Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Sasa kumbe nabishana na mtu yuko mombasa walishamvunja mabega[emoji1787] no wonder. Huko tulishashukuru Mungu maana siku hizi mtoto wa kike hata akirudi saa sita usiku hawaulizi ila wa kiume saa kumi na mbili jioni uwe ndani.

Kuanzia leo kila anaekuja na mada kuhusu wanawake ni punga. Tumegeuka kuwa wake wenza na wanaume[emoji1787]
@Blessed ukijibu kwa hoja bila kuweka hisia ataona mapungufu ya uzi wake
 
Bikra inatolewa na Mwanaume mmoja, huwezi kusema tunaozitoa ni Sisi, Wakati anayetoa bikra ni mmoja.
OA Mwanamke Bikra vinginevyo jiunge na hao wapuuzi wakataa Ndoa
Mm nina kataa ndoa ila apo umepuyanga mkuu kubali kama umepata bikra kaa kwa kutulia ,nimeshatoa bikra zaidi ya Mia mbili Acha karma initafune.
 
Mm nina kataa ndoa ila apo umepuyanga mkuu kubali kama umepata bikra kaa kwa kutulia ,nimeshatoa bikra zaidi ya Mia mbili Acha karma initafune.

Wewe ni Shetani.
Unaharibu Watoto wa Watu kisha wakishaharibika hutaki kuoa
 
Mkijua kwamba mapenzi na hizo ndoa mnazoongelea ni matokeo ya hisia Hamtakaa kujibizana ujinga kama huu.

Unaeeza oa bikra na bado akawa sio mke bora kwenye maisha yako kulingana na nini umewekeza kwenye akili yako juu yake

Sifa ya Kwanza ya MKE Bora lazima umkute Bikra. Sijui Vijana WA siku hizi mmleogwa,
Hivi MKE kama hakujitunza anakuwaje MKE Bora mwenye Akili?
 
Mkuu kwanini unatafuta bikra sna au umewashindwa hawa ,na je mke wako akizaa njia ikawa kubwa utakimbia? Mkuu ila fanya mazoezi pia kuna madawa ya kienyeshi yanakuza tu mbona , ukikosa bikra utakimbilia kisamvu sasa , tukisema unahamasisha upinde kwa mwamvuli wa bikra , wakati unajua fika hakuna bikra utasema umeonewa?
 
Wanaume mnajidharaulisha sana. Mada nyingi mnazoanzisha zinadhihirisha uwezo wenu wa kufikiri. Hiyo bikra huyo binti alijitoa mwenyewe? Mbona mada nyingi humu ni za kuwakashfu wanawake? Hivi tukianza kuwatukana wanaume mnadhani mtatuweza?

Hivi tukija na conclusion kwamba asilimia kubwa ya wanaume ni mapungasese mtabisha? Your thinking capacity is below zero
Hebu tutake radhi mrembo. Yani mawazo ya mtu mmoja ndio yadhalilishe wanaume wote? Hapana!. Kama ni kudhalilika,nasi anajidhalilisha mwenyewe, binafsi siwezi kuingia kwenye lawama za ujumla 😅😅
 
Mughonile!

Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.
Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe.
MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra.
Mwanamke asiyebikra hata ukimuoa huyo sio Mkeo.
Inashangaza mtu kumuita MKE Mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, sijui no ukichaa au ushamba.

Bikra matter's
Mzee wa bikra umerudi. Kitambo sana upo kimya. Karibu tena jukwaani mkuu
 
Back
Top Bottom