Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Ukifukuzwa kazi.. sio kwamba utalisha familia maneno au hewa. Utatafuta hela kwa hali na mali ya kulisha familia. Na itakuwa ni mbinde kubwa.

Sasa NI KWA NINI USIJIANDAE KABISA BADALA YA KUSUBIRI HIYO MBINDE IJE? Ni kwa nini usiweke mambo sawa kimtaji ili kupunguza hayo matatizo? Kuacha tu kazi wakati hauna mtaji hata asilimia fulani ni KUKOSA MIPANGO. Na pasipo mipango mizuri, BIASHARA HAIFANIKIWI Mkuu.
mi niliajiriwa kwasasa nimejiajiri

Wakati naacha kazi nilichukulia kama dharura
 
Wanawake asilimia kubwa hasa warembo tunaowapenda ni mizinguo leo. Mimi naona katika ujasiriamali kama mtu haujaoa, basi kaa hivyo hivyi kwanza. Pambana ufanikiwe ndio uoe. Na hata hapo, itakuwa ni kazi pia. Kwa ujumla NI MUHIMU KUPATA MSICHANA MWENYE MALENGO KAMA YAKO, MWENYE AKILI KAMA ZAKO, NA MOYO WA KUPAMBANA KAMA WAKO. Lakini kwa leo ni vigumu kumpata.

Wasichana wana gharama zao na sio za hela tu, hata za kukuchanganya akili ukashindwa kufocus katika kazi zako. Ila UKIPATA MZURI, sawa kabisa. Japo kwa leo ni kazi. Na wengine hata wanaua waume zao kama Msuya bilionea alivyofanyiwa. Kazi iko
Hii kweli kabisa
 
Una mil. 100 halafu uishi kama ulivyokuwa unaishi ulipokuwa na mil. 10!, sasa mil. 100 uliitafuta ili iweje? Huo ni utumwa wa pesa!! Yaani unatumikia pesa badala ya pesa kukutumikia wewe!!! Maisha ndiyo haya!!!! Endelea sambamba na biashara yako inavyoendelea!!! Haiwezekani ulipokuwa na mil. 10 unaishi chumba cha kupanga na sasa una mil. 100 bado unaishi chumba kile kile cha kupanga!!!!
Hii tunaita kwenda sio tatizo tatizo ni kupata ulicho kiendea
 
Wazo ni muhimu sana na ubunifu (creativity ni muhimu sana) lakini bado unahitaji capital ya kugeuza wazo ili liwe investment nzuri. Hapo ndio mimi na wewe hatuelewani. Najua vitabu vingi vinakuambia hivyo.. sasa watu wangapi wenye mawazo na ubunifu wamefanikiwa bila mtaji? NAOMBA UNIPE MIFANO HAI.

Nasema hauna uzoefu sana katika biashara sababu hata suala la upinzani (competition) unaona sio kitu.

Fikiria una biashara umeanzisha, utafanyaje ili wateja waje kwako zaidi? Sababu hapo ndio utapata faida. Kama wanaenda kwa competitors zaidi na haupati wateja, hata breaking even itakuwa kazi.


Mtaji mzuri, wazo zuri, na ubunifu ndio yanafanya uwe na competitive advantage na profit ikue na uendelee kufanikiwa. Na ndio maana nikasema kufikiria mtaji sio muhimu, ni kujidanganya tu. Naomba pia unipe mifano hai tafadhali.
Mkuu mkuu mi sio msomaji wa vitabu kama unavyo hisi mi ni moja ya watu walio jiajiri kwa mtaji mdogo mpaka kufikia kumiliki biashara ya uhakika japo kwa sasa upepo umeyumba
 
Ujanja ni kujiajiri kwa asilimia 90 halafu ukaajiriwa kwa asilimia 10 tu ili uwe unapata mkopo na kuufanya kama mtaji kwa kujiajiri!!!
Wengi waliofanikiwa kwa viwango vya juu niliwaona wanatumia hii staili.
Anakwenda kazini kuripoti tu lkn concentration yake ipo kwenye biashara yake.
Lkn hii inawezekana endapo majukumu yako ya kazini ulipoajiriwa hayakubani sana.
But ni ngumu sana Kama ukienda kazini ulipoajiriwa unakuwa bize kwa masaa 12.
 
