Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mfano wewe upo mkoa gani..Dah yaani unagharamia kuhama naye mkoa, waste of money.
Nikupe location za kutulia na huyo wa peke ako(robort) 🤓🤓🤓🤓🤓 jokes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano wewe upo mkoa gani..Dah yaani unagharamia kuhama naye mkoa, waste of money.
Wazazi wanahaki ya kuchukua mahali haijalishi binti katumika kiasi gani,wao Kama walifanya jukumu lao ipasavyo basi pia ni jukumu la binti kujitunzaKwa maisha sasa mwanaume kulipishwa mahari ni utapeli wa wazi wazi kabisa kwa sababu wanawake wa leo hawana sifa walizokua nazo wanawake wa jamii ya zamani kipindi ambacho uliwekwa huu utaratibu wa kutoa mahari.
Tunaposema mahari ni shukrani kwa kutunziwa mke maana yake unapewa binti akiwa bado kigoli ambae hajaguswa yaani unaenda kuizindua mbususu wewe mwenyewe maana tukisema matunzo kama kusoma, mavazi, chakula n.k hayo hata mtoto wa kiume anatakiwa kupewa pia.
Iweje nilipishwe mahari wakati sijapita peke yangu? This is unacceptable. Wakati wa ku-negotiate mahari mwanamke aweke wazi wanaume aliotembea nao na mahari igawanywe kulingana na muda ambao walikaa katika mahusiano na kila mwanaume husika.
Ahahahahahhaha daah ndo hvo napata wenzangu humu 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓poor brain mko wengi 😂
Sasa ishu ya kubakwa ni tofauti na ile ya mwanamke kutaka mwenyewe.Siyo wote wanawakumbuka walio watoa bikra,je mfano hao watoto wanao bakwa bikra zao zinatolewa unataka kuniambia mpka wanakuwa wakubwa wanawakumbuka kwa upendo hao watoa bikra au kwa machungu?
Toa knowledge.Haha
Hii inaitwa gender bias
Ni mbaya sana
'mwanamke bikra hawezi kutulia'
'mwanaume hawezi kutulia na mwanamke mmoja'
mmekariri sana hivi vitu
Niko mkoa wa Pwani.Mfano wewe upo mkoa gani..
Nikupe location za kutulia na huyo wa peke ako(robort) 🤓🤓🤓🤓🤓 jokes
Kuwa jobless sio kilema mkuu. Ninaweza nisiwe na uwezo huo sasa hivi ila hapo badae mambo yakawa mazuri. Kheri yako ambaye umebarikiwa kipato kizuri. Mungu wako aendelee kukuzidishiaAjira huna, mahari utaweza kulipa? Tungekua tunawalipia na wanaume kipimo kingekua nini? Life itself is complicated bado na wewe unacomplicate
Sio sahihi.Wazazi wanahaki ya kuchukua mahali haijalishi binti katumika kiasi gani,wao Kama walifanya jukumu lao ipasavyo basi pia ni jukumu la binti kujitunza
Hata hao wanaume wanaotoka nje ya ndoa eti wana 'ongeza ukoo'😂 hawakuoa wakiwa mabikra.....Toa knowledge.
Asiye bikra kudumu ndani ya ndoa ni ngumu.
[emoji3][emoji3][emoji3] anatengenezewa mazingira ya kupigwa mzingaNa wewe unaamini? Sio kila limtokalo mtu anamaanisha we shauri zako [emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23]
Wanaume mabikra wako mkuu wanaoa wanawake wasio mabikra, hao unasemaje?Hata hao wanaume wanaotoka nje ya ndoa eti wana 'ongeza ukoo'😂 hawakuoa wakiwa mabikra.....
Nimechoka sasa kubishana😂
Hayo yote yatawekwa kwenye negotiation wakati wa kupanga mahari. Na wale walioliwa nauli zao bila kupewa mzigo lazima wapate compensation yaoNa huenda vijana wengine wamegharamikia sana na show kidogo .
goood sasa hapo pwani...Niko mkoa wa Pwani.
🤓😂😂😂🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Wanaume mabikra wako mkuu wanaoa wanawake wasio mabikra, hao unasemaje?
Itaisha kwenye mgao huo tu😅Hayo yote yatawekwa kwenye negotiation wakati wa kupanga mahari. Na wale walioliwa nauli zao bila kupewa mzigo lazima wapate compensation yao
Kuimarisha uchumi sio kigezo cha kufumbia macho upigaji wanaofanyiwa wanaume wenzanguimarisha uchumi wako rafiki yangu
🤣🤣🤣🤣Aisee...hii mbinu ushawahi fanya ukafanikiwa?goood sasa hapo pwani...
Wee nenda nae somewhere wanapaita mkenge... huko utafurahi mbona hakuna mambo mengi... atatulia mno 😂
Exactly.Wanaume mabikra wako mkuu wanaoa wanawake wasio mabikra, hao unasemaje?
Wapo nimewaona, wanateseka mno🤓😂😂😂🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Division One kwann?Sio sahihi.