Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Gud....mwenyewe nafanya hiyo biashara ni nzuri kwa kweli...
 
Hongera hizi zinaonesha ni namna gani ulivyoweza kuthubutu..big up sana,usipoe katika kuikuza biashara yako.
 
Tangu nihitimu nimekuwa mtu wa kujitolea pasipo kupewa hata sumuni ila Mungu kanishika mkono na sasa nimeanzisha mradi wangu wa kuuza dagaa wabichi kutoka bukoba.

Ni mwezi mmoja tangu nianze kazi hii ila ugeni katika biashara siwezi sema ni biashara mbaya kimasilahi ila inalipa, Nipo Arusha kwa yeyote atakayetaka dagaa nitamletea popote ndani ya Jiji la Arusha na maeneo jirani.....Dagaa ni wazuri sana Hawana mchanga......


Kwa biashara nitafute kwa namba hii....0692405717.....

Tusisubiri ajira..... Kidogo huleta kikubwa
c5150c1e2120f42a7db80011edf01bd0.jpg
32ce772bb33ee4c64023c0dc30d0f08a.jpg
0b3015822a336c61dd5602a236859e23.jpg
Hongera kaka...ajira ngumu sasa hivi. Hv dagaa wa mwanza wa kukaanga na hao wap bora zaid?
 
Mkuu mimi ni mhanga mwenzio, mwenye degree ya ualimu udsm napigwa jua tuu mtaani hku, nipe ramani ya hyo fursa mkuu.
 
Sio kwamba Mwenyezi Mungu kakushika mkono, alishaga kushika toka enzi hizo, sema akili yako ilikua imefungwa.
 
Tangu nihitimu nimekuwa mtu wa kujitolea pasipo kupewa hata sumuni ila Mungu kanishika mkono na sasa nimeanzisha mradi wangu wa kuuza dagaa wabichi kutoka bukoba.

Ni mwezi mmoja tangu nianze kazi hii ila ugeni katika biashara siwezi sema ni biashara mbaya kimasilahi ila inalipa, Nipo Arusha kwa yeyote atakayetaka dagaa nitamletea popote ndani ya Jiji la Arusha na maeneo jirani.....Dagaa ni wazuri sana Hawana mchanga......


Kwa biashara nitafute kwa namba hii....0692405717.....

Tusisubiri ajira..... Kidogo huleta kikubwa
c5150c1e2120f42a7db80011edf01bd0.jpg
32ce772bb33ee4c64023c0dc30d0f08a.jpg
0b3015822a336c61dd5602a236859e23.jpg
mkuu dagaa wabich wa bukoba ndio wapi hao? napia naomba ufafanuzi wa bei plz
 
Tangu nihitimu nimekuwa mtu wa kujitolea pasipo kupewa hata sumuni ila Mungu kanishika mkono na sasa nimeanzisha mradi wangu wa kuuza dagaa wabichi kutoka bukoba.

Ni mwezi mmoja tangu nianze kazi hii ila ugeni katika biashara siwezi sema ni biashara mbaya kimasilahi ila inalipa, Nipo Arusha kwa yeyote atakayetaka dagaa nitamletea popote ndani ya Jiji la Arusha na maeneo jirani.....Dagaa ni wazuri sana Hawana mchanga......


Kwa biashara nitafute kwa namba hii....0692405717.....

Tusisubiri ajira..... Kidogo huleta kikubwa
c5150c1e2120f42a7db80011edf01bd0.jpg
32ce772bb33ee4c64023c0dc30d0f08a.jpg
0b3015822a336c61dd5602a236859e23.jpg
Safi sana kazana usichoke
 
Back
Top Bottom