Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Uzi wa hovyo kuwahi kutokea hapa JF, utamfunga camera akiwa ananyanduliwa?.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapenda gogo eeh.
Ukisusa wengine watawaoa dada zangu.
 
Ni nini hasa faida ya hiyo bikra?

Na kama ipo, kwanini isisitizwe kwa wanawake tu?
Bikira ni kigezo kikubwa kilichozingatiwa wakati wa kuweka utaratibu wa kutoa mahari fatilia jamii zinazoheshimu tamaduni binti kutokua na bikira kabla hajaolewa ni aibu kubwa sana na ikibainika ivyo wakati mchakato wa kuolewa upo njiani ni lazima mchakato mzima usimame kwanza kwa majadiliano zaidi au mchakato unaweza ukafia hapo hapo sasa kama bikira ikikosekana maana yake utaratibu wa kutoa mahari unakua batiri.
 
Hujajibu swali,

Bikra inasaidia nini? Na kwanini ni wanawake tu ndo wanatakiwa kuwa nayo?
 
Hujajibu swali,

Bikra inasaidia nini? Na kwanini ni wanawake tu ndo wanatakiwa kuwa nayo?
Sipo hapa kueleza faida za bikira am just talking about fair satisfaction. Kama bikira haina maana basi na mahari nayo haina maana kwa sababu bikira ndio kigezo kilichotumika kuweka utaratibu wa kutoa mahari. Kwanini mahari iendelee kuwepo halafu kigezo kilichozingatiwa kipuuzwe?
 
Mahari kweli ni tatizo..... Ndo hivyo maisha hayako fair

Utachagua ulipe au ubaki single
 
Upo sahihi mno.
Wazazi wanataka walazimishe vitu vya zamani wakati wanawake wa sasa hawajajitunza. Mahari iwepo ila isiwe kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…