Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Mtoa post naomba kujua jinsi ya kujaza kipengele cha SWIFT/BIC
 
Kuna platform mpya imezinduliwa leo ya kujiajiri. Kama unataka kujiajiri, hii platform ndo penyewe. inatwa Ajiras kuna app ya simu pia. Ni ya hapa hapa bongo.
Update kwa walio acha kazi tayari wakuu..
Bado sijaacha Kazi ila ndoto zangu za kuacha Kazi naona zitatimia muda so mrefu.


Kabla ya kuuona huku Uzi nilikuwa nimeshaanza mikakati ya kutema kazi ikiwa ni pamoja na

1) Kulima kilimo cha maharage. Namshukuru mungu wiki tatu zilizopita nimevuna magunia zaidi ya target yangu. Kwa sasa bei ya shamba kwa gunia ni 130,000. Nimepanga niuze walau ikifika 180,000 ambayo naamini mpaka mwishoni Mwa mwezi Wa 10 being hiyo itafika.




Sasa nikiwa nasubiri kuingiza huo mzigo sokoni nipo kwenye maandalizi ya project ya ufugaji nitakayoitekeleza kwa Pesa ya maharage. Maandalizi yote na pilot study ya project iko sawa sawa. Nasubiri tu nipush mzigo sokoni.



Ni mengi ila kwa ufupi Uzi huu ulinipa moyo sana mpaka hapa nimefika ni jitihada za huu Uzi. Inshaallah mwakani siku na mwezi kama huu nitakuwa somewhere kama self employee.


Amin.
 
Bado sijaacha Kazi ila ndoto zangu za kuacha Kazi naona zitatimia muda so mrefu.


Kabla ya kuuona huku Uzi nilikuwa nimeshaanza mikakati ya kutema kazi ikiwa ni pamoja na

1) Kulima kilimo cha maharage. Namshukuru mungu wiki tatu zilizopita nimevuna magunia zaidi ya target yangu. Kwa sasa bei ya shamba kwa gunia ni 130,000. Nimepanga niuze walau ikifika 180,000 ambayo naamini mpaka mwishoni Mwa mwezi Wa 10 being hiyo itafika.




Sasa nikiwa nasubiri kuingiza huo mzigo sokoni nipo kwenye maandalizi ya project ya ufugaji nitakayoitekeleza kwa Pesa ya maharage. Maandalizi yote na pilot study ya project iko sawa sawa. Nasubiri tu nipush mzigo sokoni.



Ni mengi ila kwa ufupi Uzi huu ulinipa moyo sana mpaka hapa nimefika ni jitihada za huu Uzi. Inshaallah mwakani siku na mwezi kama huu nitakuwa somewhere kama self employee.


Amin.
Hongera saana mkuu.. Huo ndo upambanaji wenyewe. Umenitia moyo saana
 
Hongera saana mkuu.. Huo ndo upambanaji wenyewe. Umenitia moyo saana
Hatuwezi kuendelea kwa kuajiriwa, Never. Ni utumwa tu. Ni bora uwe mtumwa Wa kazi zako.


Tena sasa hivi mambo ndio balaa hakuna mafao wala nini. Yaani MTU unahenyeka weeee siku mkataba ukiisha unazungushwa mafao yako. Mimi ni mhanga Wa mafao najua uchungu wake sitaki initokee tena Mara ya pili.



Tupambaneni ndugu zangu
 
Hatuwezi kuendelea kwa kuajiriwa, Never. Ni utumwa tu. Ni bora uwe mtumwa Wa kazi zako.


Tena sasa hivi mambo ndio balaa hakuna mafao wala nini. Yaani MTU unahenyeka weeee siku mkataba ukiisha unazungushwa mafao yako. Mimi ni mhanga Wa mafao najua uchungu wake sitaki initokee tena Mara ya pili.



Tupambaneni ndugu zangu
Good move mkuu, naomba kujua aina ya ufugaji unao taka kuufanya.. ni wa mbuzi katoriki?
 
Inategemea umeajiriwa wapi. Mm sehemu ambayo nimeajiriwa Kamwe siwezi Acha maana nina elimu ya kawaida hata diploma haijafika ninaliowa mshahara take home ni 1.5 milion kwa mwezi na kama ntatia figisu za safari na kazi za nje na night allowance na extra duties napata minimum laki 5. Yani katika mwezi nikikosa kabisa napata laki 2. Sasa naanzaje kuacha kazi??? Nikifikiria watanzania wengi kwenye ajira mf. Walimu na watumishi wa halmashauri manesi, na wengine mshahara haufiki hata Laki 6.

Mimi binafsi nina kila sababu za kuendelea kubembeleza ajira maisha yaende. Japo najua faida ya kujiajiri ila kwa sasa Maisha ni magumu. Unaweza anzisha business entity yako na ikafa huku unaiona. Vikwazo ni vingi mara Kodi, ushuru, Tozo na Chuma ulete humohumo mdororo wa uchumi na vingine vingi
 
Inategemea umeajiriwa wapi. Mm sehemu ambayo nimeajiriwa Kamwe siwezi Acha maana nina elimu ya kawaida hata diploma haijafika ninaliowa mshahara take home ni 1.5 milion kwa mwezi na kama ntatia figisu za safari na kazi za nje na night allowance na extra duties napata minimum laki 5. Yani katika mwezi nikikosa kabisa napata laki 2. Sasa naanzaje kuacha kazi??? Nikifikiria watanzania wengi kwenye ajira mf. Walimu na watumishi wa halmashauri manesi, na wengine mshahara haufiki hata Laki 6.

Mimi binafsi nina kila sababu za kuendelea kubembeleza ajira maisha yaende. Japo najua faida ya kujiajiri ila kwa sasa Maisha ni magumu. Unaweza anzisha business entity yako na ikafa huku unaiona. Vikwazo ni vingi mara Kodi, ushuru, Tozo na Chuma ulete humohumo mdororo wa uchumi na vingine vingi
Umeshajikatia tamaa masikini ya mungu.
 
Back
Top Bottom