Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Hivi kwa mtu msafi anayejitambua ambaye sio mzinzi anaweza kuoa Mwanamke ambaye hana bikra kuanza kushare uchafu na mikosi?

Kijana bila bikra endelea kukataa ndoa acha wachafu na wazinzi waoane wao kwa wao.
Bado utabakia hauna point kwakuwa umehukumu upande mmoja na ukaacha upande mwingine. Aliyebora na asimame, you do the damage you pay for the damage. Sisi ni wanaume basi tuwe logical, hukumu kotekote lasivyo hunatafuta na watu wa haki sawa au women empowerment.
 
Mkuu ni asili yetu ilivyo tu tunakula malaya ila tunataka mama watoto msafi atulie nymbani.
Point nyingi ulizokuwa unataja kukataa ndoa nilizikubali, ila hapa boss umechemka. If you want nature to take it's course then let women wawe dhaifu hivyohivyo kwamaana akishindwa na majaribu kama Hawa usimlaumu, kusema kuwa akicheat usilalamike, akiwapasua kichwa ukae kimya hivyohivyo maana sio wao ni nature na hormones zinazoleta mood swings. Be careful of what you wish for. Wanaume tumeumbwa kwa taswira ya Mungu na tunajisifu kwahilo na Mungu hajawahi kumuonea mtu wala kutenda dhambi basi nature yako naiwe hivyohivyo lasivyo usihukumu kwakutumia nature maana utaanza kufyekwa wewe vibaya sana kama alivyofanywa Adam kwa Hawa.
 
Hivi kwa mtu msafi anayejitambua ambaye sio mzinzi anaweza kuoa Mwanamke ambaye hana bikra kuanza kushare uchafu na mikosi?

Kijana bila bikra endelea kukataa ndoa acha wachafu na wazinzi waoane wao kwa wao.
Kwanza inapendeza ujieleze wewe mwenyewe iwapo ni mdogo hujawahi kuoa au umewahi kuoa ndio unakataza kuoa aina hiyo ya mwanamke. Sisi wenye wake 4 tunaweza kukusoma vyema na kukushauri pia.Usije ukatoa ushauri ambao kwa wengine una madhara na haufai kimaumbile.
Kwa mfano mwanamke ambaye amefiwa na mumewe si bikra lakini ni halali na mzuri kwa ndoa.Wewe unasemaje?
 
Fursa, ileeeeee ya kutengeneza sabunu za kutengeneza kiwambo.

Mkishajazana na hili mkiwa wa kutosha mtuambie, tuko Lab.
 
Watulie bado vita inaendelea ilianzia edeni
Hawa kuwa na utu wakatusaliti kwa laana tukatupwa nje tukabebeshwa virago na sasa tupo na tambala bovu na takataka ndio wao
Nguo za hovyo wao
Chanzo cha ndoa kuvunjika wao
50 kwa 50 wao
Na bado wamejazana kwa mwamposa
Wakisali kesho na kesho kutwa amepitakane wakuwatolea posa
Nauliza nani wakuchanga karata zenye magarasa
 
Point nyingi ulizokuwa unataja kukataa ndoa nilizikubali, ila hapa boss umechemka. If you want nature to take it's course then let women wawe dhaifu hivyohivyo kwamaana akishindwa na majaribu kama Hawa usimlaumu, kusema kuwa akicheat usilalamike, akiwapasua kichwa ukae kimya hivyohivyo maana sio wao ni nature na hormones zinazoleta mood swings. Be careful of what you wish for. Wanaume tumeumbwa kwa taswira ya Mungu na tunajisifu kwahilo na Mungu hajawahi kumuonea mtu wala kutenda dhambi basi nature yako naiwe hivyohivyo lasivyo usihukumu kwakutumia nature maana utaanza kufyekwa wewe vibaya sana kama alivyofanywa Adam kwa Hawa.
Mkuu ni kweli lakni inabin tubadilike , karma haijawah kuacha kulipq akipandacho mtu ndicho akivunacho.
 
Mkuu ni kweli lakni inabin tubadilike , karma haijawah kuacha kulipq akipandacho mtu ndicho akivunacho.
Hiyo ndiyo main point, tubadilike. Sio mwanamke tu bali pia mwanaume lasivyo hatutakuwa tofauti na wao, mtu anayesema wanawake kuwa hivi ni kwasababu ya kupwaya kwenye uanaume wa kumsimamia mwanamke ilihali mtoto huyo wa kike alianza kulelewa na nyinyi wazazi kwanza mnaowashutumu vijana kabla ya kufika kuwa jukumu la mwanaume.
 
Hiyo ndiyo main point, tubadilike. Sio mwanamke tu bali pia mwanaume lasivyo hatutakuwa tofauti na wao, mtu anayesema wanawake kuwa hivi ni kwasababu ya kupwaya kwenye uanaume wa kumsimamia mwanamke ilihali mtoto huyo wa kike alianza kulelewa na nyinyi wazazi kwanza mnaowashutumu vijana kabla ya kufika kuwa jukumu la mwanaume.
Ni kwel mkuu
 
Sasa kama hujiamini siuachane nao silazima msemezane nao. Yaani nyani haoni...... ,😂😂😂😂 wewe unamaex mia mwanamke asiwe nao wakati wewe mwenyewe ni mmoja wa maex. Yaani unakubali kushindwa kujiamini maamuzi yako kabisa na mwanamke😂😂😂. Halafu chief, nilishamwambia mwenzako changia hoja sio kuattack mtu, yaani very petty and childish ujue. Hunijui sikujui, hujui marital status yangu lakini unaniattack personal life yangu, kweli umekosa kabisa hoja ya msingi ya kujibu😂😂😂. Vijana mkue aisee, hivi unapataje nguvu ya kuhukumu mwenzako na kumpunish wakati wewe mwenyewe ni mtuhumiwa, jibu hoja chief, mkue. Unawaza anguko lako kabla hata hujaweka plan yako into motion sasa hilo ni tatizo lingine la psychologia boss

Acha matatizo ya Akili.
OA Bikra hayo mengine Baki nayo
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu..

Kama tunavyo fahamu leo ni siku ya wanawake duniani...

Nitoshe kusema bila ya kupepesa macho mwanamke yeyote asie bikra hafai kabisa kulipiwa mahari kamwe usifanye hivyo ewe mwanaume...hana sifa huyo mwanamke na wala mzazi wake hana haki wala heshima tukufu ya kuitisha mahari kwa binti yake asie na bikra, huyo hajatunzwa hivyo hana uhalali kabisa wa kuitisha mahari wala kutolewa mahari.

Huwezi kama mwanaume mmekaa mnaambiwa mahari milion moja au tano ya binti asie na bikra kabisa tena katembea na kila mwanaume na wewe mnachekelea tuu huo ni ujinga..

Nb.. Mahari ilipwe kwa binti alie bikra tuu... Hata kama utakuja kuchapiwa huko mbeleni ni ajali kazini na hayo ndio maisha.. ila kwa asie Bikra hakuna kulipa..kama umempenda chukua ishi nae wakikuambia kuhusu mahari wewe wazungushe tuuu hakuna kutoa

Nimemaliza nawatakia majukumu mema wanaume wenzangu..
 
Labda uzae wakwako ukae nae masaa 24 hadi afikishe umri wa kuolewa ndo umuoe na bikra, napo usishangae house boy alishafanya yake. Siku hizi hadi uarabuni bikra zimekuwa adimu. Swali la nyongeza, dada zako wameolewa na bikra?,au waliowaoa warudishiwe mahari!???
 
Back
Top Bottom