Vijana watajitokeza kwa wingi sana kumpigia kura Rais Samia uchaguzi Ujao, Ni uchaguzi utakaoweka Historia ya vijana kujitokeza kwa wingi kupiga kura

Vijana watajitokeza kwa wingi sana kumpigia kura Rais Samia uchaguzi Ujao, Ni uchaguzi utakaoweka Historia ya vijana kujitokeza kwa wingi kupiga kura

Kwahizi ngojera zako huenda upo Karibu na huyu Mtawala...

Ushauri badala ya kutumia muda mwingi kusifia na kujivika kilemba cha Ukoka ni bora mkaumiza vichwa jinsi gani mnaweza kurudisha mambo kwenye reli as ninachokiona huku kitaa Things are Falling Apart
Mitaani watu Wana Imani na matumaini makubwa Sana na mh Rais hasa kutokana na juhudi zake kubwa anazozifanya katika kuwakwamua kiuchumi watanzania
 
Mitaani watu Wana Imani na matumaini makubwa Sana na mh Rais hasa kutokana na juhudi zake kubwa anazozifanya katika kuwakwamua kiuchumi watanzania
Mtaa wa wapi huo ?!!! Huku gizani kwenye mgao wa umeme hence watu biashara zao kudorora au huku waku wasikosogeleana kwa kupunguza kuoga ili wasinukiane kwa kukosa maji sababu ya mgao...

Kweli wametua watu ndoo kichwani !!!!
 
Ndugu zangu kwa miaka mingi na kwa kipindi kirefu na kwa chaguzi nyingi vijana wa kitanzania wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi kidogo Sana kupiga kura na kushiriki katika uchaguzi, Japo wakati mwingine wamekuwa wahudhuriaji Wazuri wa mikutano ya vyama vya siasa lakini wamekuwa wa mwisho linapokuja suala la kujitokeza siku ya kupiga kura.

Hii Ni kutokana na kukatishwa Tamaa na baadhi ya watu au viongozi waliokuwa wanawaamini Mara wanapokuwa wamepata nafasi za uongozi, vijana wamekuwa wakiona Ni Kama wanatumiwa tu pasipo kupata faida yoyote, vijana wamekuwa wanaona ni Kama hawapewi kipaombele hasa suala la ajira na mikopo, vijana wamekuwa wakiona ni Kama hata wakijaribu nafasi za uongozi hawachaguliwi kutokana na kuwa na uwezo mdogo wa kifedha ambazo baadhi ya wajumbe Ni Kama wamekuwa wakiangalia kina Cha mfuko wa pesa kumpa mtu Kura

Jambo hili limekuwa likiwakatisha Tamaa vijana, kuwavunja moyo,kuwa fanya waichukie siasa, kuwachukia baadhi ya wanasiasa wanaokuwa wakitoa lugha zinazo chukuliwa Kama dharau kwa vijana hasa wanapoona mtoaji wa kauli katika maisha yake yote hajawahi kujiajiri Wala kuwa machinga Wala kuwa muuza karanga Wala kushika jembe Wala kuendesha bodaboda Wala kulima matikiti maji Wala kuwa na biashara ya aina yoyote Ile zaidi ya kuhudumiwa kwa Kodi za Watanzania wavuja jasho ambao hawana uhakika wa kupata hata Milo mitatu kwa siku Wala kuelewa Ni vipi watalipa Kodi ya nyumba.

