Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Hakika mkuu,
Nidhamu inahitajika sana.

Pole sana.
Nilijifunza kwa maumivu makali mno. Kwenye kabati la nguo kukuta 4M au 5 haikua tatizo, unabadili tairi za gari, unapiga rim mpya, unaweka mziki mnene, mara unabadili sofa, japo ulizonazo bado nzima, ukipita mlimani city wakati huo ndio bado ipo kwenye chati, lazima uondoke na home theater au TV hata kama nyumbani iliyopo haisumbui. Maamuzi ya kukurupuka kuhusu matumizi ya pesa ndio yalikua yanatawala wakati wote.

Kila jambo likija wakati usio sahihi ni shida. Kwanza nilikua under 25, uzuri wanawake na pombe haikua fani yangu.

Nnachosisitiza, kila mmoja ana njia yake, hazifanani. Kuna watu wameajiriwa, wanatengeneza pesa ndefu na wanamiradi inaenda vizuri tu. Kuna watu wamejiajiri, ukikaa nao unaweza kuacha kazi kesho yake. Tukumbuke kila njia au uamuzi una changamoto zake.
 
Kujiajiri sio lazima uache kazi mbona mimi ni mwajiriwa na nina biashara zaidi ya tatu mjini naoperate japo sinaga weekend wala kulala saa4 mimi nimewahi sana kulala saa6 kuamka kila siku 11 ili nifanye yangu na ikifika saa 2 asbh naingia kazini.
Kingine kujiajiri lazima ukubali kufanya kazi na watu na lazima ukubali kupigwa hakuna biashara inayolipa bila kuliwa.
Kiongozi unawezaje kufanikisha haya? Hebu dadavua kama hutojali.
 
Usitutie ujinga. Wew Ni MTU wa totoz na pamba kwa maana hii totoz na pamba hayo ndio mambo yaliyokuyumbisha .......na ulipo ona umeanza kuyumba kwa kufcha aibu kwa totoz na pambas ukaamua urudi ajirani ili heshima ya totoz na pambas iendelee.

Nb: huwez kupanda embe ukavuna chungwa.
 
Kuna jambo ambalo nimekuwa naliona kwa walioajiriwa huku wanafanya biashara.

Hawa watu kufanikiwa ni shughuli Pevu tena Pevu kweli sababu, mtu anaelipwa Mshahara mara nyingi anapokuwa kaanzisha biashara anakuwa na Two ways of generating Income ambapo hapo kuijua Nominal Income na Actual Income ya biashara yake inakuwa ngumu, kwa namna gani!?

Biasharani huku kaweka mtu, huku kazini yupo yeye, pesa inayopatikana huku kwenye biashara anaweza kuwa kamwambia anaeisimamia awe anamletea kiasi fulani kwa wiki au mwezi. Hili ni kosa kubwa mno! Sababu yule uliyemuweka atakukadiria tu kwa siku unaweza ikubali sh ngapi, kwa wiki atakuletea
Pili, ukitoka kwenye Ajira huwa kuna vitu unatakiwa uvijue, usiweke matarajio Makubwa ya kupata pesa ukiwa unaanza, weka Malengo Makubwa ya baadae baada ya Huduma unayoitoa Kutambulika na kukubalika kwa Jamii yako.
Tatu, swala la Matumizi unatakiwa uwe nalo macho kupita kiasi. Hapa ndipo kama hujaoa, tegemea kuwaita watoto wazuri Shemeji, swala la wewe kula Bata, lifungie Kabatini kabisa. Hapa kumbuka utaitwa majina yote na mabovu ie Bahili, Mshamba nk
Nne, Mtumainie sana Mungu, utakuwa na Nidhamu, Juhudi.
Tano, kaa ukielewa ukianza kufanya kazi zako utatumia muda mwingi kuliko uliokuwa unatumia ulipokuwa umeajiriwa na usikae ukalinganisha kipato unachokipata na Mshahara wako, mara nyingi utaanza kidogo na utakwenda unaongezeka kiuchumi. Patamu ni ukishakaa Relini vizuri, yale yoote yaliyokupita unaweza yafanya overnight.

Karibuni upande wa Pili
 
Umenena kweli mkuu!!
Kuna jambo ambalo nimekuwa naliona kwa walioajiriwa huku wanafanya biashara.

Hawa watu kufanikiwa ni shughuli Pevu tena Pevu kweli sababu, mtu anaelipwa Mshahara mara nyingi anapokuwa kaanzisha biashara anakuwa na Two ways of generating Income ambapo hapo kuijua Nominal Income na Actual Income ya biashara yake inakuwa ngumu, kwa namna gani!?

