Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Kati ya watu 10 walioolewa wakiwa na bikra ni mmoja tu anaweza kuja kukengeuka mbele ya safari.
Ila katika watu 10 walioolewa bila bikra hao wote wana asilimia kubwa ya kuja kukengeuka uko mbele.
Asilimia kubwa ya waliooa wanawake wasio na bikra hawana furaha kabisa ikitokea amesafiri kwenda mbali wanakuwa na wasiwasi mno kuja kuchapiwa na ex wao

NB:vijana oeni bikra kwa afya ya akili na ustawi wa familia
 
Kati ya watu 10 walioolewa wakiwa na bikra ni mmoja tu anaweza kuja kukengeuka mbele ya safari.
Ila katika watu 10 walioolewa bila bikra hao wote wana asilimia kubwa ya kuja kukengeuka uko mbele.
Asilimia kubwa ya waliooa wanawake wasio na bikra hawana furaha kabisa ikitokea amesafiri kwenda mbali wanakuwa na wasiwasi mno kuja kuchapiwa na ex wao

NB:vijana oeni bikra kwa afya ya akili na ustawi wa familia
Hakika ukioa bikra lazima utakuwa na afya njema ya akili, waliooa makurumbembe watakuja kupinga.
 
Kati ya watu 10 walioolewa wakiwa na bikra ni mmoja tu anaweza kuja kukengeuka mbele ya safari.
Ila katika watu 10 walioolewa bila bikra hao wote wana asilimia kubwa ya kuja kukengeuka uko mbele.
Asilimia kubwa ya waliooa wanawake wasio na bikra hawana furaha kabisa ikitokea amesafiri kwenda mbali wanakuwa na wasiwasi mno kuja kuchapiwa na ex wao

NB:vijana oeni bikra kwa afya ya akili na ustawi wa familia

Watajizima Data
 
Huyo hariel unaemsema anawakilisha kundi la wanaume wenye akili. Mimi sio supporter wa kataa ndoa ila mada za heriel kwenye huo upande anazielezea kwa hekima hata kama tunapingana kimtazamo ila ni mtu anaejipambanua kwa hoja.

Wengi wenu mna kazi ya kutukana na kudharau wanawake ila sikulaumu sana. Ni ulipotoka na kulelewa kunakufanya uite wanawake wengine vyuma chakavu. Ulionja kutu nini?
Sijaona sehemu ambayo mtoa mada amekosea.

Ameshauri wasichana mjitunze adi ndoa

Kashauri pia wanaume tuoe wanawake bikra ili tuwe na amani na furaha na ndoa zidumu
NB kama ulitolewa bikra na hukuolewa nae pambana na hali yako.
 
Ndo maana naandika asilimia kubwa. Maandishi na mawazo yako yataku group kwenye asilimia husika.
Katika ile comment niliyoku-quot, hukuweka neno "asilimia kubwa" , uliongelea wanaume in general.

Alaf next time, tumia neno "baadhi" na sio "asilimia kubwa", maana wenye mitazamo ya aina yake wako wachache
 
Walawi 21:13-19
Biblia Habari Njema (BHN)
13. Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

14. Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe

15. asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”
Wajinga watakuja kupinga.
 
Sijaona sehemu ambayo mtoa mada amekosea.

Ameshauri wasichana mjitunze adi ndoa

Kashauri pia wanaume tuoe wanawake bikra ili tuwe na amani na furaha na ndoa zidumu
NB kama ulitolewa bikra na hukuolewa nae pambana na hali yako.
Na kama mtu asipopata ndoa?
 
Hivi tukija na conclusion kwamba asilimia kubwa ya wanaume ni mapungasese mtabisha? Your thinking capacity is below zero
Katika ile comment niliyoku-quot, hukuweka neno "asilimia kubwa" , uliongelea wanaume in general.

Alaf next time, tumia neno "baadhi" na sio "asilimia kubwa", maana wenye mitazamo ya aina yake wako wachache
Umeona hicho nilichobold? Kuna tofauti gani kati ya neno baadhi na asilimia kubwa? Mada ya ngapi hii naisoma leo inakashfu wanawake?
 
Back
Top Bottom