Vijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba

Vijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba

Vijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba!

Unakubaliana kwa kiasi gani na kauli hii?
Maisha yanategemea unafocus wapi. Unakuta kijana ana miaka 30 hata kuchuna mbuzi hawezi ? Maisha yanamzawadia starehe na raha mtu mwenye malengo. Starehe hailazimishwi, bia za kukopa baa na zile za kulipa cash zina ladha tofauti. Kuna tofauti ya Kumgonga mwanamke uliyemtomgoza kwa tabu na kumgonga mwanamke ambaye alikuwa anakusumbua lakini ratiba yako ya utafutaji haikupi nafasi ya kumbato,na hivi punde ndio umepata muda free wa kuwa nae. Kazana jipambanie kuwa mchoyo kuwa na marafiki unaokutana nao katika upambanaji tu na si wengineo. Mwanzo ni mgumu lakini matokeo yake yatakuwa mazuri kuliko amini kwamba.
 
Hata mama yako naye omba omba kwa baba yako
 

Attachments

  • FB_IMG_1708618976706.jpg
    FB_IMG_1708618976706.jpg
    25.4 KB · Views: 5
Omba omba wa 5G

 
Back
Top Bottom