Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na uwezo wa kumiliki mke unao mpaka utafute mke bikra? .Uliza humu ndani wanaume wangapi walikuta hizo Bikra. Unaitaje MTU Mkeo alafu hukumkuta Bikra!
Huna mke wewe kwenye familia zao hawana kelele.Acha bangi. Uliza wenyeji humu
Niwaulize wenyeji wakati Mimi nipo humu kabla hujaota ndevu.Acha bangi. Uliza wenyeji humu
Nilioa manzi tumemaliza nae chuo hakua bikra tukazinguana mwaka tuu.
Nimeoa bikra STd 7 naona jahazi limetulia na hakuna kelele ni upendo na utii. Bikra ni hoja ya msingi japo ya kizamani.
Where i live , jobless get paid every month.Zuzu[emoji44][emoji44]
Wee kaa mbari na hii post, endelea kuandika zile pumba zako ndefu zisizo na maana.
U-jobless unakusumbua
Mbona wewe huwazi bikra ya mkeo unawaza za wenzio?Ndio shida ya mikurumbembe, ndevu zangu zinakuhusu nini, badala uwaze za mumeo. Tabu sana
Mpuuzi ni wewe badala ya kufanya kazi unabana kengele hapo kushauri wenzako upuuzi.Mpuuzi Mimi au huyo aliyekuoa bila kuikuta bikra
Hauna hiyo nguvu ya kutukana mwanaume Wanawake kwa Wanawake ndio mnaweza kutukananaWanaume mnajidharaulisha sana. Mada nyingi mnazoanzisha zinadhihirisha uwezo wenu wa kufikiri. Hiyo bikra huyo binti alijitoa mwenyewe? Mbona mada nyingi humu ni za kuwakashfu wanawake? Hivi tukianza kuwatukana wanaume mnadhani mtatuweza?
Hivi tukija na conclusion kwamba asilimia kubwa ya wanaume ni mapungasese mtabisha? Your thinking capacity is below zero
Si unaona mwandiko wake !!.Unamaanisha 2021 Jokajeusi alikuwa hajaota ndevu?