physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Hii biashara ya bodaboda,tunawatajirisha wachina tu,kwa kuuza pikipiki.zao,wakati ndugu zetu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini, ignorance, Sonona na miundo mbinu pia inachangia.Mmeshaambiwa sana hamsiki
Mmepewa sana elimu hamsiki
Sahv ni shauri zenu pambaneni
Wenyewe na hali zenu
Wakifa shauri zaoooo
Ova
Inatakiwa ifanye jambo la busara kuwaokoa hawa vijana. No jambo Gani la busara, kazi kwao..!Serikali inatakiwa ifanye nini mkuu? Izuie vijana kuendesha boda boda?
Mtu anakataa helmet, side mirror, anabeba mishkaki, hazingatii traffic lights, anachoma mabasi, anabeba mkaa gunia 8 kubwaInatakiwa ifanye jambo la busara kuwaokoa hawa vijana. No jambo Gani la busara, kazi kwao..!
Waziri kangi lugola alisema boda boda waachwe hata wapakie watu 10 sawa tuSina mambo mengi
Hali ni ngumu, kila siku unasikia misiba huku na kule.
Nazungumzia hii misiba ya bodaboda, serikali iko kimya kama hamna kinachoendelea.
Je, serikali haina taarifa ya misiba hii ya bodaboda au haijali kwakuwa wahanga ni familia maskini?
Serikali itumie sheria za usalama barabalani mbona ziko wazi tuSerikali inatakiwa ifanye nini mkuu? Izuie vijana kuendesha boda boda?
Kuna siku nimesimamishwa na matrafiki barabarani kwa kuzidisha mwendo. Sasa wakati nawapiga "sound" wanipunguzie adhabu kutoka 30,000 hadi 2,000, wakapita jamaa wa bodaboda wako spidi balaa na hawana helmet wala nini..Serikali itumie sheria za usalama barabalani mbona ziko wazi tu
Swali ni kama ifuatavyo. Kwani hapo Rwanda tuu kuna bodaboda kibao tuu kama Tanzania ila mbona wao wana fuata sheria.Sina mambo mengi
Hali ni ngumu, kila siku unasikia misiba huku na kule.
Nazungumzia hii misiba ya bodaboda, serikali iko kimya kama hamna kinachoendelea.
Je, serikali haina taarifa ya misiba hii ya bodaboda au haijali kwakuwa wahanga ni familia maskini?
Wahanga kwa kuwa ni familia za......Sina mambo mengi
Hali ni ngumu, kila siku unasikia misiba huku na kule.
Nazungumzia hii misiba ya bodaboda, serikali iko kimya kama hamna kinachoendelea.
Je, serikali haina taarifa ya misiba hii ya bodaboda au haijali kwakuwa wahanga ni familia maskini?
Sio baadhi, wengi.Kweli inawezekana serekali ina mchango wake ila na bodaboda wabadilike,wafuate sheria
Helmet hawavai, mwendo wa rocket sijui hua wanawaza nini
ila baadhi.
Hivi Peninnah anaendeleaje?🙂Serikali inatakiwa ifanye nini mkuu? Izuie vijana kuendesha boda boda?
Hii walipona kweli?