Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Bado sijaacha Kazi ila ndoto zangu za kuacha Kazi naona zitatimia muda so mrefu.


Kabla ya kuuona huku Uzi nilikuwa nimeshaanza mikakati ya kutema kazi ikiwa ni pamoja na

1) Kulima kilimo cha maharage. Namshukuru mungu wiki tatu zilizopita nimevuna magunia zaidi ya target yangu. Kwa sasa bei ya shamba kwa gunia ni 130,000. Nimepanga niuze walau ikifika 180,000 ambayo naamini mpaka mwishoni Mwa mwezi Wa 10 being hiyo itafika.




Sasa nikiwa nasubiri kuingiza huo mzigo sokoni nipo kwenye maandalizi ya project ya ufugaji nitakayoitekeleza kwa Pesa ya maharage. Maandalizi yote na pilot study ya project iko sawa sawa. Nasubiri tu nipush mzigo sokoni.



Ni mengi ila kwa ufupi Uzi huu ulinipa moyo sana mpaka hapa nimefika ni jitihada za huu Uzi. Inshaallah mwakani siku na mwezi kama huu nitakuwa somewhere kama self employee.


Amin.
Umelima wapi mkuu
 
Wakuu kuacha kazi kabla hujapata kazi nomaaa siwafichi hasa kama Una michongo na pesa ya matumizi madogo dogo

Kwa sasa nashinda mtandaoni mambo yanaenda kama kawaida japo namiss pesa za mwisho Wa mwezi

Ni hivi ukitaka kuacha kazi hakikisha Una mtaji Wa kutosha katika wazo LA biashara ulilo nalo na pesa ya kula bila ya hivyo utaipata fresh ya shamba
 
nimejiajir kwenye kilimo nakaribia kuona matunda yangu
IMG_20180918_091022.jpg
IMG_20180918_091016.jpg
IMG_20180916_082202.jpg
IMG_20180916_082209.jpg
 
Tuko hapa kusaidiana, feel free kupost swali... Naiman majibu yatapatikana. [emoji120][emoji120][emoji120]
Asanteni sana kwa ukarim....naomba nipate kujua namna ya kubid kwenye freelancer plz na namna ya kudroo kihela nitakachokuwa napata hata kama ni 5000 nijue inanifikiaje plzzzz
 
Safi sana mkuu, hizi mambo zinanifanya nakaaga ndani uwa ninatoka jioni kufanya manunuzi kiasi kwamba jirnai na watu uwa wanashindwa kunielewa ningekuwa mtu wa kutoka usiku wangeshanisema mimi jambazi.
Dah! napenda sana kujishughulisha na kuwa bize nadhan nitaziweza hiz kaz.....plz nimekuuliza namna ya kubid na kucontext kwenye freelancer na pia kutambua thaman ya shilling ktk mataifa mengine na pia namna ya kudroo kihela nitajachokuwa napata!! plz help!! ww umeniinspire sana and you're my role model ktk hiz kaz plz help I need your help!!!!
 
Asanteni sana kwa ukarim....naomba nipate kujua namna ya kubid kwenye freelancer plz na namna ya kudroo kihela nitakachokuwa napata hata kama ni 5000 nijue inanifikiaje plzzzz
Wakati wa kujisajiri freelancer kuna sehemu utajaza information za credit card yako (viza au mastercard).
 
