Sure mkuu ni kazi nzuri sana sometimes mimi uwa nakuwa busy kuliko mtu anayeenda ofisini week hizi mbili uwa ninalala saa saba ninaamka saa kumi na mbili unakuta nina kazi nyingi na zote zinahitajika fasta.Hizi kazi nzuri sana japo zinahitaji kujituma sana Uaminifu sana, nimefanya kazi Elence na Odesk kipindi hicho now inaitwa upwork, ukijituma vema na ukapangilia vitu vizuri kwa mwezi waweza pata $ 1000 + , vijana mliopo chuo na wale wasio na kazi changamkieni fursa hizo pesa ipo
Kuna watu wengine ni Matomaso yaani hawaamini hata vitu vilivyo wazi kabisa. Pia wabongo tuachane na mentallity ya kutaka kupata pesa haraka haraka. Katika uhalisia wa maisha hakuna pesa halali ya haraka haraka. Jenga kwanza system ya uhakika ya kupata pesa. Tusiingie kwenye haya mambo na mentallity za kupata hela haraka haraka tutaishia kuwa dissappointed!Nisha draw ela mara nyingi sana na ijumaa iliyopita nimedraw tena ela nyingine na mwisho wa week nita draw tena na mpaka nimeandika hapa nimeanza fanya hii kazi toka mwaka 2013 mpaka leo ninaendelea. Ningekuwa na lengo la kutaka kupata chrap money ningeweka link ya watu kujiunga via referal link kule ili kila atakayejiunga akafanya kazi nipewe percent atakapolipwa lakini sijafanya hivyo maana siko hapa kupata ela via referal links.
Mkuu, wewe ukiclick sehemu ya ku bid kuna kitu kinasema describe your proposal, je ni kila kazi unayobid lazima uandike? Mbona kule chini kwa waliobid tayari mbona sioni hzo statement ila kwangu naiona?Huhitaji kuwa na elimu kubwa mambo mengi ninayofanya huko siyo niliyosoma mkuu. nafanya article rewriting,na pia nafanya graphic designing wakati mimi nimesoma economics mambo mengine unayaelewa ukiwa katika kazi mfano mimi masuala ya article nimeyajua nikiwa kazini tayari hapo uwa nina employ platform za kuchek grammar na panctuation na pia plagiarism maana lazima unayemwandikia article ataipitisha copyscape premium kuangalia kama umeiba sehemu
Huzioni kwasababu client ndiye anabidi azione wewe kama bider hazikuhusu ndiyo maana huzioni mfano wa hizo proposal angalia hizi picha.Mkuu, wewe ukiclick sehemu ya ku bid kuna kitu kinasema describe your proposal, je ni kila kazi unayobid lazima uandike? Mbona kule chini kwa waliobid tayari mbona sioni hzo statement ila kwangu naiona?
Nimekuelewa kakaHuzioni kwasababu client ndiye anabidi azione wewe kama bider hazikuhusu ndiyo maana huzioni mfano wa hizo proposal angalia hizi picha. View attachment 885596
Mkuu gotranscript wanashida yeyote? Nipe changamoto ulizokutana nazo huko.Mkuu nahitaji Sana kujua hii mambo nimehangaika na kina gotranscript, naomba mkuu kwa-muda ufunguke zaidi
Hiyo transcription platform inaitwaje mkuu!Kuna trancription platform nilijiunga wanalipa vizuri karibia $3 kwa nusu dakika lakini kila mara nilikuwa ninahenyeka maana jinsi watu wanavyozungumza ninashindwa kungámua maneno mengi wanayoongea.
Na pia kuna format maalumu ya kutumia kutranscribe ilikuwa inanitoa knockout file moja nahangaika nalo mpaka akili inasizi. nilifanya kazi mwezi tu nika quit ila kwa mtu anayeweza kule rahisi kutengeneza ela maana kwa siku anaweza transcribe hata audios zake 10-15 akaondoka na $30-50
Habari mkuu, labda kwa faida ya wengine!Sure mkuu ni kazi nzuri sana sometimes mimi uwa nakuwa busy kuliko mtu anayeenda ofisini week hizi mbili uwa ninalala saa saba ninaamka saa kumi na mbili unakuta nina kazi nyingi na zote zinahitajika fasta.
