Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

niliwaza suala la kuuza nguo na viatu nifuatilie dar lakn bado dar ntakuwa mgeni,na kuhusu suala la matunda ni vzur lakn labda mananasi maana embe zimemeza matunda mengne au unanishaurije kuhusu biashara ya viatu vya mtumba na nguo?
 
Labda sikuzote tunapenda kuongea kwa kuwatolea mfano wenzetu na kuacha nafsi zetu. Nasema hivi njia pekee ya kutimiza ndoto zako ni kujiajiri mwenyewe, ninaposema kujiajiri simaanishi uwenakitu kimoja. Katika pitapita yangu leo nimepitia baadhi ya thread humu za wanajamii wakiomba kazi wengine wakikata tamaa ni kweli inauma haswa ukiwa umesoma na pia unaweza ona wwewe unahali ngumu lakin wenzio wanahali ngumu zaidi yako.
Binafsi mpaka nimeandika thread hii nimeumia sana kuona watu wanatafuta ajira kiasi ambacho mtuhajui afanyeje.

Mimi nimemaliza chuo na sijapata ajira ya serikalini nimejiajiri mwenyewe it is true kwamba hujui unatoke katika njia ipi kufikia mafanikio....njia iliyo kuwa usoni mwangu nikupata angalau kitu cha kufanya nijipatie kipato. Sikuwaza mtaji mkubwa kwakuwa sikuwa na mtaji hata kidogo, niliwaza kupata kazi ya kufanya. Nilikutana na rafiki yangu aliyenipa fursa ya oriflame ni network marketing ndio, siwezi kuficha tangu nianze hii biashara nimeweza kubadilika kiakili na kimaisha nilikuwa nimekata tamaa, nilikuwa hata siwezi kuwaza kitu cha maendeleo.
Lakini sasa nimepata kupumua, napenda nichukue nafasi hii kuwakaribisha vijana either umeajiriwa unahitaji part time job au huna kazi kabisa karibu tufanye biashara na oriflame. Njoo ubadilishe mtazamo katika maisha, ukutane na watu tofauti wa professional tofauti ubadili hali yako. Huitaji ujuzi wowote utapata kufundishwa biashara kwa seminar na vitendo.

Ukiwa uko interest na oriflame network marketing inahusu beauty and cosmetics za kiume na kike, ili kuanza biashara yako leo wasiliana nami kwa
0717 343635

Kiukwel ninachokiona mbele ni fursa zaidi katika kujiajiri.
 
Ili upate vichwa vya kukuongezea credit. Siongei vibaya ila umesema sawa kuwa ni kuajiajiri ila binafsi naomba niulize je,siwezi kujiunga then nikauza dukani kwangu maana mambo ya kutembea na bidhaa Barabarani sipendi kabisa.Coz ni muajiriwa ila na sina muda mrefu wa kudumu kwenye ajira,naendelea kuwekeza katika miradi kibaokibao ili nikiondoka niondoke mazima.
 
Hongera maana watu wanalaumu tuuuuuuu na wanaleta utozi kufanya business kama hizo.nijibu aseee!
 
Hongera maana watu wanalaumu tuuuuuuu na wanaleta utozi kufanya business kama hizo.nijibu aseee!
Ahsante, hatutembezi vitu barabarani na maranyingi tunanunua kwa oda ni uamuzi wako umpelekee mteja (sio lazima ww waweza muagiza hata bodaboda coz mteja analipia usafiri) au aje ofisini kuchukua bidhaa....kuna level ukifika kampuni inakuruhusu kufungua sales point(branches ndogo ndogo) hapa unakuwa na leseni pamoja na sehemu. So mtu akihitaji bidhaa nirahisi kumdirect ofisini kwako mojakwa moja. Mengi tutaeleweshana zaidi lakin pia inategemea mkoa uliopo.
Tunafanya biashara popote means tuna tumia online either kwa website or simu. Karibu
 
Hongera sana hope wengine watajifunza kutoka kwako
 
Mimi nitafungua genge kwa sababu sina uwezo wa kushawishi watu

Wakati mwingine yakubidi utunge hata story ili tu upande level kwenye pyramid
 
Mimi nitafungua genge kwa sababu sina uwezo wa kushawishi watu

Wakati mwingine yakubidi utunge hata story ili tu upande level kwenye pyramid
Kwanini utunge usiseme ukweli? Mimi ukija nakwambia hali halisi ilivyo full stop if you like utafanya if you don't basi hakuna anayekuwa forced kufanya kitu.
All the best ktk biashara yako ya genge naamin katika kujiajiri ktk ujasiriamali.
 
Hiyo biashara ya marketing nertwoking sio mbaya sana kwa nchi za wenzetu zinafanyika kiurahisi zaid lakin kibongo bongo ni kaz za kufanya kiujanja ujanja uwongo mwingi, nimeshuhudia wengi wanazilaumu na kuishia kupata hasara kubwaa, vijana weng wanazikimbilia mwisho wanarud wanalaumu lait ningalijua tatizo la hii business ukielezewa kwa Mara ya kwanza unashawishika sana na kuona ni biashara nzuri yenye faida sana lakini unapoanza kuifanya na baada ya kuweka mtaji wako unagundua n jamii ya utapeli? Kuna wachache sana wamefanikiwa ila wengine ndio wanageuzwa kuwa mtaji ya wengine. THEORY ya hii business ni rahisi kueleweka na wengi lakini PRACTICALY ni ngumu sana hivyo kupelekea wachache kufanikiwa na kuwaacha members wengine wengi wakilaumu kuwa ni UTAPELI.
 
Back
Top Bottom