Wengi waliofanikiwa kwa viwango vya juu niliwaona wanatumia hii staili.
Anakwenda kazini kuripoti tu lkn concentration yake ipo kwenye biashara yake.
Lkn hii inawezekana endapo majukumu yako ya kazini ulipoajiriwa hayakubani sana.
But ni ngumu sana Kama ukienda kazini ulipoajiriwa unakuwa bize kwa masaa 12.
Kuna mbinu nyingi za kujifunza kujiari unaweza ukawa bize na ukawa bado unafanya biashara
 
Kuna mbinu nyingi za kujifunza kujiari unaweza ukawa bize na ukawa bado unafanya biashara
Ni kweli but inategemea na nature ya business.
Assume biashara yako ni ya kuchukua magunia ya mkaa Bagamoyo na kuyaleta mjini halaf kazini kwako ni Posta/Kkoo na unamaliza kazi saa 12 jioni,utawezaje kutoka town muda huo uanze kwenda Bagamoyo ukachukue magunia ya mkaa.
 
Ni kweli but inategemea na nature ya business.
Assume biashara yako ni ya kuchukua magunia ya mkaa Bagamoyo na kuyaleta mjini halaf kazini kwako ni Posta/Kkoo na unamaliza kazi saa 12 jioni,utawezaje kutoka town muda huo uanze kwenda Bagamoyo ukachukue magunia ya mkaa.
Huwezi ila biashara kufanyika inawezekana

Ndio maana biashara ni mnyororo

Mwanzo unaweza kwenda kuchukua mzigo siku za off au weekend

Na awamu zinazo fuata unatumiwa mazigo

Na ukiona biashara inaenda vizuri ndio unakuja na wazo la kuacha kazi ili uisimamie kwa ukamilifu
 
Huwezi ila biashara kufanyika inawezekana

Ndio maana biashara ni mnyororo

Mwanzo unaweza kwenda kuchukua mzigo siku za off au weekend

Na awamu zinazo fuata unatumiwa mazigo

Na ukiona biashara inaenda vizuri ndio unakuja na wazo la kuacha kazi ili uisimamie kwa ukamilifu
Sawa umeeleweka.
Ingawa Kuna watu wamelizwa sana pesa zao kwa kuamini huo mnyororo wabongo hawana asili ya uaminifu kwenye mambo ya biashara.
 
Ni kweli but inategemea na nature ya business.
Assume biashara yako ni ya kuchukua magunia ya mkaa Bagamoyo na kuyaleta mjini halaf kazini kwako ni Posta/Kkoo na unamaliza kazi saa 12 jioni,utawezaje kutoka town muda huo uanze kwenda Bagamoyo ukachukue magunia ya mkaa.
Kuna tofauti kati ya self-employment na creating a business. Kama ni biashara, manake inabidi uajiri mt wa kubeba hayo magunia. Wewe kazi yako ni kutafuta clients, kutafuta supplier mwente mkaa mzuri wa bei nzuri, na kuhakikisha operations zinaleta faida nzuri. Lakini ukiongelea wewe kwenda kuchukua mkaa, manake ni self-employment na hiyo ni ngumu kama mtu una kazi. Itabidi uifanye siku ambazo uko off ajirani
 
Kuna tofauti kati ya self-employment na creating a business. Kama ni biashara, manake inabidi uajiri mt wa kubeba hayo magunia. Wewe kazi yako ni kutafuta clients, kutafuta supplier mwente mkaa mzuri wa bei nzuri, na kuhakikisha operations zinaleta faida nzuri. Lakini ukiongelea wewe kwenda kuchukua mkaa, manake ni self-employment na hiyo ni ngumu kama mtu una kazi. Itabidi uifanye siku ambazo uko off ajirani
Ujumbe sahihi huu
 
Sawa umeeleweka.
Ingawa Kuna watu wamelizwa sana pesa zao kwa kuamini huo mnyororo wabongo hawana asili ya uaminifu kwenye mambo ya biashara.
Ni kweli kabisa. Japo pia, kuna waaminifu. Mimi nikigundua mfanyakazi ana uswahili nafukuza hapo hapo. Nimegundua waaminifu wapo, lakini inabidi kuwatafuta na pia NI MUHIMU KUMJALI SANA ILI AONE KWAMBA ANAHESHIMIKA NA ANAPENDWA NA ANAJALIWA NA BOSS WAKE. Na atafanya kazi kwa moyo na uaminifu.
 
Ni kweli kabisa. Japo pia, kuna waaminifu. Mimi nikigundua mfanyakazi ana uswahili nafukuza hapo hapo. Nimegundua waaminifu wapo, lakini inabidi kuwatafuta na pia NI MUHIMU KUMJALI SANA ILI AONE KWAMBA ANAHESHIMIKA NA ANAPENDWA NA ANAJALIWA NA BOSS WAKE. Na atafanya kazi kwa moyo na uaminifu.
Hii kweli waminifu wapo
 
Back
Top Bottom