Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Nadhan waanzilishi wa jf wanafahamu huo utofauti wa mawazo na interest za watu ndio maana kukawepo na majukwaa mbalimbali kulingana na agenda.At least JF imeanza kurudi kwenye heshima yake. People discuss ideas. Huu uzi kwa sasa ni wa mwaka kwangu. Yale mambo ohhh mara kibamia mara nimeachwa naomba ushauri blablaaaaa yalikuwa hayana positive impact both physically and mentally as well.
Mifoleni jee...au unanunua toyo?kwa usawa wa maisha unaweza. Ukitoka kazini saa tisa, unaingia shambani, unalima, unakagua mifugo n.k
Thanks mwl RCT naomba kitabu cha The millionaire Next door
Thanks mwl RCT naomba kitabu cha The millionaire Next door
Nadhan waanzilishi wa jf wanafahamu huo utofauti wa mawazo na interest za watu ndio maana kukawepo na majukwaa mbalimbali kulingana na agenda.
Mkuu umenitia moyo sana nmepanga baada ya mwaka niache kazi nijiajiri,Jana nilikuwa naongea na aunt yangu alinikatisha tamaa sana akasema mwanang sikushauri uache kazi kabisaaa,km umeamua kufanya biashara fungua asimamie mwingine uendelee na kaziMkuu umewai kufanya biashara? au kuacha kazi na kuwa mtaani?
Ukweli ni kwamba kuacha kazi na kwenda mtaani 90% ni jinsi utakavyo control hisia zako na zawatu around (emotional). 10% ndio failure or success.
Mimi niliacha kazi yenye kipato cha juu sana. Niliamua tuu kwamba ikifika september naacha, nikaandika resignation letter nikawapa one week, sikutaka discussion. Nikaacha, nyumba ilukuwa bado kuisha na familia nzima wakasema huyu anaitaji mganga amtibu. Nilichokuwa nacho ni courage, ukiwa na courage (utashi) hata dunia nzima iende mashariki wewe peke yako uende magharib hautajutia.
La muhimu ni ujipange, andika chini kwamba unataka kufanya nini na mauzo ya kiasi gani kwa mwezi yatakufanya upate utulivu, yaweke yale mauzo kwa siku kisha anza mapambano.
You can do it.
Hahahahahaa uwekeze milioni Halafu mtu akuzalishie? Danganywa, nimeshapoteza saaana aiseeeMkuu umenitia moyo sana nmepanga baada ya mwaka niache kazi nijiajiri,Jana nilikuwa naongea na aunt yangu alinikatisha tamaa sana akasema mwanang sikushauri uache kazi kabisaaa,km umeamua kufanya biashara fungua asimamie mwingine uendelee na kazi
Lkn kazi yangu inachosha nafanya kazi na matusi juu,kuna wakati nalia
Kwa hili andiko lako limenitia moyo
Kwa nia thabiti nitaweza
Tanx mkuuKuna mambo makubwa kama mawili au matatu lazima uyafanye.
1. Jiandae kifikra kabla hujaachaa (mental preparation), hichi kitu muhimu sana na kinaweza chukua muda sana. Sababu kwenye kitu chochote psychology inachukua nafasi kubwa sana. Muhimu hapa ni kwamba hakikisha unafikiria positive side na unakaa mbali na negative thinking, sisemi uwe naive maana kuna tofauti kubwa ya kufikiria positive na kuwa naive. Andaa kichwa chako kupambana na "naysayers" wazee wa kukwambia utashindwa, huwezi kufanikiwa, utajuta, utasaga na ndala. Hawa lazima ujue jinsi ya kufanya fikra zao zisiingilie fikra zako, lakini kujiandaa kifikra ni pamoja na kuandaa kuishinda sauti ya ndani (inner voice) ambayo inakuongelesha kwa ndani kukwambia unajua mkuu ukichemka hapa familia yote choka, au at least wewe unapata 700,000 kwa mwezi, wenzio wanapata 0. Hii ikatae kabisa, kwa kujiandaa kifikra. Sikiliza sana motivational speakers kwenye youtube kama kina Les Brown, Napoleon kwa Tanzania kina Erik Shigongo, Mr Mauki na wengine.
2. Andaa Plan nzima ya mchezo kwenye karatasi. Najua watu wengi wanasema nisha plan, kila kitu na plan yenyewe kwa bahati mbaya ipo kichwani. Hawa wanajindanganya tuu. Plan lazima iwe kwenye karatasi, iweke uione na ujinasabishe nayo. Isome mara kwa mara rekebisha sehemu zinazo stahiki. Ibandike kwenye kuta za chumba chako, isome na ujirecord kisha isikilize over and over ukiifanyia maboresho. Mfano, unataka kufungua supermarket ndogo plan lazima iseme wapi, ukubwa wa duka, mtaji, njia yako ya kufanya marketing na kupata masoko. Plan ndio ushindi, mechi haishindwi uwanjani mechi yoyote inashindwa kwenye plan. Kama Plan zako ni weak, jiandae kuondolewa kwenye reli.
3. Test plan yako hapo juu kwa kufanya uchunguzi.Hii ni pilot process, unaweza kutembelea wenye hiyo biashara ukaangalia na kujifunza, unaweza kuanza kidogo. Hapa nafasi ni kubwa inategemea wewe unataka kutest vipi plan yako.
4. Never have Plan B. Usisubutu kuwa na Plan B, sababu plan B inaairibia Plan A tuu hakuna jingine. Ukipigana na mlango wazi ni tofauti sana kupigana mlango ukiwa umefungwa.
5. Never regret ukijaribu. Mimi nilipakiza watoto na familia kwenye ndege kurudi Tanzania baada ya miaka 15 ughaibuni na nilikuwa na maisha standard kabisa. Kikubwa nilichoshinda ni kwamba niliapa kuto kujilaumu kwa maamuzi niliyofanya. Life is too short kutojaribu roho nini inataka.
I support yoyote anaetaka kuacha kazi sababu hao ndio wajenga ajira za wengine wengi ambao mungu ajawapa utashi wa kujiamini na kufanya maamuzi magumu.
Si ndio hapoHahahahahaa uwekeze milioni Halafu mtu akuzalishie? Danganywa, nimeshapoteza saaana aiseee
wewe unaangalia DSM tu! hata sisi wa mikoani tunahusikaMifoleni jee...au unanunua toyo?
Duuuu. ..Ishu ni kuchoma moto vyeti na kuingia mtaani kujiajiri wenyewe lazima tutoboe.