eennko
Member
- Oct 25, 2015
- 96
- 80
Mambo yanaenda kuwa magumu tutapata wajukuu kweliMtoto afundishwe kupambana Kwa namna yoyote Kwa mazingira yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yanaenda kuwa magumu tutapata wajukuu kweliMtoto afundishwe kupambana Kwa namna yoyote Kwa mazingira yoyote
Mambo yanaenda kuwa magumu tutapata wajukuu kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumechokaaa na threads kila siku aaaaah.Kitoto cha shetan kazini[emoji23],yaani ww katoto ka farao ukisikia mada imegusia tu kukemea mambo yanayohusu mtu kuwa choko utakuja mbio kutetea!!!
Hata Forward wananifukunyuaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli eti huwa wanakufukunyua Kwa back?
We nouma hujui hta kukasirika mtoto utakuwa mtamu sana ww I wish ningekupataHata Forward wananifukunyuaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipe maana ya mkakamavu sipendi ngonjera zako?
Lazima uelewe kwamba Time Flies.Nimashakuambia hakuna Shoga Mkakamavu, labda haujui maana ya ukakamavu, ushupavu, ushujaa na uhodari.
Ushamba na ukosefu WA Elimu ndio utaliona uone bila Pesa MTU ni sanamu.
Pesa imekuja miaka ya hivi karibuni, hao waliokuwa wanaishi zamani walikuwa masanamu?
Sio ajabu nawe Una shahada lakini mambo madogo kama haya yanakupiga chenga.
Basi punguza ngonjera.Kamuulize mwalimu wako WA Kiswahili.
Kuna Maswali huwezi kuuliza hata kama hukuenda shule.
Sasa kama haujui maana ya ukakamavu ndio maana unaita mpaka mashoga ni wakakamavu.
Nenda Jeshini wakakuonyeshe Kwa vitendo maana ya ukakamavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu njoo hapa nilipo unifukunyueee.We nouma hujui hta kukasirika mtoto utakuwa mtamu sana ww I wish ningekupata
Lazima uelewe kwamba Time Flies.
Unachojaribu kusema ni sifa za mwanaume wa Old skul life, sijui lazima awe miraba minne, jasiri, hodari, n.k
Lakini now days mambo yamebadilika mwanaume lazima uwe cash hili uweze kulisha familia pamoja na kuisaidia jamii husika inayokuzunguka.
Hayo mambo ya ujasiri, ukakamavu, uhodari, mwachie Mandonga
I'm done Pal'Nenda Kwa hadzabe au Watindiga alafu useme mambo ya Pesa uone kama watakuelewa.
Hapa tunazungumzia ishu tangu mwanzo mpaka mwisho, inayocover Ulimwengu mzima
Pesa haikutumika zamani na bila Shaka haitatumika miaka Mia mbili ijayo.
Huwezi itwa mwanaume kama huna Sifa hizo.
Kama Pesa ndio inamfanya MTU aitwe mwanaume basi hata Wanawake wenye Pesa wangeitwa wanaume.
Ni Akili ndogo tuu isiyojua vitu vidogo kama hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you can't be serious[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu njoo hapa nilipo unifukunyueee.
Jichanganye ukaliwe firigisi.We nouma hujui hta kukasirika mtoto utakuwa mtamu sana ww I wish ningekupata
Haka kapo humu kimkakati Kwa special mission nmelibaini hilo kitambo.Jichanganye ukaliwe firigisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unaogopaa nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you can't be serious
This can't happen to me.
Ukute ni dume lililofukuliwa mtaro,hii Dunia ngumu sana.Kwani huyu Cocastic si ni demu!?
Kwa dunia tuliyomo shida na majanga ni asili yake kabisa, kikubwa ni unapambana navyo vp ndo itakutofautisha wewe na wanaumeNarudia tena, kupata shida na majanga sio sifa
Tena mashoga mengi yanashinda jimu kuweka misuli Sawa, ukileta za kuleta hata wewe unafuliwa vya kutoshaKama haujui hata mashoga wapo wakakamavu, shupavu na jasiri.
Hata hao wanawake wapo wakakamavu, shupavu na jasiri - ndiyo maana kuna tuzo za mwanamke jasiri na mwenye uthubutu.
Kupitia scenario hiyo basi kusingekuwa na mashoga + wanawake katika idara hizi askari polisi, wanajeshi, makomandoo, magereza n.k
Sio jamii maskini tu, popote uendako lazima uwe na cash plus smarter kwenye brain lasivyo utaangukia pua.