Lakini Tangia Rais Samia aapishwe na kuwa Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni Kama vijana wamechanua kimatumaini, wamepata Imani ya kuwa Sasa ndoto zao zitaweza kutimia, Sasa vijana wanajionaa wanaweza kugombea na kuwa viongozi hata Kama hawana fedha ilimradi tu wawe na sifa na vigezo vya kiuongozi na kukubalika na kuaminika na wapiga kura, Sasa vijana Wana Ari mpya na nguvu mpya ya kuijenga nchi yao, Sasa vijana na kila kijana anaona kuwa inawezekana kuinuka kiuchumi bila tatizo lolote,

Sasa vijana wanaona ukiwa hata na kiasi kidogo Cha mtaji unaweza ukafungua biashara na ikakua na kustawi na kuchangia katika ujenzi wa nchi yao, Sasa vijana wanaona kuwa keki ya Taifa inawafikia walipo, Sasa vijana wanaona kuwa serikali Ni yao, inawatumikia wao na inawapa kipaombele.

wanaona serikali yao inavyopambana kuweka mazingira wezeshi kwao, wanaona namna serikali yao inavyotaka kuhakikisha kuwa halmashauri zinatoa mikopo kwao pale wanapokuwa wamefuata taratibu na kukidhi vigezo, wanaona namna ambavyo hakuna ubaguzi katika kupata ajira au fursa ya aina yoyote Ile ya kiuchumi, wanaona namna serikali yao inavyojitahidi kutengeneza fursa za ajira kila Siku kupitia miradi mbalimbali Inayochipua kila siku

Rais Samia kawasha Taa ya matumaini katika mioyo ya Vijana wa kitanzania, Kaonyesha njia ya kufika katika mafanikio, kaonyesha upendo kwa vijana wake ambao hupenda kuwaita WANANGU kwa namna anavyo wapenda na kuwajari vijana wa kitanzania,

Hii imepelekea vijana kujiandaa kwa Hamu kubwa Sana kuja kumpigia kura nyingi Sana za ndio Rais Samia ili aendelee kuwatumikia vijana, ili aendelee kuwapa neema na fursa za kiuchumi maana vijana wameona kuwa Rais Samia Ni kiongozi aliyeonyesha dhamira ya dhati katika kuwabeba vijana na kuwakuza na kuwastawisha kiuchumi, Rais Samia ameonyesha Dhamira yake ya kuona fursa yoyote inayopatikana inakwenda kuwagusa kwanza vijana na kuwanufaisha

Rais Samia anahitaji kuona vijana wanajitegemea kiuchumi na kuwa na uwezo wa kujihudumia na kuwasaidia wazee wao wanaohitaji msaada wa kusaidiwa na kulelewa, Rais Samia Ni kipenzi Cha vijana ambaye amepelekea uchaguzi ujao kuwa mwepesi Sana kwake na kwa CCM kwa kuwa vijana wameamua kumpigia kura na kumuunga mkono

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yang

Ndugu zangu kwa miaka mingi na kwa kipindi kirefu na kwa chaguzi nyingi vijana wa kitanzania wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi kidogo Sana kupiga kura na kushiriki katika uchaguzi, Japo wakati mwingine wamekuwa wahudhuriaji Wazuri wa mikutano ya vyama vya siasa lakini wamekuwa wa mwisho linapokuja suala la kujitokeza siku ya kupiga kura.

Hii Ni kutokana na kukatishwa Tamaa na baadhi ya watu au viongozi waliokuwa wanawaamini Mara wanapokuwa wamepata nafasi za uongozi, vijana wamekuwa wakiona Ni Kama wanatumiwa tu pasipo kupata faida yoyote, vijana wamekuwa wanaona ni Kama hawapewi kipaombele hasa suala la ajira na mikopo, vijana wamekuwa wakiona ni Kama hata wakijaribu nafasi za uongozi hawachaguliwi kutokana na kuwa na uwezo mdogo wa kifedha ambazo baadhi ya wajumbe Ni Kama wamekuwa wakiangalia kina Cha mfuko wa pesa kumpa mtu Kura

Jambo hili limekuwa likiwakatisha Tamaa vijana, kuwavunja moyo,kuwa fanya waichukie siasa, kuwachukia baadhi ya wanasiasa wanaokuwa wakitoa lugha zinazo chukuliwa Kama dharau kwa vijana hasa wanapoona mtoaji wa kauli katika maisha yake yote hajawahi kujiajiri Wala kuwa machinga Wala kuwa muuza karanga Wala kushika jembe Wala kuendesha bodaboda Wala kulima matikiti maji Wala kuwa na biashara ya aina yoyote Ile zaidi ya kuhudumiwa kwa Kodi za Watanzania wavuja jasho ambao hawana uhakika wa kupata hata Milo mitatu kwa siku Wala kuelewa Ni vipi watalipa Kodi ya nyumba.

