Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Kwa maisha sasa mwanaume kulipishwa mahari ni utapeli wa wazi wazi kabisa kwa sababu wanawake wa leo hawana sifa walizokua nazo wanawake wa jamii ya zamani kipindi ambacho uliwekwa huu utaratibu wa kutoa mahari.

Tunaposema mahari ni shukrani kwa kutunziwa mke maana yake unapewa binti akiwa bado kigoli ambae hajaguswa yaani unaenda kuizindua mbususu wewe mwenyewe maana tukisema matunzo kama kusoma, mavazi, chakula n.k hayo hata mtoto wa kiume anatakiwa kupewa pia.

Iweje nilipishwe mahari wakati sijapita peke yangu? This is unacceptable. Wakati wa ku-negotiate mahari mwanamke aweke wazi wanaume aliotembea nao na mahari igawanywe kulingana na muda ambao walikaa katika mahusiano na kila mwanaume husika.
Wazazi wanahaki ya kuchukua mahali haijalishi binti katumika kiasi gani,wao Kama walifanya jukumu lao ipasavyo basi pia ni jukumu la binti kujitunza
 
Ajira huna, mahari utaweza kulipa? Tungekua tunawalipia na wanaume kipimo kingekua nini? Life itself is complicated bado na wewe unacomplicate
Kuwa jobless sio kilema mkuu. Ninaweza nisiwe na uwezo huo sasa hivi ila hapo badae mambo yakawa mazuri. Kheri yako ambaye umebarikiwa kipato kizuri. Mungu wako aendelee kukuzidishia
 
Na huenda vijana wengine wamegharamikia sana na show kidogo .
Hayo yote yatawekwa kwenye negotiation wakati wa kupanga mahari. Na wale walioliwa nauli zao bila kupewa mzigo lazima wapate compensation yao
 
Back
Top Bottom