Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Mkuu mm WATU wananipiga promo saaana nijiunge lkn mm mwenyewe siamini naona. Kama. Usanii flani hivi .lkn naona kama unaelekea kujiunga maana maisha haya ya kuajiriwa na KULIPWA laki tano NA mikopo ktk salary slips?nitajiunga tu. Ebu NI PM kunipa maelezo ya kutosha mkuu
 
Mkuu mm WATU wananipiga promo saaana nijiunge lkn mm mwenyewe siamini naona. Kama. Usanii flani hivi .lkn naona kama unaelekea kujiunga maana maisha haya ya kuajiriwa na KULIPWA laki tano NA mikopo ktk salary slips?nitajiunga tu. Ebu NI PM kunipa maelezo ya kutosha mkuu
Ntakutafuta mkuu usijali
 
Hiyo biashara ya marketing nertwoking sio mbaya sana kwa nchi za wenzetu zinafanyika kiurahisi zaid lakin kibongo bongo ni kaz za kufanya kiujanja ujanja uwongo mwingi, nimeshuhudia wengi wanazilaumu na kuishia kupata hasara kubwaa, vijana weng wanazikimbilia mwisho wanarud wanalaumu lait ningalijua tatizo la hii business ukielezewa kwa Mara ya kwanza unashawishika sana na kuona ni biashara nzuri yenye faida sana lakini unapoanza kuifanya na baada ya kuweka mtaji wako unagundua n jamii ya utapeli? Kuna wachache sana wamefanikiwa ila wengine ndio wanageuzwa kuwa mtaji ya wengine. THEORY ya hii business ni rahisi kueleweka na wengi lakini PRACTICALY ni ngumu sana hivyo kupelekea wachache kufanikiwa na kuwaacha members wengine wengi wakilaumu kuwa ni UTAPELI.
Labda kwa wengine hii ya kwetu unajiunga kwa 9,000 tu mengineyo unafanya sawa na uwezo wako. Na tunapokea oda ya mteja pamoja na hela kama sinyote at least advance unaletewa bidhaa huwezi kutuma pesa njoo ofisin kwa dar na wa mikoani tunacontacts unaweza wasiliana na ofisi kujua uwakika wa kuipata bidhaa yako. Sasa kama unamuamini mteja wako waweza mchukulia kwa hela zako ukapeleka na ukarudisha pesa yako. Hatuna complication ya ku investment hela nyingi ambazo utajutia. Kila kitu ni kuamin kwa nini wao waweze sie tushindwe binafsi sijafika level juu ila kwa maisha niliyopitia naendelea kusema hii biashara inasaidia na haswa ukiielewa. Kama ilivyo akujuaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli ndivyo hivyo hii biashara inakupa upana wakufumbua mambo, unaweza fanya full time or part time.
 
Ataekuita kwenye pesa ni ndugu yako au rafiki yako wa karibu ndio maana kuna undugulization
 
Ataekuita kwenye pesa ni ndugu yako au rafiki yako wa karibu ndio maana kuna undugulization
Ni mtazamo wako pia, kama hujawahi fanya network marketing especially oriflame sidhani kama comments zako zina mshiko......sababu ni wazi kabisa oriflame kunawakati huwezi fanikiwa bila kusaidia wa chini yako. Huwezi kucomment kama huna experience na hii bilashara uta comments kwa theories which is not true some time, unless aliyekuunga aamue kutokukusaidia kwa chochote. Hivyo hivyo sijawahi fanya network marketing nyingine so siwezi comment kwa upande wao. Usijaji kazi yangu kwa mtazamo au maono yako jaji kazi yangu kwa experience.
 
