DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Cha muhimu nimefikisha ujumbe Uzinzi haufaiA Misguided Youth in Pursuit of Vanity..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha muhimu nimefikisha ujumbe Uzinzi haufaiA Misguided Youth in Pursuit of Vanity..........
Bikra matter most kuoa uchafu is worst eti utoe mahali kwa Mtu ambaye Hana bikra ni zaidi ya uchizi mtu ameshindwa kujitunza kachafuliwa then anataka ndoa.!!Kila mtu na apate wa kufanana nae🙃
Mwanaume umepiga Hadi threesome alafu unataka bikra😏
Alaaah na upate lishangazi la haja ndo mta match.
Back to the point 👉 Kila mtu apate wa kufanana nae
Unamwona mwanamke tu🧐Bikra matter most kuoa uchafu is worst eti utoe mahali kwa Mtu ambaye Hana bikra ni zaidi ya uchizi mtu ameshindwa kujitunza kachafuliwa then anataka ndoa.!!
Unamwona mwanamke tu🧐
Wewe mwenye malengo ya kuoa bikra Inamaana hijaonja mabinti unatafuta bikra mwenzio 🙃
Kila mtu na apate wa kufanana nae
Shukrani... Nimeelewa sasa..!Kamaanisha kijana asiye na hekima anayetafuta ubatili kwa hali na mali ubatili wenyewe ni uzinzi
Lete nyundo na ile misumari ya inch 10Hivi kwa mtu msafi anayejitambua ambaye sio mzinzi anaweza kuoa Mwanamke ambaye hana bikra kuanza kushare uchafu na mikosi?
Kijana bila bikra endelea kukataa ndoa acha wachafu na wazinzi waoane wao kwa wao.
Threesome 🤓🤓🤓 anataka... BKKila mtu na apate wa kufanana nae🙃
Mwanaume umepiga Hadi threesome alafu unataka bikra😏
Alaaah na upate lishangazi la haja ndo mta match.
Back to the point 👉 Kila mtu apate wa kufanana nae
Mwanaume hana cha bikrabhna.Kila mtu na apate wa kufanana nae[emoji854]
Mwanaume umepiga Hadi threesome alafu unataka bikra[emoji57]
Alaaah na upate lishangazi la haja ndo mta match.
Back to the point [emoji117] Kila mtu apate wa kufanana nae
LikewiseKijana mpotevu katika kutafuta ubatili
Sawa kwa hiyo anatafuta Mali mbichi ilihali kashapiga Hadi threesome amekuwa kulubembe, ukitaka Mali safi na wewe uelekee usafiMwanaume hana cha bikrabhna.
Wewe mwenyewe humo ulipopita kabla ya kufanya network search ya bikira ushajifungamanisha na jini mpekuo la mwanaamina,.Hakikisha unaoa bikra usivunje maandiko usikbali kushare mikosi na Malaya yoyote .
Mkuu ni asili yetu ilivyo tu tunakula malaya ila tunataka mama watoto msafi atulie nymbani.Sawa kwa hiyo anatafuta Mali mbichi ilihali kashapiga Hadi threesome amekuwa kulubembe, ukitaka Mali safi na wewe uelekee usafi
Ndio wale mwamba mjaanja alafu kaangukia pabovu😎Mkuu ni asili yetu ilivyo tu tunakula malaya ila tunataka mama watoto msafi atulie nymbani.