Helloo mkuu,naomba nikushuru kwa uzi huu ila pia na Mimi naomba nitumiwe sample PM......Mkuu Just tengeneza uoneshe ujuzi wako, na elimu yako, sample ya kazi zako ulizowai kufanya, videos, reports etc, zaidi check PM yako nimekutumia sample
Usiishi kwa kukariri kwamba pesa inatengenezwa kwa njia moja hata forex ni njia ya kutengeneza pesa pia sema watu mtajitosa kwenye mambo pasipo kuchukua muda kufanya research na kujiridhisha na kuelewa ni kitu gani kinafanyika hakuna easy money hata forex siyo easy money inabidi ufuatilie mambo ukitaka easy money unaliwa.Unatukumbusha forex
Ni kweli kabisa unachosema. Tatizo la vijana wengi (siyo wote) wa kitanzania ni wavivu wa kutafuta maarifa au fursa hasa hizi za kwenye mitandao. Wako tayari kushinda kwenye facebook, whatsapp, instagram na kadhalika lakini ukimpa fursa kama hii hata kufuatilia tuu ili aijue inafanyaje kazi anataka wewe uliyempa fursa ndiye tena umspoon feed kama vile yeye hajui kusoma na kuandika. Pia kuna hii mentallity iliyojengeka kwamba mambo ya kwenye mitandao ni utapeli. Ni kweli kwamba kwenye mitandao kuna utapeli lakini pia kwenye mitandao kuna fursa nyingi tu ila kwa kuwa ni wavivu wa kusoma na kufuatilia mambo tunakimbilia kukariri tu kwamba kwenye mitandao kuna utapeli.Baadhi ya vijana wa ki TZ ukitaka kuwaonyesha njia za kujikwamua kimaisha, ni sawa na kutaka kujitwisha furushi la uharo. ila wa TZ ndio hapo wanapoonekana upendo wao, huwezi kuta vijana wa nchi nyingine wanapeana fursa ya kujikwamua na maisha. Nawasihi wa TZ wenzagu tupeane moyo, tupongeze watu Kama huyu mtoa mada, ili wajitokeze wengi tuweze kufanya kazi na nje ya nchi wakati tupo nchini kwetu. wa Nigeria wamekua wajanja kupitia hizi links. ila wao wamegeuka matapeli which is bad for business. Kwa hiyo ukipewa fursa acha kuperuzi kwenye mipasho ya taarabu, bali zama kwenye hizo links uzifuatilie kwa kuumiza kichwa hasa na kwa kuwa ubongo unachambua lazima utapata mwanga. God bless you all.
That's it...Ni kweli kabisa unachosema. Tatizo la vijana wengi (siyo wote) wa kitanzania ni wavivu wa kutafuta maarifa au fursa hasa hizi za kwenye mitandao. Wako tayari kushinda kwenye facebook, whatsapp, instagram na kadhalika lakini ukimpa fursa kama hii hata kufuatilia tuu ili aijue inafanyaje kazi anataka wewe uliyempa fursa ndiye tena umspoon feed kama vile yeye hajui kusoma na kuandika. Pia kuna hii mentallity iliyojengeka kwamba mambo ya kwenye mitandao ni utapeli. Ni kweli kwamba kwenye mitandao kuna utapeli lakini pia kwenye mitandao kuna fursa nyingi tu ila kwa kuwa ni wavivu wa kusoma na kufuatilia mambo tunakimbilia kukariri tu kwamba kwenye mitandao kuna utapeli.
Na pia kama mtu hupendi fursa fulani basi ni busara kunyamaza na kuendelea na shughuli zako nyingine kuliko kujifanya unajua wakati hujui hata nini unachokisema! SIYO KILA FURSA NI SAHIHI KWA KILA MTU!
Mkuu watu wa nchi nyingine wanasaidiana sana inapokuja swala la kupeana ideas za kimaisha. Kuna forum moja nilijiunga 5 years ago imenisadia sna kwenye swala la kupeana ideas. Wabongo ndiyo wachoyo hatupendi kuona tunatoboa wote kimaishaBaadhi ya vijana wa ki TZ ukitaka kuwaonyesha njia za kujikwamua kimaisha, ni sawa na kutaka kujitwisha furushi la uharo. ila wa TZ ndio hapo wanapoonekana upendo wao, huwezi kuta vijana wa nchi nyingine wanapeana fursa ya kujikwamua na maisha. Nawasihi wa TZ wenzagu tupeane moyo, tupongeze watu Kama huyu mtoa mada, ili wajitokeze wengi tuweze kufanya kazi na nje ya nchi wakati tupo nchini kwetu. wa Nigeria wamekua wajanja kupitia hizi links. ila wao wamegeuka matapeli which is bad for business. Kwa hiyo ukipewa fursa acha kuperuzi kwenye mipasho ya taarabu, bali zama kwenye hizo links uzifuatilie kwa kuumiza kichwa hasa na kwa kuwa ubongo unachambua lazima utapata mwanga. God bless you all.
Hongera mkuuMkuu watu wa nchi nyingine wanasaidiana sana inapokuja swala la kupeana ideas za kimaisha. Kuna forum moja nilijiunga 5 years ago imenisadia sna kwenye swala la kupeana ideas. Wabongo ndiyo wachoyo hatupendi kuona tunatoboa wote kimaisha