Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vitabu vingine vizuri ni E-Myth kinaongelea kuhusu kuanzisha MFUMO WA BIASHARA ambao ndio kiini cha mafanikio kwenye biashara. Kingine ni 21 Secrets of Self Made Millionaires, kuna Richest Man in Babylon, pia kipo The millionaire Next Door, Get Rich Your Own Way n.k

Ukivisoma hivyo huwezi kubaki kama ulivyokuwa mwanzo
Vitupie hapa Mkuu
 
Kuajiliwa ni mentaliti ya kibantu. Babu aliajiliwa, baba aliajiliwa, mama aliajiliwa. Wote hawa hawakuwa na maisha ya maana hadi wanastaafu na kuanza kudai mafao yao ya miaka 30 kwa manyanyaso tele. Wewe mjukuu umeona/kusikia yote haya bado unataka kwenda njia hiyohiyo?

Shtuka chukua hatua.
 
Teh serious? Au wanisanifu?
I am Serious. Coz unapenda kufanya kazi masaa machache kuliko unavyopenda kutusua kwenye maisha.

You can't have both.... Either uwe wage earner for your entire life (work 8 hours all your life) , au uwe hustler with your sweat for some time before money start work for you (start to work 0 hours for the rest of your life)
 
Daah wakuu mna mawazo mazuri sana... Sipati picha mtu na degree yako unapelekeshwa na diwan wa la saba au rc kama bashite aliyefoji cheti
huo ndo mzunguko kwamfano ndugu mtu wa darasa la saba amejaaliwa kampuni hatokuajir? usiumize kichwa na mfumo we km umechoka kuajirwa jipange ili ufanye yanayokupa uhuru
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kazi za kuajiriwa hasa zama hizi ni ungese mtupu,,, unatumika sana ila return ni kiduchu
Unapambana na kazi ngumu na sometimes zinakua za risk ila makali ya maisha hayapungui
Unakua mtumwa wa mabenki kwa kukopa

Mi ni miongoni mwa wanaowaza kuacha kazi,,,

Nasubiri tu target moja ikae sawa
 
I am Serious. Coz unapenda kufanya kazi masaa machache kuliko unavyopenda kutusua kwenye maisha.

You can't have both.... Either uwe wage earner for your entire life (work 8 hours all your life) , au uwe hustler with your sweat for some time before money start work for you (start to work 0 hours for the rest of your life)
kwamba haiwezekani masaa 8 kazini the rest kufanya yangu?
Dah sidiss kujiajiri, ila naona you are exaggerating asee kama vile ukijiajiri ndo umetoka mazima.
Anyway yote sawa kila laheri
 
huo ndo mzunguko kwamfano ndugu mtu wa darasa la saba amejaaliwa kampuni hatokuajir? usiumize kichwa na mfumo we km umechoka kuajirwa jipange ili ufanye yanayokupa uhuru
Mkuu sizan kama umeelewa nilichoandika, mimi naongelea madiwani ambao wanakutana na wafanyakazi wa serikali na sio darasa la saba wanaomiliki kampuni!!

Muda mwingine kabla hujakomenti hakikisha kinywaji hakijapanda kichwani kabla hujaandika, sawa?
 
Mtaji ndio kila kitu na kwakua hata elimu ya bongo una tufundisha kuajiliwa basi tangia unasoma unge jifunza kujiajili mi naona kama ume chelewa mkuu.
 
Binafsi nilikuwa nimeajiriwa na nilifanya kaz miaka miwil,na mwanzo sikupenda kuajiriwa lakini kutokana na ukosefu wa mtaji ilinilazimu kuajiriwa,baadaye nikapata wazo la kuacha kaz na nikaandaa mazingira ya kuacha kaz il nijiajiri lakini kwa sharti ya ile pesa niliyokuwa nalipwa kwa mwez niwe naipata,nakiri nilifanikiwa na hadi sasa naishi tu poa nna maisha yangu na nipo huru kwenda popote,au kufunga ofisi au kufungua muda wowote na nimemchukua mdogo wangu kwa usaidizi,angalizo biashara yoyote ni kuijua kwanza au kujifunza kwa vitendo,kuwa na jina au kufahamika kwa Watu japo hili linategemea aina ya biashara,uvumilivu,udadidis,hekima na kauli nzuri kibiashara na pia kuwa tayar kwa hasara
 
Back
Top Bottom