Lakini Tangia Rais Samia aapishwe na kuwa Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni Kama vijana wamechanua kimatumaini, wamepata Imani ya kuwa Sasa ndoto zao zitaweza kutimia, Sasa vijana wanajionaa wanaweza kugombea na kuwa viongozi hata Kama hawana fedha ilimradi tu wawe na sifa na vigezo vya kiuongozi na kukubalika na kuaminika na wapiga kura, Sasa vijana Wana Ari mpya na nguvu mpya ya kuijenga nchi yao, Sasa vijana na kila kijana anaona kuwa inawezekana kuinuka kiuchumi bila tatizo lolote,

Sasa vijana wanaona ukiwa hata na kiasi kidogo Cha mtaji unaweza ukafungua biashara na ikakua na kustawi na kuchangia katika ujenzi wa nchi yao, Sasa vijana wanaona kuwa keki ya Taifa inawafikia walipo, Sasa vijana wanaona kuwa serikali Ni yao, inawatumikia wao na inawapa kipaombele.

Wanaona serikali yao inavyopambana kuweka mazingira wezeshi kwao, wanaona namna serikali yao inavyotaka kuhakikisha kuwa halmashauri zinatoa mikopo kwao pale wanapokuwa wamefuata taratibu na kukidhi vigezo, wanaona namna ambavyo hakuna ubaguzi katika kupata ajira au fursa ya aina yoyote Ile ya kiuchumi, wanaona namna serikali yao inavyojitahidi kutengeneza fursa za ajira kila Siku kupitia miradi mbalimbali Inayochipua kila siku

Rais Samia kawasha Taa ya matumaini katika mioyo ya Vijana wa kitanzania, Kaonyesha njia ya kufika katika mafanikio, kaonyesha upendo kwa vijana wake ambao hupenda kuwaita WANANGU kwa namna anavyo wapenda na kuwajari vijana wa kitanzania,

Hii imepelekea vijana kujiandaa kwa Hamu kubwa Sana kuja kumpigia kura nyingi Sana za ndio Rais Samia ili aendelee kuwatumikia vijana, ili aendelee kuwapa neema na fursa za kiuchumi maana vijana wameona kuwa Rais Samia Ni kiongozi aliyeonesha dhamira ya dhati katika kuwabeba vijana na kuwakuza na kuwastawisha kiuchumi, Rais Samia ameonyesha Dhamira yake ya kuona fursa yoyote inayopatikana inakwenda kuwagusa kwanza vijana na kuwanufaisha

Rais Samia anahitaji kuona vijana wanajitegemea kiuchumi na kuwa na uwezo wa kujihudumia na kuwasaidia wazee wao wanaohitaji msaada wa kusaidiwa na kulelewa, Rais Samia Ni kipenzi Cha vijana ambaye amepelekea uchaguzi ujao kuwa mwepesi Sana kwake na kwa CCM kwa kuwa vijana wameamua kumpigia kura na kumuunga mkono

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Kama ataona wavuvi naoniwatu haposawa
 
Hamna kijana wa kukipigia kura chama cha majizi. Mtu mwenye akili timamu hawezi kwenda kupoteza muda wake kusimama kwenye mstari kisha kura zichezewe.
Naunga mkono hoja, miaka 60 ya uhuru bado watu wanazindua matundu ya choo nikapange foleni kuwapigia kura??? huko ni ku demonstrate your own ignorance
 
Ndugu zangu kwa miaka mingi na kwa kipindi kirefu na kwa chaguzi nyingi vijana wa kitanzania wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi kidogo Sana kupiga kura na kushiriki katika uchaguzi, Japo wakati mwingine wamekuwa wahudhuriaji Wazuri wa mikutano ya vyama vya siasa lakini wamekuwa wa mwisho linapokuja suala la kujitokeza siku ya kupiga kura.

