Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 351
- Thread starter
-
- #21
Kaka unatusaliti wanachama wa UWABATA wanaume bahiri Tanzania tafadhali rudisha cheti na kitambulisho chetuKwani wanakulazimisha hadi uone umaskini wako ni wao wamesababisha?
Lakini wanachangia kaka naamini hiyo hela kama ungejichanga ungeweza hata kufanya uwekezaji flani mzuriKushindwa kufanikiwa kimaisha hakuhusiani na kuhonga wanawake unaweza ukawa sio muangaji na usitoboe dogo
SureInasikitisha sana
Kwel kabisa , kwasababu kulialia hakuta saidia kitu .Tumia ulichonacho upate unacho kitaka,hii ni kanuni ya kwanza ya wahuni
Imekaa vzrTumia ulichonacho upate unacho kitaka,hii ni kanuni ya kwanza ya wahuni
Vijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba!
Unakubaliana kwa kiasi gani na kauli hii?
Maisha yanategemea unafocus wapi. Unakuta kijana ana miaka 30 hata kuchuna mbuzi hawezi ? Maisha yanamzawadia starehe na raha mtu mwenye malengo. Starehe hailazimishwi, bia za kukopa baa na zile za kulipa cash zina ladha tofauti. Kuna tofauti ya Kumgonga mwanamke uliyemtomgoza kwa tabu na kumgonga mwanamke ambaye alikuwa anakusumbua lakini ratiba yako ya utafutaji haikupi nafasi ya kumbato,na hivi punde ndio umepata muda free wa kuwa nae. Kazana jipambanie kuwa mchoyo kuwa na marafiki unaokutana nao katika upambanaji tu na si wengineo. Mwanzo ni mgumu lakini matokeo yake yatakuwa mazuri kuliko amini kwamba.Vijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba!
Unakubaliana kwa kiasi gani na kauli hii?
Kikubwa ni kua na kibunda mfukoniAnajituliza vip na kibubu huwa kinajaa kila baada ya nusu saa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] , ivi wanawake huwa mnafikiri sie kujituliza ni jambo jepesi sanaeeee[emoji848][emoji848][emoji848]
SureKikubwa ni kua na kibunda mfukoni
[emoji16][emoji16]Si bora ungenunua sukari hiyo hela unywe zwko chai na maandazi
Kwani antonia sikuizi umeacha nae kaka
Au sio vijana wa ovyo[emoji16][emoji16]
Shida upwiru mkuu.
tafuta ela kijana ukiona unalia lia kuombwa hela ongeza juhudiVijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba!
Unakubaliana kwa kiasi gani na kauli hii?
Why fall in love while u can use the money to find them fkuc them and forget themMake money first fall in love later