Hiyo biashara ya marketing nertwoking sio mbaya sana kwa nchi za wenzetu zinafanyika kiurahisi zaid lakin kibongo bongo ni kaz za kufanya kiujanja ujanja uwongo mwingi, nimeshuhudia wengi wanazilaumu na kuishia kupata hasara kubwaa, vijana weng wanazikimbilia mwisho wanarud wanalaumu lait ningalijua tatizo la hii business ukielezewa kwa Mara ya kwanza unashawishika sana na kuona ni biashara nzuri yenye faida sana lakini unapoanza kuifanya na baada ya kuweka mtaji wako unagundua n jamii ya utapeli? Kuna wachache sana wamefanikiwa ila wengine ndio wanageuzwa kuwa mtaji ya wengine. THEORY ya hii business ni rahisi kueleweka na wengi lakini PRACTICALY ni ngumu sana hivyo kupelekea wachache kufanikiwa na kuwaacha members wengine wengi wakilaumu kuwa ni UTAPELI.
Tatizo ya biashara hii ni kuwa usanii ni mwingi kuliko uhalisia. Kuna wakati fulani niliwahi udhuria kikao chao kimoja pale LEGHO, mwanzoni kilinivutia. Ila mwishowe baada ya kufanya tathini nikaja gundua usanii mwingi na ni design fulani ya PHYRAMID SCHEME OF FRAUD. Nikaachana nao.
 
Tatizo ya biashara hii ni kuwa usanii ni mwingi kuliko uhalisia. Kuna wakati fulani niliwahi udhuria kikao chao kimoja pale LEGHO, mwanzoni kilinivutia. Ila mwishowe baada ya kufanya tathini nikaja gundua usanii mwingi na ni design fulani ya PHYRAMID SCHEME OF FRAUD. Nikaachana nao.
Wakati wenzio wanafanikiwa wewe endelea kutathimin mafanikio yao. Huo ni mtazamo wako na maamuzi yako.
 
Daaah vzr mkuu je kuna mtu ana laptop ilio vunjika screen. Anataka kubadili kioo au kuuza kwa hasara unaweza kumsaidiaje??? Aina ni lenovo
 
BAU-Bidii katika kila kazi huleta faida,lakini maneno matupu huleta umaskini ,Tanzania inatakiwa tubadili mfumo mzima wa utoaji ajira na kutengeneza ajira kwa vijana wote wenye sifa stahiki za kuajiriwa ili kuwa na taifa la vijana wachapa kazi na wazalendo na kutengeneza Tanzania bora kiuchumi .

Ni wakati muafaka wa serikali kuanza kuajiri vijana kufanya kazi masaa 24/7. Kuna haja gani ofisi kufungwa saa tisa na nusu wakati kazi hazijamalizika na mtaani kuna watu wanahitaji kuajiriwa?Ni wakati sahihi kuajiri vijana ofisi zote za serikali kuingia jioni mida ya saa 12 mpaka saa kesho yake 12 asubuhi .

Sioni tija kumpa mwanafunzi mkopo ili asome chuo kikuu ,kisha anamaliza chuo kikuu anakaa mtaani miaka mitatu,hana ajira wala hana mtaji wa kufanya biashara,wakati ni nguvu kazi ya taifa.

Wazo bora ni kuruhusu kutoa mikopo kwa wenye uhitaji wa kujiajiri/kilimo/biashara/ufugaji kwa dhamana zenye tija kwa mlengwa na kuongeza ajira za usiku na mchana ili pesa aliyoisomea iwe asset kwa serikali na sio liability mtaani.

Ili tuendene na kasi ya maendeleo na uchumi mzuri na wenye tija katika ulimwengu uliojaa ushindani ni lazima taifa tuwe na vijana nguvu kazi kiutendaji,kifikra na uwajibikaji na hii yote inatakiwa ifanyike kwa matendo na sio maneno.[HASHTAG]#Ajira[/HASHTAG]
7a1f54cf2b6190b1764307c468f24d26.jpg
 
Fikiria hii
kibarua anayefanya toka saa 2 asb hadi saa 2 usk katika kiwanda cha nguo kama nida pale tabata analipwa sh 4000 na wahindi na huyo mtanzania anaelipwa hivyo na ana ndoto za kutoka kimaisha
asante tanzania
[HASHTAG]#HappyAnniversaryToMeInJF[/HASHTAG]
 
Fikiria hii
kibarua anayefanya toka saa 2 asb hadi saa 2 usk katika kiwanda cha nguo kama nida pale tabata analipwa sh 4000 na wahindi na huyo mtanzania anaelipwa hivyo na ana ndoto za kutoka kimaisha
asante tanzania
[HASHTAG]#HappyAnniversaryToMeInJF[/HASHTAG]
Umeongea vyema sana
 
Mbona Vijana wako huko kwenye Forex wanapiga Pesa tuu
 
Back
Top Bottom