Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipata wateja pia eneo zuri inalipa sanaGud....mwenyewe nafanya hiyo biashara ni nzuri kwa kweli...
I receive...May Almighty God shower blessings upon u.
Shukrani MkuuPongezi sana mjasiriamali
Ni kwelUkipata wateja pia eneo zuri inalipa sana
Asante sana NduguHongera hizi zinaonesha ni namna gani ulivyoweza kuthubutu..big up sana,usipoe katika kuikuza biashara yako.
Pamoja sana jamaabig up mwana,, pambana!!
Tangu mwaka 2015 naisaka siioni ajiraHongera mkuu...
Kwani nchi hii kuna ajira tena mana nshasahau aise
Hongera kaka...ajira ngumu sasa hivi. Hv dagaa wa mwanza wa kukaanga na hao wap bora zaid?Tangu nihitimu nimekuwa mtu wa kujitolea pasipo kupewa hata sumuni ila Mungu kanishika mkono na sasa nimeanzisha mradi wangu wa kuuza dagaa wabichi kutoka bukoba.
Ni mwezi mmoja tangu nianze kazi hii ila ugeni katika biashara siwezi sema ni biashara mbaya kimasilahi ila inalipa, Nipo Arusha kwa yeyote atakayetaka dagaa nitamletea popote ndani ya Jiji la Arusha na maeneo jirani.....Dagaa ni wazuri sana Hawana mchanga......
Kwa biashara nitafute kwa namba hii....0692405717.....
Tusisubiri ajira..... Kidogo huleta kikubwa![]()
![]()
![]()
Go... Go... Gooooo
Bring it to the fight till the end.
Congratulations
mkuu dagaa wabich wa bukoba ndio wapi hao? napia naomba ufafanuzi wa bei plzTangu nihitimu nimekuwa mtu wa kujitolea pasipo kupewa hata sumuni ila Mungu kanishika mkono na sasa nimeanzisha mradi wangu wa kuuza dagaa wabichi kutoka bukoba.
Ni mwezi mmoja tangu nianze kazi hii ila ugeni katika biashara siwezi sema ni biashara mbaya kimasilahi ila inalipa, Nipo Arusha kwa yeyote atakayetaka dagaa nitamletea popote ndani ya Jiji la Arusha na maeneo jirani.....Dagaa ni wazuri sana Hawana mchanga......
Kwa biashara nitafute kwa namba hii....0692405717.....
Tusisubiri ajira..... Kidogo huleta kikubwa![]()
![]()
![]()
Safi sana kazana usichokeTangu nihitimu nimekuwa mtu wa kujitolea pasipo kupewa hata sumuni ila Mungu kanishika mkono na sasa nimeanzisha mradi wangu wa kuuza dagaa wabichi kutoka bukoba.
Ni mwezi mmoja tangu nianze kazi hii ila ugeni katika biashara siwezi sema ni biashara mbaya kimasilahi ila inalipa, Nipo Arusha kwa yeyote atakayetaka dagaa nitamletea popote ndani ya Jiji la Arusha na maeneo jirani.....Dagaa ni wazuri sana Hawana mchanga......
Kwa biashara nitafute kwa namba hii....0692405717.....
Tusisubiri ajira..... Kidogo huleta kikubwa![]()
![]()
![]()