Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Ajira huna, mahari utaweza kulipa? Tungekua tunawalipia na wanaume kipimo kingekua nini? Life itself is complicated bado na wewe unacomplicate
Kipimo kile kile tu...🤓🤓🤓🤓
 
Mawazo ya hovyo haya[emoji1787][emoji1787] najaribu kufikiria, kuna wanaume watatoa mahari kidogo sana. Imagine katembea na 20 na wewe umetajiwa mahari 2m, ukigawa hapo utatoa laki yako unasema na mke[emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3] that is valie for money
 
Back
Top Bottom