General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Hakika mkuu,
Nidhamu inahitajika sana.
Pole sana.
Nidhamu inahitajika sana.
Pole sana.
Nilijifunza kwa maumivu makali mno. Kwenye kabati la nguo kukuta 4M au 5 haikua tatizo, unabadili tairi za gari, unapiga rim mpya, unaweka mziki mnene, mara unabadili sofa, japo ulizonazo bado nzima, ukipita mlimani city wakati huo ndio bado ipo kwenye chati, lazima uondoke na home theater au TV hata kama nyumbani iliyopo haisumbui. Maamuzi ya kukurupuka kuhusu matumizi ya pesa ndio yalikua yanatawala wakati wote.
Kila jambo likija wakati usio sahihi ni shida. Kwanza nilikua under 25, uzuri wanawake na pombe haikua fani yangu.
Nnachosisitiza, kila mmoja ana njia yake, hazifanani. Kuna watu wameajiriwa, wanatengeneza pesa ndefu na wanamiradi inaenda vizuri tu. Kuna watu wamejiajiri, ukikaa nao unaweza kuacha kazi kesho yake. Tukumbuke kila njia au uamuzi una changamoto zake.