Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Hebu tutake radhi mrembo. Yani mawazo ya mtu mmoja ndio yadhalilishe wanaume wote? Hapana!. Kama ni kudhalilika,nasi anajidhalilisha mwenyewe, binafsi siwezi kuingia kwenye lawama za ujumla 😅😅
Ndo maana naandika asilimia kubwa. Maandishi na mawazo yako yataku group kwenye asilimia husika.
 
Mughonile!

Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.
Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe.
MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra.
Mwanamke asiyebikra hata ukimuoa huyo sio Mkeo.
Inashangaza mtu kumuita MKE Mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, sijui no ukichaa au ushamba.

Bikra matter's
Naunga mkono hoja 100%
 
Endelea kujifariji na hadithi zako kama huyo mpuuzi sijui Hariel,
Ni upuuzi kuoa Mwanamke asiye na Bikra.

Punga ni hao wanaookota marukumbembe yaliyochakaa Wakati kuna vyuma vipya
Huyo hariel unaemsema anawakilisha kundi la wanaume wenye akili. Mimi sio supporter wa kataa ndoa ila mada za heriel kwenye huo upande anazielezea kwa hekima hata kama tunapingana kimtazamo ila ni mtu anaejipambanua kwa hoja.

Wengi wenu mna kazi ya kutukana na kudharau wanawake ila sikulaumu sana. Ni ulipotoka na kulelewa kunakufanya uite wanawake wengine vyuma chakavu. Ulionja kutu nini?
 
Walioolewa Bikra na wenye Bikra hawezi leta miguu Yao hapa, Ila mikurumbembe Uzi huu kwao ni vita.
Na humu mtajitokeza mno, nawasubiri.
We unapangia mwanaume rijali aoe mwanamke wa namna gani unajiona mzima? Nibishane na mke mwenza weye saizi huo mda naupata wapi. Jibishie mwenyewe
 
Walawi 21:13-19
Biblia Habari Njema (BHN)
13. Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

14. Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe

15. asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”
 
Nime date na bikra yani 5 girls wote na sasa ni ma ex tu nawatizama

Ndilo hilo jina la Nyaubikra likaja hapo

sasa mnao tafuta bikra kamateni vitoto kuanzia std 7 huko muanzen nao mapema kuwaandaa kuwa wake ila akivuka hapo chance ya kupoteza n kubwa sana.
 
Huyo hariel unaemsema anawakilisha kundi la wanaume wenye akili. Mimi sio supporter wa kataa ndoa ila mada za heriel kwenye huo upande anazielezea kwa hekima hata kama tunapingana kimtazamo ila ni mtu anaejipambanua kwa hoja.

Wengi wenu mna kazi ya kutukana na kudharau wanawake ila sikulaumu sana. Ni ulipotoka na kulelewa kunakufanya uite wanawake wengine vyuma chakavu. Ulionja kutu nini?

Wewe na huyo Hariel ni wapuuzi tuu.
ATI hekima😲😲
Kwa hiyo mkipata Watu wakuwachana ukweli mchungu mnawaona wanadharau, subirini hao jobless wafanye hiyo kazi ya kuwaperemba,
 
Walawi 21:13-19
Biblia Habari Njema (BHN)
13. Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

14. Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe

15. asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Wachungaji waambieni waumini wenu. Sio kutungisha ndoa za ajabuajabu
 
Wewe na huyo Hariel ni wapuuzi tuu.
ATI hekima😲😲
Kwa hiyo mkipata Watu wakuwachana ukweli mchungu mnawaona wanadharau, subirini hao jobless wafanye hiyo kazi ya kuwaperemba,
Hakuna mwanaume hapa🤣 aunty joka jioni njema sasa unatukana mwanaume mwenzio tena. Robert Heriel njoo ujipambanie mwenyewe 🤣
 
Hakuna mwanaume hapa🤣 aunty joka jioni njema sasa unatukana mwanaume mwenzio tena. Robert Heriel njoo ujipambanie mwenyewe 🤣

Hatupo kwenye ishu za ujinsia, hiyo Hariel ndio anahangaika kutwa kucha na mambo hayo.
Ninachosema, Vijana waoe Wanawake Bikra.
Mikurumbembe ibaki sehemu ya starehe tuu
 
Back
Top Bottom