Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Binafsi nimeweka mkakati kuwa biashara yangu ikifikisha total income ninayopata kazini kwa mwaka nitakuwa tayari kuacha kazi. Kwa sasa nimeweka maximum time span ya kuendelea kuwepo kwenye ajira ni mwisho 2023. Hapo katikati naweza kuacha kazi siku yoyote ili mradi nimefikia lengo la Total Net Income from Employment =Total Business Cash Inflow with condition that net profit from the business should be greater or equal to Gross salary

Mbinu ninayotumia ni kuwa nishaweka malengo makubwa, kisha nimeyavunja yale malengo makubwa katika malengo madogo madogo ya kila mwaka. Kwa hiyo kila mwaka nimekuwa nikijifanyia tathmini kuangalia nimefikia wapi. Namshukuru Mwenyezi MUNGU ananifanyia wepesi na malengo yatafikiwa kwa neema yake
 
Great, nilishaacha kazi ya Ualimu mara mbili, nikarudi kwa kazi nyingine ila pia roho yangu inaniambia kuwa ni Lazima niache kazi ili niwe na kitu ambacho ni lasting.... kazi zina muda, kazi za watu zinazeesha, zinaleta magonjwa ya stress na kukuminya sana kufikiria nje ya box. Nashukuru kwamba nakarinia kuvuka daraja hili, sitarudi nyuma this time MUNGU anisaidie. Kuna kitabu nakisoma kipo kwenye Playstore kinaitwa THINK AND GROW RICH aaaghhhh kinanitia nguvu sana, I encourage you guys mkisome pia.

Hivi vitabu vipo vingi na vya bure
Lazima tubadilike, lazima tubadilishe our Life style, inawezakana lakini ni lazima tujikane kwanza, lazima tujishushe, lazima tuwe commited.

Thank you
Mkuu umeongea point tupu, ila hiyo para ya mwisho ndio umeua kabisa....
 
dedication kwenu;
retire young, retire rich by R.Kiyosaki...
ni miongoni mwa maamuzi magumu ambayo ni sahihi.
ni kosa kuacha kazi ujiajiri akilini mwako ukiwa na wazo mambo yakigoma nitarudi kuajiliwa.
unaweza kuja kuaibika. Hiyo mission ni kama movie ya The Hardway The only way, makomando wanatua na ndege iliyowaleta inalipuliwa kuwadhihirishia hawana option zaidi ya kushinda pambano msituni maana hakuna usafiri wa kuwarudisha.

ukifanya maamuzi hayo mapema, utapata faida ya Muda mrefu ila lazima upitie bonde la uvuli wa mauti ili kukuandaa kukabiliana na kupata na kukosa maishani. bonde hilo huwarudisha wengi kwenye ajira wakiogopa gharama ya kujiajiri.
Kiyosaki namkubali sana. Nimeshasoma kazi zake za Rich Dad, Poor Dad na Cash Flow Quadrant
 
Binafsi nimeweka mkakati kuwa biashara yangu ikifikisha total income ninayopata kazini kwa mwaka nitakuwa tayari kuacha kazi. Kwa sasa nimeweka maximum time span ya kuendelea kuwepo kwenye ajira ni mwisho 2023. Hapo katikati naweza kuacha kazi siku yoyote ili mradi nimefikia lengo la *Total Employment Net Income =Total Business Cash Inflow with condition that net profit from the business should be greater or equal to Gross salary*

Mbinu ninayotumia ni kuwa nishaweka malengo makubwa, kisha nimeyavunja yale malengo makubwa katika malengo madogo madogo ya kila mwaka. Kwa hiyo kila mwaka nimekuwa nikijifanyia tathmini kuangalia nimefikia wapi. Namshukuru Mwenyezi MUNGU ananifanyia wepesi na malengo yatafikiwa kwa neema yake
Hongera mkuu. Umeniobgezea kitu flani
 
Hoja umeisuka na imekaa vizuri. Kwanza unajiwekea malengo bado ukiwa kazini, unaweza kuanzisha kamradi kogogo uangalie malipo yake, kama kanalipa ila usimamizi hapo jipe moyo na uwe huru kuhudumua mradi wako. Mimi nina kamradi kangu nasimamia kikamilifu na kanalipa. Niliacha kazi sasa nipo huru na nina amani akilini
 
Great, nilishaacha kazi ya Ualimu mara mbili, nikarudi kwa kazi nyingine ila pia roho yangu inaniambia kuwa ni Lazima niache kazi ili niwe na kitu ambacho ni lasting.... kazi zina muda, kazi za watu zinazeesha, zinaleta magonjwa ya stress na kukuminya sana kufikiria nje ya box. Nashukuru kwamba nakarinia kuvuka daraja hili, sitarudi nyuma this time MUNGU anisaidie. Kuna kitabu nakisoma kipo kwenye Playstore kinaitwa THINK AND GROW RICH aaaghhhh kinanitia nguvu sana, I encourage you guys mkisome pia.

