Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri


Mkuu fuata moyo wako na wala usimsikilize mtu,

Hakikisha tu unachokwenda kukifanya unakifahamu vizuri

Narudia tena fuata moyo wako

km ulifanya kazi kwa miaka 20 kwa mshahara wa laki 5 kwa mwez.... na ukashndwa kupata ivyo vitu had unastaafu....

ni uzembe pia.

Kumbuka hiyo 500000 ndo inyoendesh maisha daily
 
Mchango wako unaelimisha na ku-inspire
 
Uzi mzuri sana huu.ninampango huu miaka mitano ijayo .kwasasa najiandaa kwa kujisomesha vikozi vya ujasiriamali mdogomdogo baada ya hapa nitafungua miradi .akili yangu inanituma nikiwa off system nitatengeneza pesa nyingi sana ambazo kwa sasa naona zinanipita kutokana na kutokuwa huru na hasa mazingira niliyopo.Mungu saidia hii ndoto itimie!
 
loading...........................................................................................................................................................................
 
Bado naona waoga wa kujiajiri ni wengi sana humu ndani..kikubwa unachotakiwa kufanya na kukikubali ni kutojali wengine watakuonaje baada ya kuacha kazi, fuata moyo na amini unachokiamini!
 
Bado naona waoga wa kujiajiri ni wengi sana humu ndani..kikubwa unachotakiwa kufanya na kukikubali ni kutojali wengine watakuonaje baada ya kuacha kazi, fuata moyo na amini unachokiamini!
Easy said than done
 

mkuu upo sahihi lakini kazi zetu hizi hadi umiliki nyumba nne utakuwa umestafu na nyumba bado hazijakamilika.
wafanyakazi wengi wanajenga kwa mikopo mshaara ni ngumu sana kujenga
 
Ulifanya nini baada ya kuacha
Nilichekwa sana na kudhihakiwa hasa rafiki zangu wa karibu na ndugu yaani mtaani nilikuwa sisemi kitu ila bahati nzuri kuna wacanada walinipandilia wakawa wananilipa mkwanja wa kutosha.

Lukwafya
 
Nilichekwa sana na kudhihakiwa hasa rafiki zangu wa karibu na ndugu yaani mtaani nilikuwa sisemi kitu ila bahati nzuri kuna wacanada walinipandilia wakawa wananilipa mkwanja wa kutosha.

Lukwafya
Mkuu fafanua vizuri
 
Mara nyingine ndio maana ukisoma mada kama hizi unazipuuza. Sasa kweli mtu ambae ajira haimridhishi unamwambia kabla ya kuacha kazi awe na nyumba nne,mashamba,mifugo na mtaji m20! Sasa si atafia kazini akitafuta hivyo vitu?!!!

Mara nyingi huwa natamani niwaambie watu jinsi nilivyoanza na mtaji mdogo saaaana lakini acha tu.
 
Tuambie bana mkuu utabarikiwa...kuajiriwa mizinguo!

Share with us please!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…