Dah! napenda sana kujishughulisha na kuwa bize nadhan nitaziweza hiz kaz.....plz nimekuuliza namna ya kubid na kucontext kwenye freelancer na pia kutambua thaman ya shilling ktk mataifa mengine na pia namna ya kudroo kihela nitajachokuwa napata!! plz help!! ww umeniinspire sana and you're my role model ktk hiz kaz plz help I need your help!!!!
Kutokana na skills ulizojaza ukiingia freelancer kuna sehemu imeandikwa work , ukigusa hapo itatokea sub menu chagua browse projects kubid au browse contest kushindana.
Narudia note kuna mataperi hasa kazi za typing na data entry na utaziona zina ela nyingi uwa wanaziondoa wao freelancer wanaweza tambua lakini ukibid kabla hawajaondoa usikubari mtu akupe email mkapate nje ya platform au akwambie sijui tuma ela paypal ya kusignup na database yao kila kitu kinafanyanyika na kumalizika mle.
Pili utaweza jua kujua rates za ela kwa kutumia google kuna tools nyingi ya kuconvert ela unaandika ela yoyote unaiconvert kwa ela nyinginge mfano ukiandika AUD into Tshs itakuletea calculator ya kuconvert australian dollar kuwa tshs.
Mwisho kabisa siyo kila kazi utakayobid utapata inahitaji kuwa mvumilivu na kubid kwa akili na ni vizuri ukipata cllient ambaye akikupa kazi ni endelevu kwa muda mrefu sana.
Kutoa ela njia rahisi ni money wire wanaituma kwenye account yako sasa tatizo njia hii hawawezi kukutmia ela ndogo walau kuanzia hata dollar 15 nadhani ndiyo better.
Na mwisho kabisa kuna charges hapo freelancer, unapewa mwezi mmoja free ila baada ya hapo utatakiwa kulipa ama urudishe kwenye free account ambayo inakupa uwezo wa kubid bids 4 kwa week so hakikisha ukijiunga unapambana upate kazi ili uwe na ela mwezi utakapoisha upate kulipia fees. Na pia kila kazi unayopatana na wao wanaongeza 5% kwenye ela mfano ukipata kufanya kazi kwa $25 wataongeza $5 itakuwa $30. so wakati wa kubid keep that into your mind.
 
Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa sugu sana. Ni vijana wengi tunaohitimu vyuo na sekta ya ajira ina nafasi ambabzo haziwezi kutosheleza makontena ya wahitimu yanayomwagwa mtaani kila mwaka.
Mimi ni mmoja wapo wa wahanga waliokosa ajira na kuihangaika sana kuzunguka na vyeti mtaani hadi nikakata tamaa tu baada ya mwaka mmoja nikaachana na kutafuta ajira mpaka Mungu aliponiona na kunipa plan B.
Kujiajiri mara nyingi kunahitaji mtaji hata kilimo pia kinahitaji mtaji kwahiyo wengi wanaosema mkajiajiri utakuta wao wameajiriwa.

Leo nita share nanyi njia ambayo mtu unaweza kujiajiri ukatengeneza pesa ambayo hata wale walioajiriwa wanaiota.

Kuna kitu kinaitwa freelancing. Nadhani wengi mmeshwahi kusikia kuna kazi unaweza kufanya mtandaoni na kulipwa. Na najua wengi mlishwahi kujaribu na mwisho unagundua hakuna ukweli na wala huambulii chochote na wengi mtu akiwambia kuna kazi unaweza fanya mtandaoni ukalipwa utaishia kusema ni utapeli.
Lakini ukweli ni kwamba ndiyo kuna kazi unaweza fanya mtandaoni na ukalipwa, tatizo ni kujua zipi fake na zipi za ukweli.
kuna kufanya surveys, hizi hazina malipo ya maana na mitandao mingi inatoa shopping vouvhers na siyo ela. Mfano wake ni opinion panel ambbayo inatoa kati ya 0.50 pound kwa kila survey utakyopewa na inaezekana upewe moja kila week sasa kwa mustakhabari huo huwezi tengeneza pesa ya maana zaidi ya kupoteza muda.
Kuna referals, Kuna mitandao inadai inatoa ela kwa kurefer watu wengine wajiunge. Nimejaribu kuipitia mitandao mingi ipo amayo kweli inatoa ela lakini ni kiasi kidogo hata kufikisha 10$ kwa miezi sita ni kazi. Na may zaidi mitandao mingi ya hiovyo ni ya uongo.

Ipi mitandao ya kweli na nitajuaje kama kama kazi zilizopo ni za kweli.
Kwanza kabisa zingatia hili, hakuna free money. Ukiona mtandao unakuahidi kukulipa pasipo kufanya kazi yoyote ya maana jua huo mtandao ni fake/scam. Inaidi ufanye kazi.
Pili ela unayoahidiwa kulipwa iendan na kazi, siyo unaambiwa utype page moja then ulipwee $200, katika akili ya kawaida utaona kabisa malipo hayaendani na kazi.
Tatu tumia mitandao ina yo review na kukwambbia kama mtandao flani ni Legit au scam.


