Vijana wanaolalamika kuhusu ajira na wanaojisifu kufanya sana ngono, ni vijana wawili tofauti?

Vijana wanaolalamika kuhusu ajira na wanaojisifu kufanya sana ngono, ni vijana wawili tofauti?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Naomba kujua, hawa vijana wanaomuwaza Harmonize na CCM na kutafta connection za pornography, ndiyo hawa hawa job seeker or wapo tofauti tofauti kimakundi?!

Kama ndiyo hawa hawa naomba serikali iendelee kupiga msumali wa kichwa!
 
Tanzania ina vijana watatu tu Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye na December Makamba
 
Wanahitaji ajira wapate hela wakafanye ngono ni kibaya hapo, au unataka wakanunulie rozari
 
BILA KUSAHAU KULA TUNDA KIMASIHARA NA SIMBA NA YANGA NDO VITU TUNAWAZA
 
Wanahitaji ajira wapate hela wakafanye ngono ni kibaya hapo, au unataka wakanunulie rozari
Kisiasa tunawaita vijana, ingekuwa mpira tungesema washazeeka, kijamii wameshavuka ujana.
 
Kisiasa tunawaita vijana, ingekuwa mpira tungesema washazeeka, kijamii wameshavuka ujana.
Waachie watu maisha yao hatuwezi kuwa wote wanasiasa wengine sisi ni wapenda bata na hatuibi wala kubaka imetosha kuitwa walipa kodi
 
Back
Top Bottom