Watanipata wapi vijana wenyewe mabega yashavunjwa
Wanawake mabikira utawakuta peponi tena 70 kwa idadi yao, kwa nn uhangaike kutafuta bikira mmoja tu ktk nchi ya Dr SSH?
Kama una wazimu endelea kusaka aliye bikira 😁😁
Unadhani kila mtu anaishi kama mkeo? Wengine tuna heshima zetu. Au unaona jf ni kama danguroNani atafute Kurumbembe. Ninyi tunajua mmejaa kila Kona, Wanawake wasio na Bikra hakuna anayewatafuta Kwa sababu mpo kama udongo usio na rutuba.
Ukiwa na Bikra ndio unatafutwa kama Masihi ya dhahabu na kupatikana ni shughuli.
Sasa wewe na Yule aliyepo pale Sinza meeda mnatofauti ipi?
Anioe mara ngapi sasa🤣🤣🤣 hivi we unajielewa kweliPungasese ni huyo atakayekuoa Kurumbembe na kuacha vitoto vibichi, Kwa ushamba wake
Unadhani kila mtu anaishi kama mkeo? Wengine tuna heshima zetu. Au unaona jf ni kama danguro
Bikra yangu uliitoa wewe? konyo niniSasa si ndio pungasese Kwa Sababu kaoa Kurumbembe. Hakuna mwanaume anayejitambua atakayemuita Mwanamke MKE ambaye hakumkuta Bikra. Hiyo haipo.
Acha kutetea Upumbavu mtoa Mada yupo sahihi huwezi kuoa mzinzi ambaye Hana bikra labda awe kafiwa na mme wake tofauti na hapo ni ujinga kuoa Malaya walioshindwa kujitunza na kugawa uchi Kama Njugu.Mwanamke anaejitukana mwenyewe sio mzima kichwani. Ila mada za kuita wanawake mal*ya, sijui hawana akili ni nyingi tena sana. Na zinaanzishwa na wanaume. So tuna haki ya kutetea. We unataka ninyamaze ili iweje? Lazima niseme. Sasa kama imekuuma kunywa maji. Ila wahusika habari wameipata
Shukuru Mungu nimetoka kusali ningekupa neno moja ungeenda kumuomba msamaha mama yako? Kwanza yeye alikutwa bikra?Acha kutetea Upumbavu mtoa Mada yupo sahihi huwezi kuoa mzinzi ambaye Hana bikra labda awe kafiwa na mme wake tofauti na hapo ni ujinga kuoa Malaya walioshindwa kujitunza na kugawa uchi Kama Njugu.
Jamani bikra sio dhambi mtoa maada Yuko sahihi ndoa nyingi zinachangamoto kwasababu ya haya maagano ya wanawake waliyopewa kwasababu kiimani mwanaume akitembea na mwanamke humpa nafsi yake xo imagine wanamke ametembea na wanaume 50+ na hajatubu Bado kwa mungu wake na wewe unakuja kuoa kweli mtadumu hapo sio rahisi lazima uchapiwe tuShukuru Mungu nimetoka kusali ningekupa neno moja ungeenda kumuomba msamaha mama yako? Kwanza yeye alikutwa bikra?
HUU NI UKWELI KWA SEHEMU KUBWAMughonile!
Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.
Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe.
MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra.
Mwanamke asiyebikra hata ukimuoa huyo sio Mkeo.
Inashangaza mtu kumuita MKE Mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, sijui no ukichaa au ushamba.
Bikra matter's
Kwanini umuongelee mwanamke tu?? Kwani mwanaume unvyotembea na wanawake 50 hujiwekei hayo maagano? Nyie kwenye ngono mmehalalishwa na nani kufanya na watu wengi? Mwanaume unavyotembea na wanawake wengi unajiunganisha nao kiroho vile vile msituchanganyeJamani bikra sio dhambi mtoa maada Yuko sahihi ndoa nyingi zinachangamoto kwasababu ya haya maagano ya wanawake waliyopewa kwasababu kiimani mwanaume akitembea na mwanamke humpa nafsi yake xo imagine wanamke ametembea na wanaume 50+ na hajatubu Bado kwa mungu wake na wewe unakuja kuoa kweli mtadumu hapo sio rahisi lazima uchapiwe tu
This is pointless, wewe bikra tuwatoe wenyewe halafu tuje tuwalaumu. This is illogical, atokee mwanaume asiyelala na mwanamke hata mmoja maishani mwake ndio anaqualification za kudai hicho kitu. Otherwise its nonsense. Ngono ilikatazwa kwakila jinsia kabla ya ndoa kwaupande wa vitabu vya dini na kwenye mila na desturi zetu. Wewe ninani wakumuhukumu mwenzako. Let's be logical like real men, sio kuwa petty as children. Kama mmekosa pesa za kuwatunza wake zenu semeni otherwise this point is stupidity, leteni point zakueleweka kwanini hamtaki kuoa.Mughonile!
Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.
Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe.
MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra.
Mwanamke asiyebikra hata ukimuoa huyo sio Mkeo.
Inashangaza mtu kumuita MKE Mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, sijui no ukichaa au ushamba.
Bikra matter's
Sasa mbona hukuwaoa?HUU NI UKWELI KWA SEHEMU KUBWA
NILIOWABIKIRI WANANITAFUTA JAMANI WANANITAFUTA
Ninahesabu wale ni wake zangu
Bora useme wewe labda wataelewa.This is pointless, wewe bikra tuwatoe wenyewe halafu tuje tuwalaumu. This is illogical, atokee mwanaume asiyelala na mwanamke hata mmoja maishani mwake ndio anaqualification za kudai hicho kitu. Otherwise its nonsense. Ngono ilikatazwa kwakila jinsia kabla ya ndoa kwaupande wa vitabu vya dini na kwenye mila na desturi zetu. Wewe ninani wakumuhukumu mwenzako. Let's be logical like real men, sio kuwa petty as children. Kama mmekosa pesa za kuwatunza wake zenu semeni otherwise this point is stupidity, leteni point zakueleweka kwanini hamtaki kuoa.