Jinsi ya kutengeneza pesa.
Katika kufanya kazi mtandaoni kama freelancer nimeweza kuja na list ya mitandao ambayo ninaiamini.
1. Fiverr: Huu ni wa uhakika kabisa kuna kazi nyingi sana humu. Ila inahitaji utengeneza profile na portfolio ya maana maana wanafanya screening ya nguvu kabbla ya kukuruhusu kuanza kugombea kazi zilizo postiwa.
Kuna kila aina ya kazi kuanzia kutype, graphics, we designing, content writting, music, animation, Legal Documents yani kazi zote uzijuazo wewe. Na jambbo la kushangaza ni kwamba kuna hadi wa tanzania wanapost humu wakitafuta freelancers wa kuwafanyia kazi zao.
Freelancer. Huu ni mtandao mwingine ninaouamini na nimefanya kazi nyingi hapa na babdo ninaendelea kufanya walau kila siku kazi 2 mpaka 5. Tatizo la huu mtandao kuna matapeli kutoka Asia ambao wanapenda kupost akzi za data entry zikiwa na malipo makubwa sana mfano type 30 pages for $250. Ukiona hivi machale inabidi ya kucheze. Pia malipo na kazi zote zinabidi zifanyie kwenye platform yenyewe maana mpaka mtu anakupa kazi wao freelancer wanakuwa washa hold ile ela mliyoelewana ili ukimaliza waiachie kwenye account yako sasa hawa matapeli wanakushauri mkaelewane kwenye email ukiona hivyo jua ni matapeli maana kwanza policy ya freelancer ni kuwork within the paltform ili msitapeliane. Uwa wanaondoa matangazo yao lakini incase ukikutana na scenario ya namna jua umekumbana na tapeli.
Kuna mtandao mwingine unaitwa Guru nao ni kama freelancer.
Kuna mmoja huu sasa si wa freelancer ila unaitwa Kentar Futures. Hawa watu wanalipa ela sana sana unaweza kuhisi ni matapeli ila ni kweli mtupu na nimefanya nao kazi kwa muda mrefu japo ni kwa msimu kazi zao zinaweza kuja mfululizo miezi sita halafu zikakata hata kwa miez sita mingine lakini zikianza kuja unakuta unapewa kazi kila week kazi moja na kila kazi ukimaliza unalipwa $450. Inategemea ni kazi gani ila sometimes uwa malipo anashuka kama ni kazi ndogo ya siku 4 unakuta wanalipa $115 na wanalipa direct via money wire.

Nitaendela kuwahabarisha mengine mkiwa interested.
View attachment 869024
Site ya freelancing kama fiverr ipo bongo. Umezinduliwa juzi tu hapa, jumatatu. Inaitwa ajiras.com
Ipo poa kichizi. Na tena ina app ya simu pia inaitwa Ajiras.
Tatizo wabongo wazito sana kuchangamkia fursa. Yaana watu wanaitazama tu, wanasubiri ichanganye ndo waanze ingia, wakati huo wakongwe wamepiga hela na wanaendelea kupiga hela hatari.
Na pia ina mpaka hiyo ishu ya referral, ukiitangaza site unapata commission na pia ukitangaza kazi ya freelancer pia unapata commission. Yani kuna mambo mengi tu.
 
