Nyeto hapo itahusikaMfano una mtoto wa kiume amefikiaha umri wa kujitegemea na ameondoka nyumbani. Wewe kama baba utamshauri aoe au abaki single na utakapobanwa na upwiru anunue dadapoa?
I agree with you, buying is less expensive than maintaining a relationship. But what about our future generation, will it be safe if this trend goes on?I wasn't talking about the daughter, I'm talking about the men; most people don't invest in relationships because it's too expensive to do so
Lakini mzazi pia ana nafasi kubwa katika ku-influence maamuzi ya mtoto wakeHayo ni maamuzi yake, Maisha ni Maamuzi Binafsi kumshauri mtu ni kupoteza mda wako, hata mtu akikufuata kuomba ushauri, anakua Tayari ana majibu yake ila anakuuliza kama mtego Ili aone mawazo yake.
Busara itumike kidogo. Hawa Gen Z boys nimewakuta wanajadiliana mpaka bei elekezi ya yas na wanawapoint kabisa wauzajiKwani wanawake hawauzi
Asilimia kubwa ni pesa unawagonga
Ova
Sahii kabisa mkuuNa kila mwanamke ana bei ndio maana akipata anayeprovide bei kubwa zaidi yako unapigwa chini mapema kiufupi wanawake Wana price tag siku zote
Katika pitapita zangu nikatulia sehemu moja hivi ambapo kwa pembeni yangu kulikua na vijana mchanganyiko wanapiga story. Sikuwahi kufikiria kama itafika wakati wanaume watajitokeza hadharani na kukubali waziwazi kwamba wananunua sex, lakini leo hii imekua kawaida.
Kiukweli maongezi yao hayakunistaajibisha kivile lakini kuna masuala yalinijia akilini na kubaki natafakari zaidi. Nikaanza kufikiria kama jamii, imekuaje tumefika hapa.
Mimi sio Gen Z, nimezaliwa na kukua katika generation ambayo wanaume walikua comfortable with chesting billing from women whom they liked so they could have sex, ni generation ambayp iliamini ukimpenda mwanamke basi bill zake zinakua ni wajibu wako.
Unalipa kodi, unamalizia nyumba yake, umamsomesha, unasaidia ndugu zake n.k. Wanaume wengi walikua wanafanya hivi bila malalamiko. Then, why these Gen Z young men did not inherit this patience or threshold of tolerance and endurance?
They don't understand why they should put women in their lives on a monthly allowance when they could spend less to have the same sex which is the end game of all the spending and billing.
Hapa tuelewane kwamba, ukahaba ulikuwepo tangu kitambo, haujaanza leo, lakini kasi ya uongezekaji wa hii biashara inatisha. Pia ieleweke ninavyosema ukahaba simaanishi wanaojipanga barabarani tu, hapa namaanisha mpaka wale wanaojiuza indirect kwa kujificha kwenye kichaka cha matunzo
So, for these Gen Z boys paying for sex is better and gives better returns than going through the mechanics of relationship because you spend more in relationships.
Sipo hapa kuwatetea hawa madogo, but we need to have honest conversation about why younger men are avoiding commitments and relationships, rather they opted for paid sex? i think i know why:
Mahusiano ya kimapenzi tayari yashakua full-blown commercial transaction.
Si unanipenda.! basi ni wajibu wako kinihudumia mahitaji yangu, ku-sponser my extravaganda life style n.k. Hii ndio mindset ya wanawake tulio nao kwenye jamii leo hii.
Kwa upande wa wanawake ni sawa lakini kwa hawa Gen Z boys inagoma kuingia akilini, ndio maana hawaitaki idea ya monogamous relationship ambapo unatumia kiasi kikubwa zaidi kwa ajiri ya kupata sex in return.
Hapa ndipo vijana wanaona cheap and fast option ni kulipia tu. Baada ya tendo no attachment, no billing. Kama end goal ni kupata sex sasa kwanini utoe laki kumnunulia demu wigi wakati unaweza piga pisi ya kiwango kizuri tu kwa elfu 30?
Before now relationahip were meant for two people who likes each other to underatand other aspects of each other's lives and see whether they were compatible to spend the rest of their lives together. But now we turned it into commercial transaction.
