Vijana wampongeza Rais Samia na Serikali yake kwa kuwasha taa ya matumaini katika mioyo yao

Vijana wampongeza Rais Samia na Serikali yake kwa kuwasha taa ya matumaini katika mioyo yao

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu ,

Katika Taifa lolote lile Vijana wakiwa na Matumaini Katika mioyo Yao ndio Amani ya Taifa,Ndio utulivu wa Taifa,Ndio ustawi wa Taifa,Ndio upendo waTaifa.Hakuna utulivu ,amani ,mshikamano ushirikiano, upendo Wala utulivu ikiwa vijana wamekata Tamaa ya maisha,ikiwa vijana hawajuwi juu ya kesho yao,ikiwa hawajuwi hatima ya maisha yao, ikiwa hawaelewi na kuwa na uhakika juu ya kula Yao,ikiwa hawaelewi Ni vipi watatimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha.

Ni ngumu kongoza Taifa lenye vijana ambao matumbo Yao hayana matumaini ya kupata Milo mitatu,Wala uhakika wa kupata ajira au kibarua Cha siku,Wala kuwa na uwezo wa kumudu mbolea,Wala kuwa na uwezo wa kuanzisha biashara ndogo ndogo,Vijana hawatulii na kupata utulivu wa akili na moyo ikiwa ndani ya Taifa kumetamalaki uonevu na upendeleo,Ni Rahisi Sana kuwarubuni vijana waliokata Tamaa ili wavuruge amani ya Taifa na kujiunga na makundi ya kihalifu.

Tangia Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ashike madaraka ya Urais ameleta nuru katika mioyo ya Vijana,amewasha Taa ya Matumaini kwa vijana, ameleta amani ya moyo kwa vijana. Rais Samia Mara tu baada ya kushika madaraka ya Urais alianza kutoa ajira kwa vijana wa kada mbalimbali Takribani ajira Elfu 42 zikiongozwa na kada ya Elimu na Afya.

Mh Rais Samia aliendelea kuimarisha secta Binafsi ili ikue na kuweza kutoa fursa za ajira kwa vijana wengi kwa kutambua ukweli kuwa Ni lazima serikali ishirikiane na secta binafsi katika utengenezaji wa fursa za ajira kwa kuwa serikali peke yake haiwezi ikatoa ajira kwa vijana wote wanaokuwa wamemaliza na kuhitimu masomo katika ngazi mbalimbali.

Rais Samia pia alifungua milango kwa wawekezaji kwa kuimarisha diplomasia yetu ya uchumi ili wawekezaji wengi Zaid waje inchini ambao watasaidia katika kutengeneza fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongeza wigo wa Kodi ambazo zitasaidia kuwekeza Katika miradi mbalimbali itakayogusa maisha ya watanzania hususani vijana ambao Ni wengi, Rais Samia na serikali Yake pia aliweka mazingira mazuri kwa biashara na hata kilimo Jambo lililowavutia vijana kujiunga na kujishughulisha katika secta hizo ambazo Sasa zinatoa matumaini ya kuinuka na kujikwamua kiuchumi kwa vijana kutokana na Hali kuwa nzuri na ya kutia moyo na faraja.

Kutokana na hayo na mengine mengi vijana wengi wamempongeza Rais Samia na serikali yake kwa kuwajari na kuwathamini vijana na hata kuwekeza mabillioni ya pesa katika miradi mingi inayotoa ajira za moja kwa moja kwao lakini pia inayochochea mzunguko wa pesa, wanaishukuru serikali kwa kuwapatia pesa kupitia halmashauri zao Hali Inayowasaidia kupata fedha zinazowasaidia kupata mitaji ya kuanzisha shughuli za kuwapatia vipato kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi na kuondokana na Hali ya umaskini na utegemezi wa kiuchumi.

Hakika Rais Samia ameiteka mioyo ya Vijana wa kitanzania kutokana na utendaji kazi wake na juhudi kubwa anazozifanya katika kuinua uchumi wa Taifa letu lakini pia namna anavyowajali vijana, Sasa vijana huwaelezi kitu juu ya mama Samia,wote wanamuunga mkono na kuridhishwa na uchapa kazi wake na namna anavyojitolea kulitumikia Taifa hili kwa moyo wa uzalendo na upendo.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 
Utakufa kwa uchawa. Rais ameshasema hataki kusifiwasifiwa wewe umekaza fuvu.