Kutokana na skills ulizojaza ukiingia freelancer kuna sehemu imeandikwa work , ukigusa hapo itatokea sub menu chagua browse projects kubid au browse contest kushindana.
Narudia note kuna mataperi hasa kazi za typing na data entry na utaziona zina ela nyingi uwa wanaziondoa wao freelancer wanaweza tambua lakini ukibid kabla hawajaondoa usikubari mtu akupe email mkapate nje ya platform au akwambie sijui tuma ela paypal ya kusignup na database yao kila kitu kinafanyanyika na kumalizika mle.
Pili utaweza jua kujua rates za ela kwa kutumia google kuna tools nyingi ya kuconvert ela unaandika ela yoyote unaiconvert kwa ela nyinginge mfano ukiandika AUD into Tshs itakuletea calculator ya kuconvert australian dollar kuwa tshs.
Mwisho kabisa siyo kila kazi utakayobid utapata inahitaji kuwa mvumilivu na kubid kwa akili na ni vizuri ukipata cllient ambaye akikupa kazi ni endelevu kwa muda mrefu sana.
Kutoa ela njia rahisi ni money wire wanaituma kwenye account yako sasa tatizo njia hii hawawezi kukutmia ela ndogo walau kuanzia hata dollar 15 nadhani ndiyo better.
Na mwisho kabisa kuna charges hapo freelancer, unapewa mwezi mmoja free ila baada ya hapo utatakiwa kulipa ama urudishe kwenye free account ambayo inakupa uwezo wa kubid bids 4 kwa week so hakikisha ukijiunga unapambana upate kazi ili uwe na ela mwezi utakapoisha upate kulipia fees. Na pia kila kazi unayopatana na wao wanaongeza 5% kwenye ela mfano ukipata kufanya kazi kwa $25 wataongeza $5 itakuwa $30. so wakati wa kubid keep that into your mind.
So skills unajaza mwenyewe na unaweza jaza zaid ya moja?
 
Kutokana na skills ulizojaza ukiingia freelancer kuna sehemu imeandikwa work , ukigusa hapo itatokea sub menu chagua browse projects kubid au browse contest kushindana.
Narudia note kuna mataperi hasa kazi za typing na data entry na utaziona zina ela nyingi uwa wanaziondoa wao freelancer wanaweza tambua lakini ukibid kabla hawajaondoa usikubari mtu akupe email mkapate nje ya platform au akwambie sijui tuma ela paypal ya kusignup na database yao kila kitu kinafanyanyika na kumalizika mle.
Pili utaweza jua kujua rates za ela kwa kutumia google kuna tools nyingi ya kuconvert ela unaandika ela yoyote unaiconvert kwa ela nyinginge mfano ukiandika AUD into Tshs itakuletea calculator ya kuconvert australian dollar kuwa tshs.
Mwisho kabisa siyo kila kazi utakayobid utapata inahitaji kuwa mvumilivu na kubid kwa akili na ni vizuri ukipata cllient ambaye akikupa kazi ni endelevu kwa muda mrefu sana.
Kutoa ela njia rahisi ni money wire wanaituma kwenye account yako sasa tatizo njia hii hawawezi kukutmia ela ndogo walau kuanzia hata dollar 15 nadhani ndiyo better.
Na mwisho kabisa kuna charges hapo freelancer, unapewa mwezi mmoja free ila baada ya hapo utatakiwa kulipa ama urudishe kwenye free account ambayo inakupa uwezo wa kubid bids 4 kwa week so hakikisha ukijiunga unapambana upate kazi ili uwe na ela mwezi utakapoisha upate kulipia fees. Na pia kila kazi unayopatana na wao wanaongeza 5% kwenye ela mfano ukipata kufanya kazi kwa $25 wataongeza $5 itakuwa $30. so wakati wa kubid keep that into your mind.

Naomba ufafanuzi kwenye hiyo para ya mwisho
 
kulipa sana, kulipa kiasi na utapeli sio platform , ni mtu mwenyewe binafsi, nna mda sasa natumia freelancer(ndio maskani),guru na upwork, kote scammers wapo ni wewe mwenyewe kuweza kusoma mazingira
 
Nimejaribu nimeona wanataka jufanya verification ya kadi yangu ya VIZA...hii ikoje wakuu..hii ndiyo njia ya bank account?
 
kulipa sana, kulipa kiasi na utapeli sio platform , ni mtu mwenyewe binafsi, nna mda sasa natumia freelancer(ndio maskani),guru na upwork, kote scammers wapo ni wewe mwenyewe kuweza kusoma mazingira
Cheki ajiras.com ipo kama fiverr, ndo imeingia sokoni jumatatu
 
Back
Top Bottom