Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ukinisaidia kujibu nilichokiuliza kwenye post #17 utanipa elimu nzuri.Caltes Company LTD. ukiingia hapa utaona, na kwanini 2024 ndio wasemekane sio waajiriwa Tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukinisaidia kujibu nilichokiuliza kwenye post #17 utanipa elimu nzuri.Caltes Company LTD. ukiingia hapa utaona, na kwanini 2024 ndio wasemekane sio waajiriwa Tena.
Huwa najiuliza hilo swali kila siku.Hivi TBs wanapima ubora wa bidhaa za wapi??
Wewe ni mojawapo ya staff wa hiyo kampuni?Hawakua TBS wakina tangazo la TBS linasema sio waajiriwa wa TBS tena.
Kuhusu kua mchaga au mpare hilo silifahamu.
Watakua wamemkosea jambo.Wazee wamekukosea nini?
Anachambua mambo ya vita ya ukrein.Wewe ni mojawapo ya staff wa hiyo kampuni?
Bora tu ulifukuzwa kazi.
"Wanaosemekana".
Ikifikia hatua unafukuzwa kazi serikalini wewe umeshindikanika kabisa yaani ni sikio la kufaHawa vijana iwe chachu ya kuigwa kwa vijana wengine. Vijana Hawa wanaosemekana kufukuzwa wana kampuni yao ya CALIBRATIONS, TESTING pamoja na Automations watu tuliopo kwenye constructions industry tunawaona sana. Na bahati nzurii kampuni yao ipo accredited inaruhusiwa kufanya kazi nchi yeyote Ile.
Kipindi wazee wamejazana TBS wakiogopa kustaafu, vijana hawa wameacha kazi kwenye shirika kubwa na kwenda kujiajiri.
Kampuni yao inaitwa CALTES COMPANY LTD.
Hongereni vijana kwa kuachia vijana nafasi, na wazee & vijana wengine waige mfano wa hawa.
Binafsi, nahisi, jambo walilokosea ni kuanzisha kampuni inayofanya kazi zile zile za TBS huku bado wakiwa ni wafanyakazi wa TBS. CONFLICT OF INTEREST...!!!Watakua wamemkosea jambo.
hapo sasa! Zimejaa bidhaa hatarishi kwa afya ya watumiaji wao wanachojali ni pesa tu wanaipitisha... Angalia utitili wa energy drinks na pombe za kwenye makopo zinamaliza vijana. Juzi tu tumemzika homeboy wetu kapiga ambiance akazimia barabarani usiku roli mbili zikamvaa.. Tuliokota chapati hatamanikiHivi TBs wanapima ubora wa bidhaa za wapi??
Unasifia vipi watu wanaohujumu taasisi kwa kufanya kazi kama hiyo walioajiriwa nayo kwenye kampuni yao binafsi..Hawa vijana iwe chachu ya kuigwa kwa vijana wengine. Vijana Hawa wanaosemekana kufukuzwa wana kampuni yao ya CALIBRATIONS, TESTING pamoja na Automations watu tuliopo kwenye constructions industry tunawaona sana. Na bahati nzurii kampuni yao ipo accredited inaruhusiwa kufanya kazi nchi yeyote Ile.
Kipindi wazee wamejazana TBS wakiogopa kustaafu, vijana hawa wameacha kazi kwenye shirika kubwa na kwenda kujiajiri.
Kampuni yao inaitwa CALTES COMPANY LTD.
Hongereni vijana kwa kuachia vijana nafasi, na wazee & vijana wengine waige mfano wa hawa.
Inawezekana conflict of interest ...Kuna kitabu wanasainishwa wafanyakazi .Ikifikia hatua unafukuzwa kazi serikalini wewe umeshindikanika kabisa yaani ni sikio la kufa
Tbs wapo kwa ajili ya kukusanya hela za bidhaa zinazoingia Nchi hakuna kitu wanapima ni kama wale Ewura wanaoongeza bei ya mafuta kubwa na kushusha shilingi mia tu pindi yakishuka..Hivi TBs wanapima ubora wa bidhaa za wapi??
Watupe jibu TBS. Bidhaa zote zinazotengenezwa na kuingizwa nchini ni substandard. Kazi yao imebaki kuteketeza mabox ya vipodozi.Hivi TBs wanapima ubora wa bidhaa za wapi??
Hata kwa waliyoyafanya sasa, wanafaa kuigwa. Yatakayoyotokea kuanzia sasa hadi mwaka wa kumi, nayo yana sehemu yake ya kuyatafakari..!!! Tunatafakari hatua, then matokeo..!!
Ulichokiandika ni hatari tupuHuwezi Naelewa Sababu una hisia za motivation speakers who are never motivated
Basi kama Wishega ndio signatory nahapo yupo nijambo jema.Nimefanya kazi kampuni flani kubwa tu bungi ya vinywaji nikaacha kazi nilifungua own company ya clearing and forwarding 5 years back kabla sijaacha, sikufukuzwa kazi, kupitia kampuni yangu, nilipeleka. Mizigo mingi sana pale. Before and Present.
Hao wamefukuzwa, hao ni recruits wa tbs toka 2015 metrologists II, Sasa usilete siasa, wewe na wenzako mnaofanya kazi nao, endeleeni hamjakatazwa ila wasije kwa mgongo wa TBS. Ukitaka tuseme wamefanyaje tutasema tu, ila kwa sasa waache watu waendelee, Caltes ni ya wishega na ndiye signatory, nishafanya nae kazi.
Ww ungekuja na funzo lako sio hao.
Sio jambo LA ajabu, na nikisikiaga hz Mambo, huwa kuna vitu vimejificha, na wasifiaji kama wewe,huwa hawasemi ukweli, kampuni Yao ilianzishwa 2018,je walikuwa ni waajiliwa tangu kipindi hicho? Au walikuwa na kampuni, lakini ikawa haikidhi fwedha,ikabidi waombe ajira serikalini? Au ni waajiliwa wa kitambo Sana, wakaanzisha kampuni wakiwa bado wanakula salary ya serikali, na huku wanaendesha kampuni Yao, lakini kuacha kazi hawaachi, wanatumia connection Yao, na inside info kuhujumu serikali kunufsisha kampuni Yao(hawa ni mafisadi kama wengine tu),Hawa vijana iwe chachu ya kuigwa kwa vijana wengine. Vijana Hawa wanaosemekana kufukuzwa wana kampuni yao ya CALIBRATIONS, TESTING pamoja na Automations watu tuliopo kwenye constructions industry tunawaona sana. Na bahati nzurii kampuni yao ipo accredited inaruhusiwa kufanya kazi nchi yeyote Ile.
Kipindi wazee wamejazana TBS wakiogopa kustaafu, vijana hawa wameacha kazi kwenye shirika kubwa na kwenda kujiajiri.
Kampuni yao inaitwa CALTES COMPANY LTD.
Hongereni vijana kwa kuachia vijana nafasi, na wazee & vijana wengine waige mfano wa hawa.
Sina nachowaharibia . Na wapo accredited kufanya kazi wanazofanya.Kama unawaharibia hivi..