DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mpunguze mizinga, ukiolewa na mwanaume ndio muanze kushare gharamaInabidi? Kumbe huwa mnapenda wenyewe kutoa pesa lakini lawama mnatutupia sisi hamtutendei haki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri huwa hamlazimishwi kutoa pesa. Inakuaje mtu anatoa pesa hadi kushindwa kufikia malengo yake ina maana hajitambui.Mpunguze mizinga, ukiolewa na mwanaume ndio muanze kushare gharama
Kweli kabisa aiseeHivi unapohonga lengo si papuchi tu?sasa kwanin kama una upwiru usiende site moja kwa moja ukajichagulie upge usepe kuliko kuanza kuhudumia mtoto wa mtu sijui gesi,chakula,salon mara kodi na wengne had kulipa ada dadeki!!!kuhonga ni maamuzi /utashi wako na pengne ujinga/upimbi wako.
Ndogo sana hiyoSio kweli mkuu. Mpaka sasa mwezi unaisha nimeohonga 22k