Ukimtembelea demu wako nenda na zawadi, akija kukutembelea umlipie nauli na posho ya kuja wakati akiwa anaondoka. Kwa sasa ukimuomba tu namba mwanamke ni kama umesaini mkataba wa ku-adopt mtoto yatima. Hapa ndipo Gen Z wanaona mambo yasiwe mengi, anaingia telegram ana-import mzigo geto.
Nikiwa kama mzazi mpya huwa namwangalia huyu mwanangu ambae kwa sasa ana miezi miwili tu, nafikiria atakapoingia mtaani sijui atakutana na ulimwengu wa aina gani
Humanity adapts , the generation will be less healthy but it will surviveI agree with you, buying is less expensive than maintaining a relationship. But what about our future generation, will it be safe if this trend goes on?
Hakuna niliposema wamekoseaWe mwenyewe unanunua sex kwa mkeo, hao vijana wamakosea wapi?
Hakuna niliposema wamekosea
So, we just have to watch it without taking any preventing measures?Humanity adapts , the generation will be less healthy but it will survive
imetokea tu akili ikajikuta imetafakari zaidi baada ya kuona suala lililokua linafanyika kidiplomasia zaidi sasa hivi linajadiliwa kwa uwazi na kwa lugha ngumu na inaonekana sawaKwa hiyo hii sio habari?
Wanawake wa miaka hii wamekuaje mkuu?Then, why these Gen Z young men did not inherit this patience or threshold of tolerance and endurance?
Sio wanawake wa miaka hii!
Wanawake wa miaka hii wamekuaje mkuu?
Katika pitapita zangu nikatulia sehemu moja hivi ambapo kwa pembeni yangu kulikua na vijana mchanganyiko wanapiga story. Sikuwahi kufikiria kama itafika wakati wanaume watajitokeza hadharani na kukubali waziwazi kwamba wananunua sex, lakini leo hii imekua kawaida.
Kiukweli maongezi yao hayakunistaajibisha kivile lakini kuna masuala yalinijia akilini na kubaki natafakari zaidi. Nikaanza kufikiria kama jamii, imekuaje tumefika hapa.
Mimi sio Gen Z, nimezaliwa na kukua katika generation ambayo wanaume walikua comfortable with chesting billing from women whom they liked so they could have sex, ni generation ambayp iliamini ukimpenda mwanamke basi bill zake zinakua ni wajibu wako.
Unalipa kodi, unamalizia nyumba yake, umamsomesha, unasaidia ndugu zake n.k. Wanaume wengi walikua wanafanya hivi bila malalamiko. Then, why these Gen Z young men did not inherit this patience or threshold of tolerance and endurance?
They don't understand why they should put women in their lives on a monthly allowance when they could spend less to have the same sex which is the end game of all the spending and billing.
Hapa tuelewane kwamba, ukahaba ulikuwepo tangu kitambo, haujaanza leo, lakini kasi ya uongezekaji wa hii biashara inatisha. Pia ieleweke ninavyosema ukahaba simaanishi wanaojipanga barabarani tu, hapa namaanisha mpaka wale wanaojiuza indirect kwa kujificha kwenye kichaka cha matunzo
So, for these Gen Z boys paying for sex is better and gives better returns than going through the mechanics of relationship because you spend more in relationships.
Sipo hapa kuwatetea hawa madogo, but we need to have honest conversation about why younger men are avoiding commitments and relationships, rather they opted for paid sex? i think i know why:
Mahusiano ya kimapenzi tayari yashakua full-blown commercial transaction.
Si unanipenda.! basi ni wajibu wako kinihudumia mahitaji yangu, ku-sponser my extravaganda life style n.k. Hii ndio mindset ya wanawake tulio nao kwenye jamii leo hii.
Kwa upande wa wanawake ni sawa lakini kwa hawa Gen Z boys inagoma kuingia akilini, ndio maana hawaitaki idea ya monogamous relationship ambapo unatumia kiasi kikubwa zaidi kwa ajiri ya kupata sex in return.
Hapa ndipo vijana wanaona cheap and fast option ni kulipia tu. Baada ya tendo no attachment, no billing. Kama end goal ni kupata sex sasa kwanini utoe laki kumnunulia demu wigi wakati unaweza piga pisi ya kiwango kizuri tu kwa elfu 30?
Before now relationahip were meant for two people who likes each other to underatand other aspects of each other's lives and see whether they were compatible to spend the rest of their lives together. But now we turned it into commercial transaction.