Hii Ni kutokana na kukatishwa Tamaa na baadhi ya watu au viongozi waliokuwa wanawaamini Mara wanapokuwa wamepata nafasi za uongozi, vijana wamekuwa wakiona Ni Kama wanatumiwa tu pasipo kupata faida yoyote, vijana wamekuwa wanaona ni Kama hawapewi kipaombele hasa suala la ajira na mikopo, vijana wamekuwa wakiona ni Kama hata wakijaribu nafasi za uongozi hawachaguliwi kutokana na kuwa na uwezo mdogo wa kifedha ambazo baadhi ya wajumbe Ni Kama wamekuwa wakiangalia kina Cha mfuko wa pesa kumpa mtu Kura

Jambo hili limekuwa likiwakatisha Tamaa vijana, kuwavunja moyo,kuwa fanya waichukie siasa, kuwachukia baadhi ya wanasiasa wanaokuwa wakitoa lugha zinazo chukuliwa Kama dharau kwa vijana hasa wanapoona mtoaji wa kauli katika maisha yake yote hajawahi kujiajiri Wala kuwa machinga Wala kuwa muuza karanga Wala kushika jembe Wala kuendesha bodaboda Wala kulima matikiti maji Wala kuwa na biashara ya aina yoyote Ile zaidi ya kuhudumiwa kwa Kodi za Watanzania wavuja jasho ambao hawana uhakika wa kupata hata Milo mitatu kwa siku Wala kuelewa Ni vipi watalipa Kodi ya nyumba.

Lakini Tangia Rais Samia aapishwe na kuwa Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni Kama vijana wamechanua kimatumaini, wamepata Imani ya kuwa Sasa ndoto zao zitaweza kutimia, Sasa vijana wanajionaa wanaweza kugombea na kuwa viongozi hata Kama hawana fedha ilimradi tu wawe na sifa na vigezo vya kiuongozi na kukubalika na kuaminika na wapiga kura, Sasa vijana Wana Ari mpya na nguvu mpya ya kuijenga nchi yao, Sasa vijana na kila kijana anaona kuwa inawezekana kuinuka kiuchumi bila tatizo lolote,

Sasa vijana wanaona ukiwa hata na kiasi kidogo Cha mtaji unaweza ukafungua biashara na ikakua na kustawi na kuchangia katika ujenzi wa nchi yao, Sasa vijana wanaona kuwa keki ya Taifa inawafikia walipo, Sasa vijana wanaona kuwa serikali Ni yao, inawatumikia wao na inawapa kipaombele.

Wanaona serikali yao inavyopambana kuweka mazingira wezeshi kwao, wanaona namna serikali yao inavyotaka kuhakikisha kuwa halmashauri zinatoa mikopo kwao pale wanapokuwa wamefuata taratibu na kukidhi vigezo, wanaona namna ambavyo hakuna ubaguzi katika kupata ajira au fursa ya aina yoyote Ile ya kiuchumi, wanaona namna serikali yao inavyojitahidi kutengeneza fursa za ajira kila Siku kupitia miradi mbalimbali Inayochipua kila siku

Rais Samia kawasha Taa ya matumaini katika mioyo ya Vijana wa kitanzania, Kaonyesha njia ya kufika katika mafanikio, kaonyesha upendo kwa vijana wake ambao hupenda kuwaita WANANGU kwa namna anavyo wapenda na kuwajari vijana wa kitanzania,

