Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Jokajeusi

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
6,323
Reaction score
10,813
Mughonile!

Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.

Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe. MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra. Mwanamke asiyebikra hata ukimuoa huyo sio Mkeo.

Inashangaza mtu kumuita MKE Mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, sijui no ukichaa au ushamba.

Bikra matter's
 
Mughonile!

Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.
Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe.
MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra.
Mwanamke asiyebikra hata ukimuoa huyo sio Mkeo.
Inashangaza mtu kumuita MKE Mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, sijui no ukichaa au ushamba.

Bikra matter's
Duh
Hizo bikra ziilitoka kwa kuendesha baiskeli?
 
Vijana wachache ndio wamebahatika kuzitoa hizo Bikra. Asilimia kubwa ya Vijana hawajawahi kukutana na Wanawake Bikra.
Mfano mimi nimeshabandua 4 msinihukumu kwakuwa sikuzingua/sikuwaacha mimi, wao wenyewe ndio walizingua kwahiyo ikitokea ntampata bikra sawa, akikosekana ntaoa yeyote kikubwa aitambue nafasi yake kama mke.
 
Back
Top Bottom