Ukimtembelea demu wako nenda na zawadi, akija kukutembelea umlipie nauli na posho ya kuja wakati akiwa anaondoka. Kwa sasa ukimuomba tu namba mwanamke ni kama umesaini mkataba wa ku-adopt mtoto yatima. Hapa ndipo Gen Z wanaona mambo yasiwe mengi, anaingia telegram ana-import mzigo geto.
Nikiwa kama mzazi mpya huwa namwangalia huyu mwanangu ambae kwa sasa ana miezi miwili tu, nafikiria atakapoingia mtaani sijui atakutana na ulimwengu wa aina
gani
Mbona huu ni muandiko wa kike?Katika pitapita zangu nikatulia sehemu moja hivi ambapo kwa pembeni yangu kulikua na vijana mchanganyiko wanapiga story. Sikuwahi kufikiria kama itafika wakati wanaume watajitokeza hadharani na kukubali waziwazi kwamba wananunua sex, lakini leo hii imekua kawaida.
Kiukweli maongezi yao hayakunistaajibisha kivile lakini kuna masuala yalinijia akilini na kubaki natafakari zaidi. Nikaanza kufikiria kama jamii, imekuaje tumefika hapa.
Mimi sio Gen Z, nimezaliwa na kukua katika generation ambayo wanaume walikua comfortable with chesting billing from women whom they liked so they could have sex, ni generation ambayp iliamini ukimpenda mwanamke basi bill zake zinakua ni wajibu wako.
Unalipa kodi, unamalizia nyumba yake, umamsomesha, unasaidia ndugu zake n.k. Wanaume wengi walikua wanafanya hivi bila malalamiko. Then, why these Gen Z young men did not inherit this patience or threshold of tolerance and endurance?
They don't understand why they should put women in their lives on a monthly allowance when they could spend less to have the same sex which is the end game of all the spending and billing.
Hapa tuelewane kwamba, ukahaba ulikuwepo tangu kitambo, haujaanza leo, lakini kasi ya uongezekaji wa hii biashara inatisha. Pia ieleweke ninavyosema ukahaba simaanishi wanaojipanga barabarani tu, hapa namaanisha mpaka wale wanaojiuza indirect kwa kujificha kwenye kichaka cha matunzo
So, for these Gen Z boys paying for sex is better and gives better returns than going through the mechanics of relationship because you spend more in relationships.
Sipo hapa kuwatetea hawa madogo, but we need to have honest conversation about why younger men are avoiding commitments and relationships, rather they opted for paid sex? i think i know why:
Mahusiano ya kimapenzi tayari yashakua full-blown commercial transaction.
Si unanipenda.! basi ni wajibu wako kinihudumia mahitaji yangu, ku-sponser my extravaganda life style n.k. Hii ndio mindset ya wanawake tulio nao kwenye jamii leo hii.
Kwa upande wa wanawake ni sawa lakini kwa hawa Gen Z boys inagoma kuingia akilini, ndio maana hawaitaki idea ya monogamous relationship ambapo unatumia kiasi kikubwa zaidi kwa ajiri ya kupata sex in return.
Hapa ndipo vijana wanaona cheap and fast option ni kulipia tu. Baada ya tendo no attachment, no billing. Kama end goal ni kupata sex sasa kwanini utoe laki kumnunulia demu wigi wakati unaweza piga pisi ya kiwango kizuri tu kwa elfu 30?
Before now relationahip were meant for two people who likes each other to underatand other aspects of each other's lives and see whether they were compatible to spend the rest of their lives together. But now we turned it into commercial transaction.
Ukimtembelea demu wako nenda na zawadi, akija kukutembelea umlipie nauli na posho ya kuja wakati akiwa anaondoka. Kwa sasa ukimuomba tu namba mwanamke ni kama umesaini mkataba wa ku-adopt mtoto yatima. Hapa ndipo Gen Z wanaona mambo yasiwe mengi, anaingia telegram ana-import mzigo geto.
Nikiwa kama mzazi mpya huwa namwangalia huyu mwanangu ambae kwa sasa ana miezi miwili tu, nafikiria atakapoingia mtaani sijui atakutana na ulimwengu wa aina gani
1. NimeoaJibu haya maswali;
1. Umeoa?
2. Miaka mingapi?
3. Una watoto wangapi?
Mishahara iongezwe na mfumuko wa bei ushuke ili vijana wamudu kutunza wanawakeSo, we just have to watch it without taking any preventing measures?