Ushamba mzigo kweli
Mimi naongea na kuwakilisha sauti za vijana zinazoendelea kumimina sifa kwa mh Rais kwa kazi kubwa na ya kutukuka anayoifanya katika kuwatumikia watanzania kwa moyo wa uzalendo na upendo mkubwa Sana
 
huyu jamaa ni fyatu kweli kweli unaacha kufanya kazi unaandika ujinga na kuweka namba za simu.
kama unafanya kwa nia njema namba za simu za nini sasa?
ccm hovyo kabisa
Punguza makasiriko Mimi Ni mkulima ndugu yangu na kilimo ndio ajira yangu
 
huyu jamaa ni fyatu kweli kweli unaacha kufanya kazi unaandika ujinga na kuweka namba za simu.
kama unafanya kwa nia njema namba za simu za nini sasa?
ccm hovyo kabisa
Punguza makasiriko mkuu mimi ni mkulima
 
Jamani kama kujipendekeza ndo kama hivi afanyavyo huyu Lucas Mwashambwa na mwenzake David Kafulila ili wafikiriwe kwenye teuzi! basi mtaani hali ni ngumu sana!

Taifa lenye vijana wa hovyo ambao elimu zao haziwezi kuwasaidia kubuni miradi, kufungua makampuni na biashara ambazo zinaweza kuwapa cash flow na liquidity haliwezi kufika popote!

Hawa kina Lucas Mwashambwa , David Kafulila na the likes ni ushahidi tosha kuwa elimu yetu ni fake sana na haina uwezo wa kuwa- liberate watu wengi.

Ni vijana wanoweza kuokoteza vijitaarifa vya kuwasaidia kujipendekeza na Uchawa kwa matumaini ya kuteuliwa basi!

Muulize sasa huyu Lucas Mwashambwa ni kwa nini vijana wanazidi kuongezeka ktk ajira za bodaboda, umachinga, na umalaya wakati fursa ni nyingi zinazotengenezwa?!
Jibu lake litakuwa ni Kazi IENDELEE!!! Useless Citizens!
 
Jamani kama kujipendekeza ndo kama hivi afanyavyo huyu Lucas Mwashambwa na mwenzake David Kafulila ili wafikiriwe kwenye teuzi! basi mtaani hali ni ngumu sana!

Taifa lenye vijana wa hovyo ambao elimu zao haziwezi kuwasaidia kubuni miradi, kufungua makampuni na biashara ambazo zinaweza kuwapa cash flow na liquidity haliwezi kufika popote!

Hawa kina Lucas Mwashambwa , David Kafulila na the likes ni ushahidi tosha kuwa elimu yetu ni fake sana na haina uwezo wa kuwa- liberate watu wengi.

Ni vijana wanoweza kuokoteza vijitaarifa vya kuwasaidia kujipendekeza na Uchawa kwa matumaini ya kuteuliwa basi!

Muulize sasa huyu Lucas Mwashambwa ni kwa nini vijana wanazidi kuongezeka ktk ajira za bodaboda, umachinga, na umalaya wakati fursa ni nyingi zinazotengenezwa?!
Jibu lake litakuwa ni Kazi IENDELEE!!! Useless Citizens!
Embu Soma ulichoandika Tena maana naona umeandika kwa mihemuko na kuwadhalilisha vijana.Vijana Wanampongeza mh Rais kwa kuwa wanaona juhudi zake katika ujenzi wa Taifa letu,wanaona namna anavyopambana kuhakikisha fursa za ajira zinaliwa za kutosha,wanaona namna miradi mbalimbali Inayochipua inavyo saidia kutengeneza fursa za ajira
 
Ndugu zangu ,

Katika Taifa lolote lile Vijana wakiwa na Matumaini Katika mioyo Yao ndio Amani ya Taifa,Ndio utulivu wa Taifa,Ndio ustawi wa Taifa,Ndio upendo waTaifa.Hakuna utulivu ,amani ,mshikamano ushirikiano, upendo Wala utulivu ikiwa vijana wamekata Tamaa ya maisha,ikiwa vijana hawajuwi juu ya kesho yao,ikiwa hawajuwi hatima ya maisha yao,ikiwa hawaelewi na kuwa na uhakika juu ya kula Yao,ikiwa hawaelewi Ni vipi watatimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha.

