Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba elimu kuhusiana na ForexMbona Vijana wako huko kwenye Forex wanapiga Pesa tuu
Asante sana mkuu ngoja nivute uzi nipate kile nachotaka mbelenibig up fellow investor
Asante sana MkuuHongera
Naam !! Na iwe hivyoMungu akubariki kwa kuwa umethubutu
Thank you...Go... Go... Gooooo
Bring it to the fight till the end.
Congratulations
Nakupongeza, umechukua uamuzi wa maana sana! Ninachokushauri usibweteke na faida utakayoipata, wekeza zaidi na zaidi, tanua biashara mpaka umiliki vitega uchumi vikubwa vitakavyokuhakikishia mapato ya uhakika katika maisha yako yote.
Uyasemayo ni kweli kikubwa ni malengo tu mkuuNichumu Nibebike said:Hongera mkuu! Pole pole ndio mwendo. After five years hautokuwepo hapo. Tofauti na mtu anayepokea milioni moja sasa, baada ya miaka mitano kwa increment ya 10, hata mshahara wa M1.5 atakuwa bado hajavuka...
Nadhani akiona uzi atachukua mawasiliano nimpe mboga safiiRaimundonit: 21784651 said:Cheki na Joseverest mzee wa Chuga, anapenda sana dagaa hizi.
Nipo chuga mkuu kuanzia kesho nitaanza kugonga mageti ya watu (kuuza)Big up kamanda, nikirudi chuga ntakuungisha, nimesha subscribe.