Hivi vitabu vipo vingi na vya bure
Lazima tubadilike, lazima tubadilishe our Life style, inawezakana lakini ni lazima tujikane kwanza, lazima tujishushe, lazima tuwe commited.

Thank you
Yeah kiko gud sana vko ktk series vinanipa nguvu ajabu!!!
Mtaani kugumu...... Haya ndio Majibu ya walio wengi kwenye ushauri wa kuacha kazi, Kama unataka kuacha acha usiombe ushauri, Nakuomba ufanye kautafiti. Tafuta watu kama kumi ambao wako mtaani na unawaamini, waombe ushauri.

Kama wakitokea wawili wakakubaliana na wazo lako njoo nidai vocha ya 500(joke)

Kimsingi haya maamuzi yanategemea tu utashi wako, Unapokua na Biashara huku bado uko kwenye ajira watumishi huwa wanakupiga sana, mwisho wa siku biashara inakufa na ndoto yako ya kuacha kazi inakufa

Mimi nakushauri anagalia mfuko wako na uwe na uhakika wa biashara ambayo unataka kufanya, Kumbuka challenges hazipo maofisini peke yake hata kwenye biashara pia kuna challenges.

Biashara ambayo unaweza kuanza nayo kama bado hujabuni biashara jaribu kuangalia Mazao, Mazao hayana hasara jaribu ku avoid perishable things kama viazi na mboga mboga.

Mazao kama mahindi yakiharibika utauzia wanaotengeneza byakula vya kuku.

suala kubwa ni mfuko wako na utayari wako wa kuishi kigumu.
 
Great, nilishaacha kazi ya Ualimu mara mbili, nikarudi kwa kazi nyingine ila pia roho yangu inaniambia kuwa ni Lazima niache kazi ili niwe na kitu ambacho ni lasting.... kazi zina muda, kazi za watu zinazeesha, zinaleta magonjwa ya stress na kukuminya sana kufikiria nje ya box. Nashukuru kwamba nakarinia kuvuka daraja hili, sitarudi nyuma this time MUNGU anisaidie. Kuna kitabu nakisoma kipo kwenye Playstore kinaitwa THINK AND GROW RICH aaaghhhh kinanitia nguvu sana, I encourage you guys mkisome pia.

Hivi vitabu vipo vingi na vya bure
Lazima tubadilike, lazima tubadilishe our Life style, inawezakana lakini ni lazima tujikane kwanza, lazima tujishushe, lazima tuwe commited.

Thank you
Yeah kiko gud sana vko ktk series vinanipa nguvu ajabu!!!
Mtaani kugumu...... Haya ndio Majibu ya walio wengi kwenye ushauri wa kuacha kazi, Kama unataka kuacha acha usiombe ushauri, Nakuomba ufanye kautafiti. Tafuta watu kama kumi ambao wako mtaani na unawaamini, waombe ushauri.

Kama wakitokea wawili wakakubaliana na wazo lako njoo nidai vocha ya 500(joke)

Kimsingi haya maamuzi yanategemea tu utashi wako, Unapokua na Biashara huku bado uko kwenye ajira watumishi huwa wanakupiga sana, mwisho wa siku biashara inakufa na ndoto yako ya kuacha kazi inakufa

Mimi nakushauri anagalia mfuko wako na uwe na uhakika wa biashara ambayo unataka kufanya, Kumbuka challenges hazipo maofisini peke yake hata kwenye biashara pia kuna challenges.

Biashara ambayo unaweza kuanza nayo kama bado hujabuni biashara jaribu kuangalia Mazao, Mazao hayana hasara jaribu ku avoid perishable things kama viazi na mboga mboga.

Mazao kama mahindi yakiharibika utauzia wanaotengeneza byakula vya kuku.

suala kubwa ni mfuko wako na utayari wako wa kuishi kigumu.
 
Back
Top Bottom