Ni ngumu kongoza Taifa lenye vijana ambao matumbo Yao hayana matumaini ya kupata Milo mitatu,Wala uhakika wa kupata ajira au kibarua Cha siku,Wala kuwa na uwezo wa kumudu mbolea,Wala kuwa na uwezo wa kuanzisha biashara ndogo ndogo,Vijana hawatulii na kupata utulivu wa akili na moyo ikiwa ndani ya Taifa kumetamalaki uonevu na upendeleo,Ni Rahisi Sana kuwarubuni vijana waliokata Tamaa ili wavuruge amani ya Taifa na kujiunga na makundi ya kihalifu.

Tangia Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ashike madaraka ya Urais ameleta nuru katika mioyo ya Vijana,amewasha Taa ya Matumaini kwa vijana, ameleta amani ya moyo kwa vijana. Rais Samia Mara tu baada ya kushika madaraka ya Urais alianza kutoa ajira kwa vijana wa kada mbalimbali Takribani ajira Elfu 42 zikiongozwa na kada ya Elimu na Afya.

Mh Rais Samia aliendelea kuimarisha secta Binafsi ili ikue na kuweza kutoa fursa za ajira kwa vijana wengi kwa kutambua ukweli kuwa Ni lazima serikali ishirikiane na secta binafsi katika utengenezaji wa fursa za ajira kwa kuwa serikali peke yake haiwezi ikatoa ajira kwa vijana wote wanaokuwa wamemaliza na kuhitimu masomo katika ngazi mbalimbali.

Rais Samia pia alifungua milango kwa wawekezaji kwa kuimarisha diplomasia yetu ya uchumi ili wawekezaji wengi Zaid waje inchini ambao watasaidia katika kutengeneza fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongeza wigo wa Kodi ambazo zitasaidia kuwekeza Katika miradi mbalimbali itakayogusa maisha ya watanzania hususani vijana ambao Ni wengi, Rais Samia na serikali Yake pia aliweka mazingira mazuri kwa biashara na hata kilimo Jambo lililowavutia vijana kujiunga na kujishughulisha katika secta hizo ambazo Sasa zinatoa matumaini ya kuinuka na kujikwamua kiuchumi kwa vijana kutokana na Hali kuwa nzuri na ya kutia moyo na faraja.

Kutokana na hayo na mengine mengi vijana wengi wamempongeza Rais Samia na serikali yake kwa kuwajari na kuwathamini vijana na hata kuwekeza mabillioni ya pesa katika miradi mingi inayotoa ajira za moja kwa moja kwao lakini pia inayochochea mzunguko wa pesa, wanaishukuru serikali kwa kuwapatia pesa kupitia halmashauri zao Hali Inayowasaidia kupata fedha zinazowasaidia kupata mitaji ya kuanzisha shughuli za kuwapatia vipato kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi na kuondokana na Hali ya umaskini na utegemezi wa kiuchumi.

Hakika Rais Samia ameiteka mioyo ya Vijana wa kitanzania kutokana na utendaji kazi wake na juhudi kubwa anazozifanya katika kuinua uchumi wa Taifa letu lakini pia namna anavyowajali vijana, Sasa vijana huwaelezi kitu juu ya mama Samia,wote wanamuunga mkono na kuridhishwa na uchapa kazi wake na namna anavyojitolea kulitumikia Taifa hili kwa moyo wa uzalendo na upendo.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Unawashwa??
 
Bro sijakuona kwenye nominees wa jukwaa la siasa na unajitahidi kuanzisha nyuzi za siasa, hii kitaalam siasa unayoanzishia Uzi Kila siku ni siasa Gani?

Wadau mnaweza pia toa msaada kwa swali langu hapa
 
Nuru ipi? Nuru ya mikopo iliyokithiri na TOZO kila mahala?
Nchi gani isiyo na mikopo? Nchi gani inayojengwa na wageni huku wananchi wake wakiwa wamekaa Kama watazamaji wa mpira? Unataka Nani akujengee nchi yako? Unafikiri huduma za kijamii zitatolewa bure pasipo wewe na mimi na mwingine kuchangia katika maendeleo ya Taifa letu?
 
Back
Top Bottom