Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Wataweza sasaNa nyie msitongoze wanawake na kuwaomba mechi hadi muwaoe
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataweza sasaNa nyie msitongoze wanawake na kuwaomba mechi hadi muwaoe
Tunaoweza hivyo tuko wachache sana.
Basi mpunguze kututupia zigo la lawama wadada. Unakuta mtu anavimba hapa na huko kala vitoto kibao alafu badae anakuja ooh nataka bikra, bikra hiyo itoke wapi? Wataendelea kupata wa kufanana nao.Tunaoweza hivyo tuko wachache sana.
We unataka vijana waoe viswaswadu kama nyie.Kurumbembe alokulea pumbaf
Binafsi kwenye swala la bikra siwezi mtupia lawama zote mwanamke.Basi mpunguze kututupia zigo la lawama wadada. Unakuta mtu anavimba hapa na huko kala vitoto kibao alafu badae anakuja ooh nataka bikra, bikra hiyo itoke wapi? Wataendelea kupata wa kufanana nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi kwenye swala la bikra siwezi mtupia lawama zote mwanamke.
Mwenye lawama hapa kubwa ni sisi wanaume, sababu mara nyingi wanaotolewa bikira bado wanakuwa wadogo hata kujitambua bado.
Mwenzako alishaoa bikra, endelea kusubiri mabikra 72 wa mbinguni.Wanawake mabikira utawakuta peponi tena 70 kwa idadi yao, kwa nn uhangaike kutafuta bikira mmoja tu ktk nchi ya Dr SSH?
Kama una wazimu endelea kusaka aliye bikira 😁😁
Hicho ni kiapo cha damu na hiyo ndio ndoa katika ulimwengu wa kiroho na kama hujaoa bikra basi umeoa mke wa mtu, nakupa pole sana.Kwani ukimuoa mwanamke Bikra,hiyo Bikra itabaki siku zote au siku moja tu inatoka ?
Jipe moyo hivyo hivyo.Kwani ukimuoa mwanamke Bikra,hiyo Bikra itabaki siku zote au siku moja tu inatoka ?
Mkuu demu kama hujamuanza huyo ni msanii tu kwako mchape upite kushoto.Hii ndo sababu inayo nifanya hata nisimpende mwanamke anae nipenda naona ananiigizia tu mbwa yule
Joka anatema sumu ya uhakika mwenye masikio na asikiye.Mkuu nakubaligi sana nyuzi zako uko vizuri
Ila hapa kwenye huu Uzi nakubaliana Joka jeusi [emoji817]
Kama hajitambuhi huyo alikosa malezi mema na hafai kuwa mke, mbona kuna wasichana wamejitunza na hawakukubali kudanganywa kizembe.Binafsi kwenye swala la bikra siwezi mtupia lawama zote mwanamke.
Mwenye lawama hapa kubwa ni sisi wanaume, sababu mara nyingi wanaotolewa bikira bado wanakuwa wadogo hata kujitambua bado.
Usipobahatika kupata bikra tafuta tu mtoto acha kuoa kabisa, hizi mada za kuwapondea wanawake zinasababishwa na watu kuoa wake za watu au kuanzisha mahusiano na wake za watuSiwez kuoa mke wa mtu aisee
Nitaoa bikra tu 😂😂😂😂😂😂😂
Hasa wanawake waliotolewa bikra na kutelekezwa na wanaume waliooa wake za watu.Watu wamekua wakali sana [emoji1787]
Watanipata wapi vijana wenyewe mabega yashavunjwaWe unataka vijana waoe viswaswadu kama nyie.
Waweze wapi mama
We waangalie tu. Rainbow haoHata mimi nimewaza kuna kitu hakiko sawa kuhusu hawa vijana wa kiume ndiyo maana kila wakati kulaumu wanawake tu.