Biasharani huku kaweka mtu, huku kazini yupo yeye, pesa inayopatikana huku kwenye biashara anaweza kuwa kamwambia anaeisimamia awe anamletea kiasi fulani kwa wiki au mwezi. Hili ni kosa kubwa mno! Sababu yule uliyemuweka atakukadiria tu kwa siku unaweza ikubali sh ngapi, kwa wiki atakuletea
Pili, ukitoka kwenye Ajira huwa kuna vitu unatakiwa uvijue, usiweke matarajio Makubwa ya kupata pesa ukiwa unaanza, weka Malengo Makubwa ya baadae baada ya Huduma unayoitoa Kutambulika na kukubalika kwa Jamii yako.
Tatu, swala la Matumizi unatakiwa uwe nalo macho kupita kiasi. Hapa ndipo kama hujaoa, tegemea kuwaita watoto wazuri Shemeji, swala la wewe kula Bata, lifungie Kabatini kabisa. Hapa kumbuka utaitwa majina yote na mabovu ie Bahili, Mshamba nk
Nne, Mtumainie sana Mungu, utakuwa na Nidhamu, Juhudi.
Tano, kaa ukielewa ukianza kufanya kazi zako utatumia muda mwingi kuliko uliokuwa unatumia ulipokuwa umeajiriwa na usikae ukalinganisha kipato unachokipata na Mshahara wako, mara nyingi utaanza kidogo na utakwenda unaongezeka kiuchumi. Patamu ni ukishakaa Relini vizuri, yale yoote yaliyokupita unaweza yafanya overnight.

Karibuni upande wa Pili
 
Kiongozi unawezaje kufanikisha haya? Hebu dadavua kama hutojali.
1, Nafanya kazi na watu; ili ufanikiwe usiwe mbinafsi yani ajiri watu kisha waamini alafu wewe kuwa supervisor tu kazi zote waachie but ni muhimu kuwa makini sana .

2, Kuijua biashara unayoifanya yani usifanye biashara ambayo ni ngeni kwako huwezi jua changamoto na fursa zake pia kujua faida na hasara zake hivyo ni ngumu kupigwa.

3, Kuwa na spy network yani ktk biashara zako kuwa na watu unaowatumia kukupa siri za top managers na wahusika wa fedha mienendo yao usikubali kumwamini mtu 100%

4, Tunza kumbukumbu za miaka yote ukiona kuna utofauti negative fanya maamuzi

5, Ishi na wafanyakazi wako kama ndg au marafiki itakusaidia kuongeza motisha na hari ya kujituma

6, Tumia mda effectively yani usipende kulala sana wala kufanya starehe sana kwa sisi watumishi yani free time ndio working time kwenye biashara zetu hatuna sikukuuu wala weekend.

BILA SHAKA KWA UCHACHE HUO UMENISOMA VIZURI MKUU
 
Nimewahi kuacha kazi sehemu,aisee nilipoteza ndugu na marafiki kwa halaka Sana nikabaki peke yangu na wazazi wangu tu!!!.acha kazi ili uone ni nani mtu wa Kweli kwako.
 
Umesema ulikuwa rafu,mtu wa totoz nk hapo ndio sijakuelewa imeingiliana vipi na changamoto za kuacha kuajiriwa na kujiajiri,naomba kujua hapo kwanza
 
Kuna trancription platform nilijiunga wanalipa vizuri karibia $3 kwa nusu dakika lakini kila mara nilikuwa ninahenyeka maana jinsi watu wanavyozungumza ninashindwa kungámua maneno mengi wanayoongea.
Na pia kuna format maalumu ya kutumia kutranscribe ilikuwa inanitoa knockout file moja nahangaika nalo mpaka akili inasizi. nilifanya kazi mwezi tu nika quit ila kwa mtu anayeweza kule rahisi kutengeneza ela maana kwa siku anaweza transcribe hata audios zake 10-15 akaondoka na $30-50
inaitwaje hiyo platform?
 
km ulifanya kazi kwa miaka 20 kwa mshahara wa laki 5 kwa mwez.... na ukashndwa kupata ivyo vitu had unastaafu....

ni uzembe pia.
Hahaa,hapo sio kuacha kazi mzee..hapo unaelekea kustaafu.imagine wengi wanaanza kazi wakiwa na umri 28-30 asa ukijumlisha miaka 20 kazini almost atakuwa na age ya 50yrs..happ unaacha kazi ili iweje? Subiri tu umalizie hyo miaka mitano ili uweze ku staafu kwa hiari
 
Huu uzi unanihusu sana,nina miln 30 tayari huna kwangu nahilo chuo Kwa sasa.lakin nafikiria kuacha kazi naona kama ningekuwa huru ningekuwa nimeshameki zaidi ya mara 3 hayahizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great, nilishaacha kazi ya Ualimu mara mbili, nikarudi kwa kazi nyingine ila pia roho yangu inaniambia kuwa ni Lazima niache kazi ili niwe na kitu ambacho ni lasting.... kazi zina muda, kazi za watu zinazeesha, zinaleta magonjwa ya stress na kukuminya sana kufikiria nje ya box. Nashukuru kwamba nakarinia kuvuka daraja hili, sitarudi nyuma this time MUNGU anisaidie. Kuna kitabu nakisoma kipo kwenye Playstore kinaitwa THINK AND GROW RICH aaaghhhh kinanitia nguvu sana, I encourage you guys mkisome pia.

Hivi vitabu vipo vingi na vya bure
Lazima tubadilike, lazima tubadilishe our Life style, inawezakana lakini ni lazima tujikane kwanza, lazima tujishushe, lazima tuwe commited.

Thank you
WAAMBIE WASOME VITABU HAWA, WAACHE UOGA!
 
Back
Top Bottom