Hii imepelekea vijana kujiandaa kwa Hamu kubwa Sana kuja kumpigia kura nyingi Sana za ndio Rais Samia ili aendelee kuwatumikia vijana, ili aendelee kuwapa neema na fursa za kiuchumi maana vijana wameona kuwa Rais Samia Ni kiongozi aliyeonesha dhamira ya dhati katika kuwabeba vijana na kuwakuza na kuwastawisha kiuchumi, Rais Samia ameonyesha Dhamira yake ya kuona fursa yoyote inayopatikana inakwenda kuwagusa kwanza vijana na kuwanufaisha

Rais Samia anahitaji kuona vijana wanajitegemea kiuchumi na kuwa na uwezo wa kujihudumia na kuwasaidia wazee wao wanaohitaji msaada wa kusaidiwa na kulelewa, Rais Samia Ni kipenzi Cha vijana ambaye amepelekea uchaguzi ujao kuwa mwepesi Sana kwake na kwa CCM kwa kuwa vijana wameamua kumpigia kura na kumuunga mkono

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
2025 Rais Samia Suluhu hana mpinzani maana amefanya maendeleo mengi sana ikiwemo ajira, kutoa mikopo yenye masharti nafuu, amefanya maendeleo yanayomlenga direct mwananchi ameboresa sekta ya afya, elimu, miundombinu, maji pia amepunguza gharama za kilimo
 
Bila shaka kutakuwa na matengenezo yanayofanyika japo hamjapewa Taarifa
Hakuna matengenezo ya miezi miwili mfululizo, Leo wanakata mchana unarudi usiku, kesho wanakata usiku, Mimi binafsi simpigii kura mtu yoyote kura yangu ya mwisho ilikuwa 2020 Sina mpango wakupiga kura tena..
Najua tupo wengi sana ukitaka kuamini wengi wanawaza kama Mimi angalia idadi ya likes hapa [emoji3596]
 
Kwa hizi tozo, mgao wa maji na umeme mma gwa gwitu [emoji849]
 
Hii ngo'mbe mda wote n mama Samia mama samia yani mpka inakera sijui wanasifia nini na sisi tunao ishi huku kwamba hutuoni upuuzi wa serikal yake hebu jiangalie we mpuuzi na maneno yako hayo yakiboya boya
 
Hii ngo'mbe mda wote n mama Samia mama samia yani mpka inakera sijui wanasifia nini na sisi tunao ishi huku kwamba hutuoni upuuzi wa serikal yake hebu jiangalie we mpuuzi na maneno yako hayo yakiboya boya
Unaweza kuchangia bila matusi, Hata hivyo nimekusamehe na nitaendelea kukusamehe tu hata Kama utaendeleaa kunitukana na kuniita mbuzi au ng'ombe bado nitaendelea kuheshimu michango yako
 
Ndugu zangu kwa miaka mingi na kwa kipindi kirefu na kwa chaguzi nyingi vijana wa kitanzania wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi kidogo Sana kupiga kura na kushiriki katika uchaguzi, Japo wakati mwingine wamekuwa wahudhuriaji Wazuri wa mikutano ya vyama vya siasa lakini wamekuwa wa mwisho linapokuja suala la kujitokeza siku ya kupiga kura.

Hii Ni kutokana na kukatishwa Tamaa na baadhi ya watu au viongozi waliokuwa wanawaamini Mara wanapokuwa wamepata nafasi za uongozi, vijana wamekuwa wakiona Ni Kama wanatumiwa tu pasipo kupata faida yoyote, vijana wamekuwa wanaona ni Kama hawapewi kipaombele hasa suala la ajira na mikopo, vijana wamekuwa wakiona ni Kama hata wakijaribu nafasi za uongozi hawachaguliwi kutokana na kuwa na uwezo mdogo wa kifedha ambazo baadhi ya wajumbe Ni Kama wamekuwa wakiangalia kina Cha mfuko wa pesa kumpa mtu Kura

