Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu waache washupaze shingo.Binafsi naelewa sana unachosema na nakifanyia kazi.Siwez kuoa mwanamke asiye na bikraSifa ya Kwanza ya MKE Bora lazima umkute Bikra. Sijui Vijana WA siku hizi mmleogwa,
Hivi MKE kama hakujitunza anakuwaje MKE Bora mwenye Akili?
Akili yako ndipo ilipo ishia...bikra ni muhimu hata kama atakuja kuchakatwa huko mbeleni hizo ni changamoto za maisha.. ila bikra ni muhimuLabda uzae wakwako ukae nae masaa 24 hadi afikishe umri wa kuolewa ndo umuoe na bikra, napo usishangae house boy alishafanya yake. Siku hizi hadi uarabuni bikra zimekuwa adimu. Swali la nyongeza, dada zako wameolewa na bikra?,au waliowaoa warudishiwe mahari!???
Kama unataka mwanamke bikira hakikisha na wewe hujawahi fanya mapenziHabari ya asubuhi ndugu zangu..
Kama tunavyo fahamu leo ni siku ya wanawake duniani...
Nitoshe kusema bila ya kupepesa macho mwanamke yeyote asie bikra hafai kabisa kulipiwa mahari kamwe usifanye hivyo ewe mwanaume...hana sifa huyo mwanamke na wala mzazi wake hana haki wala heshima tukufu ya kuitisha mahari kwa binti yake asie na bikra, huyo hajatunzwa hivyo hana uhalali kabisa wa kuitisha mahari wala kutolewa mahari.
Huwezi kama mwanaume mmekaa mnaambiwa mahari milion moja au tano ya binti asie na bikra kabisa tena katembea na kila mwanaume na wewe mnachekelea tuu huo ni ujinga..
Nb.. Mahari ilipwe kwa binti alie bikra tuu... Hata kama utakuja kuchapiwa huko mbeleni ni ajali kazini na hayo ndio maisha.. ila kwa asie Bikra hakuna kulipa..kama umempenda chukua ishi nae wakikuambia kuhusu mahari wewe wazungushe tuuu hakuna kutoa
Nimemaliza nawatakia majukumu mema wanaume wenzangu..
Naunga hoja...HAO WANAWAKE BIKRA NI WASUMBUFU KULIKO USUMBUFU MWENYEW
itokee upate mwanamke sahihi
Katika ndoa cha kwanza ni mapenzi. Na hii uja kutokana na hawa wawili kama wanaridhishana. Ni mara chache kukuta ndoa ati imevurugika kwa ajili ya mali au umasikini.Kuna Watu wajinga Sana. Kwa hiyo Kwa Akili zako za kunguni unafikiri Bikra ndio kila kitu ndani ya Ndoa?
Uzuzu ni kipaji.
kwani waliotolewa bikra wote walibakwa? wanakubali kuchezewa kabla ya kuolewa hawafai kuwa wake. msimamo wetu ni kuoa bikra tuu.Bikra zenyewe mnazitoboa kila kukicha,mnabaka wanafunzi kwa kisingizo cha embe bichi. Mnachezea mabinti za watu kwa kutaka kupata uzoefu wa mapenzi ,hizo bikra mtazisikia kwa wahenga tu
Basi mpunguze kututupia zigo la lawama wadada. Unakuta mtu anavimba hapa na huko kala vitoto kibao alafu badae anakuja ooh nataka bikra, bikra hiyo itoke wapi? Wataendelea kupata wa kufanana nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani wewe unaoa? inakuuma nini waoaji wakitaka bikira?Mwanamke anaejitukana mwenyewe sio mzima kichwani. Ila mada za kuita wanawake mal*ya, sijui hawana akili ni nyingi tena sana. Na zinaanzishwa na wanaume. So tuna haki ya kutetea. We unataka ninyamaze ili iweje? Lazima niseme. Sasa kama imekuuma kunywa maji. Ila wahusika habari wameipata
Leo ni Oktoba 10, hivyo sishangai vitu kama hivi naunganisha na siku yenuKwa maisha sasa mwanaume kulipishwa mahari ni utaperi wa wazi wazi kabisa kwa sababu wanawake wa leo hawana sifa walizokua nazo wanawake wa jamii ya zamani kipindi ambacho uliwekwa huu utaratibu wa kutoa mahari.
Tunaposema mahari ni shukrani kwa kutunziwa mke maana yake unapewa binti akiwa bado kigoli ambae hajaguswa yaani unaenda kuizindua mbususu wewe mwenyewe maana tukisema matunzo kama kusoma, mavazi, chakula n.k hayo hata mtoto wa kiume anatakiwa kupewa pia.
Iweje nilipishwe mahari wakati sijapita peke yangu? This is unacceptable. Wakati wa ku-negotiate mahari mwanamke aweze wazi wanaume aliotembea nao na mahari igawanywe kulingana na muda ambao walikaa katika mahusiano na kila mwanaume husika.
[emoji3][emoji3][emoji3] aiseeUwashukuru waliopita naye mwanzo mpaka akawa fundi kitandani
Ni siku ya nini mkuu? Wengine picha hazifungukiLeo
Leo ni Agosti 10, hivyo sishangai vitu kama hivi naunganisha na siku yenu