Naunga mkono pia hii sio kwa wabongo tu.
Wazungu wanafunga cctv camera, wanatumia software solutions,open office n.k na kukulipa kutokana na muda utakao kaa kazini lengo ni kuongeza uaminifu wabongo wanafanya kazi kijanja janja ila anataka faida kubwa.
Huwez amini kuna watanzania wanakampuni zinaingiza zaidi ya 5 billion kwa mwaka na bado wafanyakaz hata mkataba tu hawana.