Jambo hili limekuwa likiwakatisha Tamaa vijana, kuwavunja moyo,kuwa fanya waichukie siasa, kuwachukia baadhi ya wanasiasa wanaokuwa wakitoa lugha zinazo chukuliwa Kama dharau kwa vijana hasa wanapoona mtoaji wa kauli katika maisha yake yote hajawahi kujiajiri Wala kuwa machinga Wala kuwa muuza karanga Wala kushika jembe Wala kuendesha bodaboda Wala kulima matikiti maji Wala kuwa na biashara ya aina yoyote Ile zaidi ya kuhudumiwa kwa Kodi za Watanzania wavuja jasho ambao hawana uhakika wa kupata hata Milo mitatu kwa siku Wala kuelewa Ni vipi watalipa Kodi ya nyumba.

Lakini Tangia Rais Samia aapishwe na kuwa Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni Kama vijana wamechanua kimatumaini, wamepata Imani ya kuwa Sasa ndoto zao zitaweza kutimia, Sasa vijana wanajionaa wanaweza kugombea na kuwa viongozi hata Kama hawana fedha ilimradi tu wawe na sifa na vigezo vya kiuongozi na kukubalika na kuaminika na wapiga kura, Sasa vijana Wana Ari mpya na nguvu mpya ya kuijenga nchi yao, Sasa vijana na kila kijana anaona kuwa inawezekana kuinuka kiuchumi bila tatizo lolote,

Sasa vijana wanaona ukiwa hata na kiasi kidogo Cha mtaji unaweza ukafungua biashara na ikakua na kustawi na kuchangia katika ujenzi wa nchi yao, Sasa vijana wanaona kuwa keki ya Taifa inawafikia walipo, Sasa vijana wanaona kuwa serikali Ni yao, inawatumikia wao na inawapa kipaombele.

Wanaona serikali yao inavyopambana kuweka mazingira wezeshi kwao, wanaona namna serikali yao inavyotaka kuhakikisha kuwa halmashauri zinatoa mikopo kwao pale wanapokuwa wamefuata taratibu na kukidhi vigezo, wanaona namna ambavyo hakuna ubaguzi katika kupata ajira au fursa ya aina yoyote Ile ya kiuchumi, wanaona namna serikali yao inavyojitahidi kutengeneza fursa za ajira kila Siku kupitia miradi mbalimbali Inayochipua kila siku

Rais Samia kawasha Taa ya matumaini katika mioyo ya Vijana wa kitanzania, Kaonyesha njia ya kufika katika mafanikio, kaonyesha upendo kwa vijana wake ambao hupenda kuwaita WANANGU kwa namna anavyo wapenda na kuwajari vijana wa kitanzania,

Hii imepelekea vijana kujiandaa kwa Hamu kubwa Sana kuja kumpigia kura nyingi Sana za ndio Rais Samia ili aendelee kuwatumikia vijana, ili aendelee kuwapa neema na fursa za kiuchumi maana vijana wameona kuwa Rais Samia Ni kiongozi aliyeonesha dhamira ya dhati katika kuwabeba vijana na kuwakuza na kuwastawisha kiuchumi, Rais Samia ameonyesha Dhamira yake ya kuona fursa yoyote inayopatikana inakwenda kuwagusa kwanza vijana na kuwanufaisha

Rais Samia anahitaji kuona vijana wanajitegemea kiuchumi na kuwa na uwezo wa kujihudumia na kuwasaidia wazee wao wanaohitaji msaada wa kusaidiwa na kulelewa, Rais Samia Ni kipenzi Cha vijana ambaye amepelekea uchaguzi ujao kuwa mwepesi Sana kwake na kwa CCM kwa kuwa vijana wameamua kumpigia kura na kumuunga mkono

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
yaani ni umaskini tu kuajiriwa ni utumwa sana kwa mtindo huu utajiri tutausikia redioni na kwenye tv tu vijana someni sana mpate ujuzi wa fursa za kibiashara ndo mtakuwa atajiri
 
Back
Top Bottom