana nao wameingia kwenye mtego

Hawataki ku think deep
 
Unataka
 

Attachments

  • FB_IMG_1720891524529.jpg
    FB_IMG_1720891524529.jpg
    32.2 KB · Views: 3
Huku kulaumu watu wa nje kwa matatizo ya sasa ya Afrika ni mawazo yaliyopitwa na wakati yasiyo na tija yoyote, yanahaitaji kukataliwa na kupuuzwa kabisa. Inasikitisha zaidi fikira hizi kuendelea kuwepo na kuaminiwa tena na vijana.

Chanzo kikuu cha umaskini wa Africa ya sasa ni utawala mbovu unaosababishwa na Waafrika wenyewe, hili tatizo likipatiwa ufumbuzi maendeleo yatapatikana tu kama sehemu nyingine nyingi za dunia.

View attachment 3043019
huyo jamaa kashiba kiswahili kashatoboa anaona wengine wamekosea ila ndio hivo masikini akipata matako ulia ccm ccm ccm
 
waafrika ni jamii ya watu wanaongoza kulialia, always huwa wanatafuta mchawi mbali wamatatizo yao waliyonayo
 
huyo jamaa nae ni mpuuzi, swala lianze kwanini tunaze kuombaomba misaada? kwanini sisi hatuna rasilimali na mifumo mengine ya mapato mpaka tukaombe misaada? waafrika wamelaanika
 
Kama kuna kaukwel fulan hivi
Ukweli upi?
Kiongozi kama hutaki mikataba mibovu ya hovyo kwenye taifa lako ni kuikataa tu na kutoingia hiyo mikataba, period.
Kusema umeingia mikataba mibovu inayouumiza raia wako kwa sababu umelezimishwa na "big boys" au mabeberu ni ujuha usio na mashiko.
 
Huku kulaumu watu wa nje kwa matatizo ya sasa ya Afrika ni mawazo yaliyopitwa na wakati yasiyo na tija yoyote, yanahaitaji kukataliwa na kupuuzwa kabisa. Inasikitisha zaidi fikira hizi kuendelea kuwepo na kuaminiwa tena na vijana.

Chanzo kikuu cha umaskini wa Africa ya sasa ni utawala mbovu unaosababishwa na Waafrika wenyewe, hili tatizo likipatiwa ufumbuzi maendeleo yatapatikana tu kama sehemu nyingine nyingi za dunia.

View attachment 3043019
Ukishalishwa ujamaa hata akili haifanyi kazi. Wewe ni nchi tangu mwaka 1961 kila kukicha unalaumu mabeberu. More than 60 yrs; una watu, ardhi kila kitu!
 
Back
Top Bottom